pete

Polyethylene terephthalate (sometimes written poly(ethylene terephthalate)), commonly abbreviated PET, PETE, or the obsolete PETP or PET-P, is the most common thermoplastic polymer resin of the polyester family and is used in fibres for clothing, containers for liquids and foods, and thermoforming for manufacturing, and in combination with glass fibre for engineering resins.
It may also be referred to by the brand names Terylene in the UK, Lavsan in Russia and the former Soviet Union, and Dacron in the US.
Bio-PET is the bio-based counterpart of PET.The majority of the world's PET production is for synthetic fibres (in excess of 60%), with bottle production accounting for about 30% of global demand. In the context of textile applications, PET is referred to by its common name, polyester, whereas the acronym PET is generally used in relation to packaging. Polyester makes up about 18% of world polymer production and is the fourth-most-produced polymer after polyethylene (PE), polypropylene (PP) and polyvinyl chloride (PVC).
PET consists of polymerized units of the monomer ethylene terephthalate, with repeating (C10H8O4) units. PET is commonly recycled, and has the number "1" as its resin identification code (RIC).
Depending on its processing and thermal history, polyethylene terephthalate may exist both as an amorphous (transparent) and as a semi-crystalline polymer. The semicrystalline material might appear transparent (particle size less than 500 nm) or opaque and white (particle size up to a few micrometers) depending on its crystal structure and particle size.
The monomer bis(2-hydroxyethyl) terephthalate can be synthesized by the esterification reaction between terephthalic acid and ethylene glycol with water as a byproduct (this is also known as a condensation reaction), or by transesterification reaction between ethylene glycol and dimethyl terephthalate (DMT) with methanol as a byproduct. Polymerization is through a polycondensation reaction of the monomers (done immediately after esterification/transesterification) with water as the byproduct.

View More On Wikipedia.org
  1. D Voice apewa cheni na pete za million 150

    Moja ya vitu vya thamani alivyopewa na CEO wa WCB Wasafi Diamond Platnumz ni cheni na pete vyenye thamani ya million 150. Mbali na hayo pia amepewa nyumba nzuri ya kuishi Mbezi Beach ni mara tu alipoangusha wino mwanzo mwa huu mwaka 2023.
  2. Nani anatakiwa kupiga goti hapa?

    Salaam Wakuu, Nimekutana na hii clip hapa chini. Je nani anapaswa kupiga goti kati ya mwanaume na mwanamke wanapovalishana pete? Binafsi naona ni tamaduni za watu tu hizi vyoyote ni sawa. Tazama clip hizi hapa chini.
  3. Nina mwaka wa sita sijavaa pete ya ndoa, je ni kosa?

    Kutokana na changamoto ya kunenepa vidole, imepelekea pete zetu kuwa ndogo, na kuonekana kama adhabu pale tunapo zivaa. Kwa upande wangu, ni mwaka wa sita huu huwa sivai pete ya ndoa zaidi ya kuishi katika maadili ya ndoa tu. Hii imepelekea wadada kujipitisha pitisha, wakiamini nipo singo; na...
  4. S

    Lengo la kuvaa pete ya ndoa ni nini wakati ndoa ni yako binafsi?

    Ni utamduni uliozoeleka na bila shaka ni wa kimagharibi zaidi ingawa uko dunia nzima. Swali ni je, kwanini uonyeshe kuwa umeoa au umeolewa? Kuna mahala watu hatambulika kwa ndoa? Kama ni kulinda ndoa, ndio iwe kwa kuvaa pete? Je, hii si mbinu ya kulazimisha watu kuheshimu ndoa? Mfungwa...
  5. Mariam Birian avalishwa pete, anaolewa siku chache zijazo

    Kama unahisi ushaona kila kitu katika dunia hii basi bado. Mariam Birian ambaye ni mdada mpika birian maeneo ya Tabata na maarufu huko mitandaoni (wengi mnajua umaarufu wake) amevalishwa pete na anakaribia kuolewa. Huyu mwamba aliyemvalisha Mariam pete ni miongoni mwa wanadamu wenye ujasiri...
  6. Kwanini tunavaa pete ya ndoa mkono wa kushoto?

    Habari zenu wanaJF na hongereni na majukumu ya kuendeleza taifa hili. Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, nimekuwa nikitatizwa na hili swali kichwani na nimejaribu kuuliza watu mbalimbali hasa Wakristo waliooa, majibu niliyopata mpaka sasa kusema kweli hayajaniridhisha kwani inaonekana watu...
  7. Ni lini Tanzania nayo itashiriki kombe la dunia la wanawake na mpira wa pete(Netball)? Michezo ni sekta muhimu kiuchumi kwa taifa

    Leo hii timu ya mpira wa miguu ya Hispania imeshinda kombe la dunia la wanawake mjini Sidney nchini Australia baada ya kuifunga timu ya Uingereza goli 1-0. Goli la Hispania lilifungwa na Olga Carmona baada ya kupewa pasi maridhawa na Mariona Caldentey. Hispania wamecheza mchezo kabambe khasa wa...
  8. Mfahamu Pete Felix O'neal

    Pete Felix O'neal Alizaliwa tarehe 27-07-1940 huko Kansas City siku kama ya leo, anayotimiza miaka 83. Ni mwanamapinduzi mwenye asili ya kimarekani akiwa menyekiti wa Black Panther Party- for self defence . Chama cha wapigania na kulinda haki za watu weusi wa kimarekani kama majimbo yao zidi...
  9. Kwanini siku hizi wanandoa wengi hawapendi kuvaa pete za ndoa?

