Peter Gatonye (born November 1982), known better for his stage name Pilipili is a musician/singer from Kenya. At the beginning of his career, he collaborated with another musician, Gun B. Their best known song was "Nampenda". He has also sung a song with Ratatat. The song was called Morale.
He is an award winner in Kisima and of Chaguo La Teeniez held in East Africa. Pilipili's debut album "Fungua Mlango" was released in late 2005 produced by Clemo through Calif Records in Nairobi. During the same year they both became artist of the year and producer of the year respectively. He is a respected songwriter especially in Swahili language. He has worked with great music producers like Tedd Josiah, Chris Adwar, Ogopa DJs among others. He is known for hits such as Kamata Dem, Mpaka Che, Morale, Iweje, among others.
His former partner, Gun B (Robert Misiani), died on 20 October 2007 due to illness. Gun B was the son of famous benga musician Daniel Owino Misiani.
Nina mbegu za pilipili mwendokasi rangi ya njano OPV, siyo Hybrid.
Zimechambuliwa vizuri na zinazaa vizuri sana
Kilo moja ni shilingi elfu thelatini na nane 38,000/=
Natuma popote kwa uaminifu mkubwa
Piga/sms/whatsapp 0752042670
Karibu sana
MELABON MUUZA EMBE NA VITU VINGINE KIKAPUNI KWA WATOTO DAR ES SALAAM YA 1960
Alikuwa akiitwa Melabon na hadi leo sasa mimi ni mtu mzima sijaweza kulifahamu jina lake khasa.
Melabon ilikuwa dawa ya kichwa mfano wa Aspro na ikitangazwa radioni.
Vipi alikuwa na jina hili sijaweza kujua...
Wakuu habari za asubuhi,
Ninaomba muongozo juu ya biashara ya pilipili manga. Bei, masoko na changamoto zake hasa kwa mikoa ya Dar na Tanga.
Natanguliza shukrani za dhati.
Naomba kama kuna mtu anawafahamu madalali wa pilipili za mwendokasi kwa dar anijuze ili nifanye nao biashara kwa zao la pilipili mwendokasi aka Habanero
Naomba msaada mimea yangu ya pilipili mwendokasi, matunda ambayo hayajaiva yanaonyesha hali ya rangi kama ubluu hivi (nimeambatanisha picha ) hilo ni kawaida au ni ukosefu wa nini. Natakiwa nifanyeje kwa hali hiyo.
Mimi ndio nimeanzisha hiki kilimo. Niko Dodoma.
Nilishuhudia enzi za kujifukiza na kula malimao, ndimu na pilipili kichaa wizi mkubwa shambani kwangu wa mazao hayo.
Tangu Mwendazake aondoke, sasa kila kitu hakina soko /soko limekuwa kama limeisha/limepungua baada ya advocate wa tiba hiyo kuondoka.
Asante Bwana Yesu siibiwi tena
Wana JF habar naomben ukweli juu ya hili swala eti nguruwe akila pilipili anakufa? Na kwanini? Pia nini kifanyike ili kumuokoa asife?
Msaada tafadhali ndugu wafugaji
Habari wanajamvi wenzangu!
Tatizo la ajira limekuwa sugu lakini nimekuja na suluhisho ambalo litaweza kuongeza kipato kwa sisi watu wa chini na hasa waliomaliza chuo na kukosa posts.
Naeleza hiki kutokana na Experience yangu na jinsi nilivyofanikiwa kwa kilimo hiki cha pilipili kichaa (African...
Habari za mchana huu wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza pilipili kichaa inahitajika kwa wingi Sana zaidi ya tani kumi na tano.
Kama wewe ni mkulima wa pilipili kichaa au unafahamu mahali zinapatikana, tafadhali msaada wako unahitajika hapa.
0742304314
Shukrani kwa mchango wako.
Miaka kadhaa nyuma nikiwa naangalia mahojiano kati ya Mtangazaji na Mwanamuziki Mkongwe Mzee Zahiri Ally, kupitia ITV (kama sikosei maana ni muda sasa)...nakumbuka jibu la Mzee Zahir baada ya Mtangazaji kuonyesha wasiwasi wake kwa vipi Mzee Zahiri alimudu Jeshini kwa kuangalia muoenekano wake...
Jamani nataka kujua ni jinsi gan ya kutengeneza pilipili kama zile wanazotumia wauza chipsi wa Dar es Salaam na zinakaa kwa muda gani, nimeuliza sana ila sijapata jibu naamini leo nitapata majibu humu JF.
Karibuni kwa maujuzi.
Habari wakuu. Natafuta pilipili za aina ya charapita (Aji Charapita yellow chilli peppers). Wakati mwingine huwa zinaota mashambani (wild charapita). Mwenye nazo tafadhali tuwasiliane 0676434611 au WhatsApp 0786817145.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.