pepsi

Pepsi is a carbonated soft drink manufactured by PepsiCo. Originally created and developed in 1893 by Caleb Bradham and introduced as Brad's Drink, it was renamed as Pepsi-Cola in 1898, and then shortened to Pepsi in 1961.

View More On Wikipedia.org
  1. Hat-Trick

    Ujira mdogo wa Tsh 4,600/ kutwa kwa vibarua muhimu kiwanda cha PEPSI Mbeya plant. Dkt. Tulia nakuomba tembelea Kiwandani kuna wapiga kura wako

    Kiwanda kikubwa cha uzalishaji soda za Pepsi, Seven Up, Mirinda, Mountain Dew n.k ambacho ni cha kanda ya kusini nyanda za juu SBC Mbeya Plant (Pepsi) kinaudumia takribani mikoa 3 au 4 yani Ruvuma, Iringa, Njombe na Mbeya yenyewe. Vibarua wa kutwa wanalipwa 4,600/ kwa masaa 12 ya kazi...
Back
Top Bottom