    Kuna jambo linanitatiza sana maana nimefanya research kiasi nikuwa huko mikoani na hata nilipofika huku Dar hili nimeliona sana. Kwa mujibu wa utafiti wangu nilioufanya kwa kiasi toka miaka ya 2000 wanandoa wengi japo sio wote hawaonekani kuwa na pete za ndoa kwenye mikono yao, nilijaribu...
  10. St peter's seminary/ hanga seminary morogoro 1974.

    Kama kuna mzee mwenzetu aliyeko kwenye hii picture tujuane.
  11. Naomba kujua bei ya gold kwa gram kwa hii pete na hereni zake inaweza kuwa sh. ngapi?

    Habari zenu wakuu, naombeni msaada, nataka kuuza hizi hereni na pete ni vya gold ila sijui chochote kuhusiana na bei naogopa nisije pata mteja nikataja bei kubwa nikachekwa au nikataja ndogo nikajinyonya. Msaada kwa wataalam wa mambo ya grams za gold na bei zake wanisaidie bei kwa gm. Mf...
  12. Wasukuma na uchawi ni pete na kidole

    Kwa Tanzania hii inawezekana hawa jamΓ‘a wanaongoza Kwa ndumba, hawampeleki mgonjwa hospital lazima waanze na kienyeji Kwanza au vyote Kwa pamoja Kuna science ya uchawi hutaiona sehemu yoyote Tanzania. Hata hao wabunge wao waoneni tu hivi hivi 90% ,ni washirikina vibaya Sana na wengi wao...
  13. Mchungaji amvisha pete mjane msibani kabla ya kumzika mumewe

    Africa ya Kusini Huko, Pastor Aliamua Kum propose Mjane pale pale msibani kabla hata ya msiba kuisha. Amedai Hiyo itamsaidia pia ku heal kutoka kwa majonzi. Pastor alisikia akimshukuru Mungu haswa kwa kuwa karibu na mjane katika wakati mgumu Akimuuguza Aliyekuwa mme wake, Shirika la habari...
  14. Ndoto ya pete inamaana gani

    Nimeota nimevalishwa pete ya uchumba. Ila kama hainitoshi, inadondoka. Naitafuta naipata navaa tena. Nikijisahau inavulika inadondoka. Naanza kujiuliza mchumba wangu akiniona sina atanichukuliaje.
  15. Harmonize amvisha Pete ya uchumba Kajala

    Hallelujah!! Hayawi Hayawi sasa yanekuaaa πŸ˜‰ Love is a beautiful thing hasa ukipata mtu umpendae na yeye akakupenda 😍 leo hii jioni Harmonize amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi Kajala Masanja. Inasemekana Pete hio imegharimu bilioni 10 za kitanzania. Pete hiyo imenunuliwa...
  16. Aliyekuwa askofu Konde aondolewa wakfu. Fimbo, msalaba na pete yake vyaondolewa wakfu pia. Sasa atabakia kuwa muumini wa kawaida

    Kanisa la KKKT Dayosisi ya Konde leo imetangaza kumwondolea wakfu wa Uaskofu aliyekuwa askofu wa Dayosisi hiyo, Dk. Edward Mwaikali. Pia imeviondolea wakfu vifaa vya Kiaskofu alivyokuwa anatumia kama pete, msalaba pamoja na fimbo ambavyo alikabidhiwa tarehe 18 Januari 2018 alipowekwa wakfu...
  17. The Biggest Star wa Kiume wa Bongo, Kumvisha Pete ya Uchumba The Biggest Star wa Kike wa Bongo? Happy Valentines!

    Wanabodi, Leo ni siku ya wapendanao, Valentine Day, hivyo nami nawatakia a Happy Valentines Day!. Mimi ni Mzee wa Trends Readings, Siku ya wapendanao ya leo, kuna trends fulani naiona kwa mbali, hivyo bandiko hili ni swali, Jee siku ya Valentine ya leo, The Biggest Star wa Kiume wa Bongo...
  18. Nilijinunulia Pete, Nikagharamia harusi mwenyewe, Ndoa ikafa baada ya miezi minne

    Mume wangu tulikutana chuo, mimi nikiwa na miaka 20, yeye 21. Tukaanza kuishi pamoja kama mke na mume. Tulikuwa tukiandika majarida mitandaoni ndo tunapata pesa ya kujitunza wenyewe, na ndo pesa nilimsomeshea mdogo wangu kwani mama alikuwa mgonjwa na tuliishi maisha duni sana. Mimi na mume...
  19. Pete ya dhahabu inauzwa shilingi ngapi?

    Assume unadate na kadada, asubuhi kanakupigia simu kanasema namuomba Mungu akusimamie katika hustle zako siku nzima ya leo 😁😁. Kwan Pete ya dhahabu shingapi wadau.? πŸ˜‚πŸ˜‚
  20. Mrejesho, Baada ya kuokota kipochi cha mzungu kilichokuwa na pete

    Kama ambavyo nilivyokuwa nimeleta bandiko, weekend wakati nilikuwa nikizunguka huku na kule, nilipita mahali nikakaa wakati naondoka niliokota kipochi kidogo ambacho ndani nilikuta kunapete 3. Nilikuja kutaka ushauri humu ni jinsi gani na wapi ninaweza kuzipiga bei kwani zilikuwa zikionekana...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…