pfizer

Pfizer Inc. () is an American multinational pharmaceutical corporation. It is one of the world's largest pharmaceutical companies and ranked 57 on the 2018 Fortune 500 list of the largest United States corporations by total revenue.Headquartered in New York City, Pfizer develops and produces medicines and vaccines for a wide range of medical disciplines, including immunology, oncology, cardiology, endocrinology, and neurology. Its products include the blockbuster drug Lipitor (atorvastatin), used to lower LDL blood cholesterol; Lyrica (pregabalin) for neuropathic pain and fibromyalgia; Diflucan (fluconazole), an oral antifungal medication; Zithromax (azithromycin), an antibiotic; Viagra (sildenafil) for erectile dysfunction; and Celebrex (also Celebra, celecoxib), an anti-inflammatory drug.
In 2016, Pfizer Inc. was expected to merge with Allergan to create the Ireland-based "Pfizer plc" in a deal that would have been worth US$160 billion. The merger was called off in April 2016, however, because of new rules from the US Department of the Treasury against tax inversions, a method of avoiding taxes by merging with a foreign company. The company has made the second-largest pharmaceutical settlement with the United States Department of Justice.
On December 19, 2018, Pfizer announced a joint merger of their consumer healthcare division with UK pharma giant GlaxoSmithKline; the British company will maintain a controlling 68% of shares.Pfizer was a constituent of the Dow Jones Industrial Average from 2004 to 2020, when it was announced that the company would be replaced by Amgen in the Dow Jones. The change took effect at start of trading on August 31, 2020.

View More On Wikipedia.org
  1. FRANCIS DA DON

    Kampuni ya Pfizer kutengeneza faida ya Shs. Trillioni 70 mwaka huu wa 2021

    Taarifa hapo chini zinasema kwamba, kampuni ya kutengeneza chanjo za Corona, Pfizer, inatarajiwa kutengeneza faida ya shs.Trillion 70 kwa mwaka huu wa 2021 pekee, je, nawezaje nunua hisa walau 10 tu za kampuni hii? Ikumbukwe, hii ni bajeti halisi ya Tanzania kwa miaka zaidi ya miwili (2) ---...
  2. Analogia Malenga

    CDC wakutana kujadili kesi za kuvimba moyo za waliopata chanjo ya Moderna na Pfizer

    Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC) kimepanga kikao cha dharura Juni 18, 2021 ili kujadili waliopata chanjo ya ~COVID19 ya Pfizer na Moderna ambao wamevimba moyo Watu 226 wameripotiwa kuwa na tatizo la myocarditis a pericarditis baada ya kupata chanjo. Wengi wameripotiwa kupona lakini...
  3. beth

    #COVID19 EU: Chanjo ya Pfizer yaidhinishwa kwa watoto wa miaka 12 hadi 15

    Shirika la Dawa Ulaya (EMA) limeidhinisha Chanjo ya Pfizer-BioNTech kwa Watoto wa miaka 12-15 ambapo Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) zitaamua ikiwa zitaitoa kwa kundi hilo Imeelezwa, majaribio yameonesha Chanjo kwa kiasi kikubwa inadhibiti maambukizi ya COVID19. Pfizer iliidhinishwa kwa...
  4. K

    #COVID19 Askofu Gwajima ni mpotoshaji sana suala la Chanjo za COVID-19

    Sijawahi kuanzisha uzi hapa lakini baada ya kusikiliza clip ya Gwajima jana nilikereka sana na uongo wake. Hakuna Shirika linaitwa emergency drug authorization USA kuna FDA Food and Drug Administration sio Flag and Drug Administration na ndio Regulatory Authority pekee ya vaccine drug and food...
  5. beth

    Canada yaidhinisha Chanjo ya Pfizer kutumika kwa watoto wenye miaka 12-15

    Canada imeidhinisha matumizi cha Chanjo ya Pfizer katika kupambana na Virusi vya Corona kwa Watoto wenye umri kati ya miaka 12 na 15. Inakuwa Nchi ya kwanza kutoa idhini kwa walio na umri huo. Mamlaka imesema Chanjo ni salama na inafanya kazi inapotumika kwa walio na umri mdogo. Tayari Canada...
  6. FRANCIS DA DON

    Kampuni ya Pfizer yasema inatarajia mapato ya dola bilioni 26 mwaka huu kutokana na mauzo ya Chanjo ya Corona

    Wanatarajia chanjo yao kuwa ‘income booster’ kwa miaka mingi ijayo; na wanatarajia kuingiza jumla ya mapato ya dollar bilioni 26 kwa mwaka huu peke yake. ======= Pfizer coronavirus vaccine revenue is projected to hit $26 billion in 2021 with production surge By Christopher Rowland May 4, 2021...
  7. Mtyela Kasanda

    Lockdown ina ukweli kiasi gani?

    Mbona wenye lockdown bado wanafanya shughuli kama kawa? Marekani tokea corona ianze hawajaacha kutengeneza filamu, na filamu zina watu zaidi ya 100 on set. Hawakuacha kufanya kampeni, japo midahalo ilikua na virtual attendees lakini mikutano watu walikua wanajaa tena wengine bila barakoa...
  8. Sam Gidori

    #COVID19 Utafiti Uingereza: Chanjo inasaidia kupunguza kuenea kwa virusi vya corona kwa asilimia 85

    Takwimu kutoka nchini Uingereza zinaonesha kuwa chanjo dhidi ya virusi vya corona inasaidia kupunguza uwezekano wa kuenea kwa maambukizi kwa hadi asilimia 85. Utafiti uliochapishwa na taasisi ya Public Health England (PHE) unaonesha kuwa chanjo ya Pfizer-BioNTech inapunguza uwezekano wa kupata...
  9. Dr Akili

    China na Russia kamwe hawawezi kutumia hiyo chanjo ya mRNA ya kampuni ya Pfizer (Billgate) na BioNTech (Mjerumani): Kwa nini Afrika tulazimishwe?

    Hiyo tunayoiita chanjo inayotengenezwa na kampuni ya Pfizer ikishirikiana na kampuni ya BioNTech ya ujerumani si sawa na chanjo zinazojulikana ambazo hutumia virusi vya ugonjwa huo huo vilivyopunguzwa makali (attenuated live viruses). Hawa wanatumia genetically engineered manufactured synthetics...
  10. Miss Zomboko

    Mtandao wa chanjo ya Corona ya Pfizer na BioNTech wadukuliwa

    Kumetokea shambulizi la kimtandao ambalo limezilenga data za makampuni yaliovumbua chanjo ya virusi vya corona, Pfizer na BioNtech, likiwa ni sehemu ya uhalifu wa kimtandao ambao unayoyalenga Makampuni ya Dawa ya Ulaya (EMA) huko mjini Amsterdam, Uholanzi. Taarifa hiyo imetolewa kwa pamoja na...
  11. Sam Gidori

    SoC01 Chanjo ya COVID-19: Yote unayohitaji kufahamu

    Kampuni ya Kitabibu ya Moderna imetangaza nia yake ya kuomba kibali cha kuthibitishwa kwa chanjo yake ya COVID-19 kwa Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini Marekani. Moderna sasa inaungana na kampuni nyingine mbili za kitabibu zinazosubiri kuthibitishwa kwa chanjo zao na Mamlaka ya Chakula na Dawa...
Back
Top Bottom