picha bila ridhaa

  1. Hakuna anayejali

    Kwanini mnatupiga picha bila ridhaa yetu?

    Unapita mtaani usiku mida ya saa2au sa4 usiku ghafla kamera inatowa mwanga mkali kumbe kamera inatupiga picha si poa. Yani tunarudi kwetumakamera yenu yanatuphotowa jamani!!!!.
Back
Top Bottom