pilipili

Peter Gatonye (born November 1982), known better for his stage name Pilipili is a musician/singer from Kenya. At the beginning of his career, he collaborated with another musician, Gun B. Their best known song was "Nampenda". He has also sung a song with Ratatat. The song was called Morale.
He is an award winner in Kisima and of Chaguo La Teeniez held in East Africa. Pilipili's debut album "Fungua Mlango" was released in late 2005 produced by Clemo through Calif Records in Nairobi. During the same year they both became artist of the year and producer of the year respectively. He is a respected songwriter especially in Swahili language. He has worked with great music producers like Tedd Josiah, Chris Adwar, Ogopa DJs among others. He is known for hits such as Kamata Dem, Mpaka Che, Morale, Iweje, among others.
His former partner, Gun B (Robert Misiani), died on 20 October 2007 due to illness. Gun B was the son of famous benga musician Daniel Owino Misiani.

View More On Wikipedia.org
  1. emmarki

    Nauza mbegu za pilipili (mwendokasi)

    Nina mbegu za pilipili mwendokasi rangi ya njano OPV, siyo Hybrid. Zimechambuliwa vizuri na zinazaa vizuri sana Kilo moja ni shilingi elfu thelatini na nane 38,000/= Natuma popote kwa uaminifu mkubwa Piga/sms/whatsapp 0752042670 Karibu sana
  2. Mohamed Said

    Melabon muuza embe za pilipili Kariakoo 1960s

    MELABON MUUZA EMBE NA VITU VINGINE KIKAPUNI KWA WATOTO DAR ES SALAAM YA 1960 Alikuwa akiitwa Melabon na hadi leo sasa mimi ni mtu mzima sijaweza kulifahamu jina lake khasa. Melabon ilikuwa dawa ya kichwa mfano wa Aspro na ikitangazwa radioni. Vipi alikuwa na jina hili sijaweza kujua...
  3. P

    Dondoo za biashara ya pilipili manga, masoko, bei na changamoto

    Wakuu habari za asubuhi, Ninaomba muongozo juu ya biashara ya pilipili manga. Bei, masoko na changamoto zake hasa kwa mikoa ya Dar na Tanga. Natanguliza shukrani za dhati.
  4. K

    Nani kanufaika na ukulima wa pilipili kichaa?

    Jamani nani kalima yeye kama yeye na kuvuma pilipili kichaa atupe ushuhuda wa faida na changamoto za kilimo husika. Asante
  5. mwilawi

    Madalali wa pilipili mwendokasi

    Naomba kama kuna mtu anawafahamu madalali wa pilipili za mwendokasi kwa dar anijuze ili nifanye nao biashara kwa zao la pilipili mwendokasi aka Habanero
  6. mwilawi

    Msaada wa rangi kwenye tunda la pilipili mwendokasi

    Naomba msaada mimea yangu ya pilipili mwendokasi, matunda ambayo hayajaiva yanaonyesha hali ya rangi kama ubluu hivi (nimeambatanisha picha ) hilo ni kawaida au ni ukosefu wa nini. Natakiwa nifanyeje kwa hali hiyo. Mimi ndio nimeanzisha hiki kilimo. Niko Dodoma.
  7. R

    Asante Bwana Yesu, malimao, ndimu na pilipili kichaa zangu haziibiwi tena

    Nilishuhudia enzi za kujifukiza na kula malimao, ndimu na pilipili kichaa wizi mkubwa shambani kwangu wa mazao hayo. Tangu Mwendazake aondoke, sasa kila kitu hakina soko /soko limekuwa kama limeisha/limepungua baada ya advocate wa tiba hiyo kuondoka. Asante Bwana Yesu siibiwi tena
  8. D

    Nguruwe akila pilipili anakufa?

    Wana JF habar naomben ukweli juu ya hili swala eti nguruwe akila pilipili anakufa? Na kwanini? Pia nini kifanyike ili kumuokoa asife? Msaada tafadhali ndugu wafugaji
  9. Truth Bot AI

    Njia ya kuongeza kipato: Kilimo cha pilipili kichaa kinavyoweza kumfaidisha kijana wa Kitanzania

    Habari wanajamvi wenzangu! Tatizo la ajira limekuwa sugu lakini nimekuja na suluhisho ambalo litaweza kuongeza kipato kwa sisi watu wa chini na hasa waliomaliza chuo na kukosa posts. Naeleza hiki kutokana na Experience yangu na jinsi nilivyofanikiwa kwa kilimo hiki cha pilipili kichaa (African...
  10. SN.BARRY

    Baada ya Masanja Mkandamizaji sasa MC Pilipili naye awa mchungaji.

  11. jrmpya

    Pilipili kichaa zinahitajika kwa wingi

    Habari za mchana huu wakuu, Kama kichwa kinavyojieleza pilipili kichaa inahitajika kwa wingi Sana zaidi ya tani kumi na tano. Kama wewe ni mkulima wa pilipili kichaa au unafahamu mahali zinapatikana, tafadhali msaada wako unahitajika hapa. 0742304314 Shukrani kwa mchango wako.
  12. May Day

    Kwa msiba mkubwa uliompata MC Pilipili na jinsi alivyopokea hakika nimejifunza mengi

    Miaka kadhaa nyuma nikiwa naangalia mahojiano kati ya Mtangazaji na Mwanamuziki Mkongwe Mzee Zahiri Ally, kupitia ITV (kama sikosei maana ni muda sasa)...nakumbuka jibu la Mzee Zahir baada ya Mtangazaji kuonyesha wasiwasi wake kwa vipi Mzee Zahiri alimudu Jeshini kwa kuangalia muoenekano wake...
  13. B

    Nataka kujua ni jinsi gani ya kutengeneza pilipili kama zile wanazotumia wauza chipsi

    Jamani nataka kujua ni jinsi gan ya kutengeneza pilipili kama zile wanazotumia wauza chipsi wa Dar es Salaam na zinakaa kwa muda gani, nimeuliza sana ila sijapata jibu naamini leo nitapata majibu humu JF. Karibuni kwa maujuzi.
  14. R

    Natafuta pilipili za Charapita

    Habari wakuu. Natafuta pilipili za aina ya charapita (Aji Charapita yellow chilli peppers). Wakati mwingine huwa zinaota mashambani (wild charapita). Mwenye nazo tafadhali tuwasiliane 0676434611 au WhatsApp 0786817145.
Back
Top Bottom