pisi kali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Equation x

    Muhudumu wa 'lodge' ni pisi kali kumzidi mpenzi wangu niliyempeleka hapo mapumzikoni

    Kuna kipindi fulani nilienda Kahama kwa shughuli za kimiangaiko; kutokana na kuwa na marafiki wengi, nikaomba si vibaya kuomba 'appointment' na mwenyeji wangu mmoja anayeishi katika mji huo. Alipofika, tukabadilishana mawazo, kula kunywa na hatimaye tukaelekea mapumzikoni. kufika...
  2. maroon7

    Sijui kwanini nachepuka...

    Yaani mama yeyoo alivyo kisu hata sielewagi why mimi sometimes nakua mchepukaji. Maana hata kipindi nampata yeye ndo alikua kama side chick halafu main chick sikumuoa japo naye alikua kisu. Ila tuache utani wachepukaji tunakua na maoption sana maana nikikumbuka visu nilivokua nakula hadi...
  3. sky soldier

    Wanaume wengi wa kizungu wana pisi kali za kiafrika lakini wanaume wa kiafrika wapo na kina bibi / wanawake wa kawaida wa kizungu

    Kiukweli huwa nashindwa kung'amua hili jambo. Unaweza kukuta mzungu wa kawaida kabisa anaweza kutoka na pisi kali ya kiafrika lakini mwanaume wa kiafrika ambaye yupo vizuri tu atajisifia ku date hata na bibi wa kizungu ilimradi ka date na mzungu. Yani kwa lugha rahisi mzungu anaweza kumpata...
  4. Chai Maziwa

    Kwanini wanaume wanaoa wanawake wa kawaida ilihali wamezoeleka kutoka na pisi kali?

    Habari wanaJF Leo nakuja na swali. Imekuwa jambo la kawaida na kushangaza pale unapoona vijana mabachelor wakati wa kuoa uoa wanawake wa kawaida sana ilihali imezoeleka enzi za ujana wake hasa alikuwA akizichakata pisi kali sana. Hii imekaaje watalaam wa mambo. Ni kwamba kuna wanawake wa...
  5. R

    Hili lilinikosesha Pisi kali

    Wakuu habari za wikendi Nimekumbuka Kisaa hiki kilinitokea huko nyuma miaka 20 iliyopita. Nilikuwa nikipata Pisi kali baada ya kuanzisha mahusiano mazuri kuna ile mnaanza kupiga stori za ndani ndani zaidi. Akiniuliza hivi Pythagoras kwenu mko watoto wangapi? Kwakweli hili swali lilikuwa...
  6. Streptokinase

    Nilijua ni story tu ila dah! Pisi kali punguzeni kulia shida

    Mabaharia wenzangu najua mpo salama kabisa na mnaendelea kulijenga hili taifa letu pendwa ili tupate maji na umeme wa uhakika bila kuitoa CCM madarakani. E bhana niwe muwazi nishakutana na pisi zinazopiga vizinga sana tu ila hii niliokutana nayo jana ni balaa. Ilikua hivi, baada ya kutoka...
  7. F

    Mchumba wa Nikki wa Pili awa best student kwenye CPA...

    Pisi kali with brain inapendeza sana. Wale wa tuma na ya kutolea jifunzeni kwa mwenzenu. Mitihani ya CPA sio ishu ndogo. Mrembo anastahili pongezi
  8. Equation x

    Kama huna hela usioe pisi kali

    Kuoa pisi kali huku huna hela au hela yako ni ya mawazo ni kutafuta magonjwa ya moyo na presha. Kwa sababu zifuatazo:- Pisi kali haijui kutumia kuni Pisi kali haijui kulima Pisi kali haijui kuchumia ng'ombe majani Pisi kali haijui kushinda njaa Pisi kali haijui kula vyakula vya kawaida Pisi...
  9. Zozotoli

    Kwanini wanawake wengi ambao walikuwa 'pisi kali' mtaani wakiolewa hawadumu kwenye ndoa?

    Hi every ones Nina swali lina ni vuruga kweli kweli Pili nina taka kuomba ushauri Hivi kwanini wanawake wengi ambao wali kuwa pisi kali mtaani wa kiolewa kwanini wengi wao awa dumu kwenye ndoa? 2) Na kwanini wana fanya wakisha zalishwa na kuachwa wana kuwa pisi bure? Je, thamani yao ushuka...
  10. Cash Generating Unit

    Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

    Swadaktaaa? Back, nikiwa 3rd year nilishwai miliki chombo kali sana aisee huyu dada alikuwa ni pisi kali sana, moja ya pisi nilizotoka nazo anaingia top3. Alikuwa ni mzuri balaa. Ni pisi ambayo ikikatiza lazma ugeuke uitizame. Tatizo la huyu dada ilikuw ni kujikojolea usiku hii ndo kasoro...
Back
Top Bottom