Kuna kipindi fulani nilienda Kahama kwa shughuli za kimiangaiko; kutokana na kuwa na marafiki wengi, nikaomba si vibaya kuomba 'appointment' na mwenyeji wangu mmoja anayeishi katika mji huo.
Alipofika, tukabadilishana mawazo, kula kunywa na hatimaye tukaelekea mapumzikoni.
kufika...
Yaani mama yeyoo alivyo kisu hata sielewagi why mimi sometimes nakua mchepukaji. Maana hata kipindi nampata yeye ndo alikua kama side chick halafu main chick sikumuoa japo naye alikua kisu.
Ila tuache utani wachepukaji tunakua na maoption sana maana nikikumbuka visu nilivokua nakula hadi...
Kiukweli huwa nashindwa kung'amua hili jambo.
Unaweza kukuta mzungu wa kawaida kabisa anaweza kutoka na pisi kali ya kiafrika lakini mwanaume wa kiafrika ambaye yupo vizuri tu atajisifia ku date hata na bibi wa kizungu ilimradi ka date na mzungu.
Yani kwa lugha rahisi mzungu anaweza kumpata...
Habari wanaJF
Leo nakuja na swali.
Imekuwa jambo la kawaida na kushangaza pale unapoona vijana mabachelor wakati wa kuoa uoa wanawake wa kawaida sana ilihali imezoeleka enzi za ujana wake hasa alikuwA akizichakata pisi kali sana. Hii imekaaje watalaam wa mambo.
Ni kwamba kuna wanawake wa...
Wakuu habari za wikendi
Nimekumbuka Kisaa hiki kilinitokea huko nyuma miaka 20 iliyopita.
Nilikuwa nikipata Pisi kali baada ya kuanzisha mahusiano mazuri kuna ile mnaanza kupiga stori za ndani ndani zaidi.
Akiniuliza hivi Pythagoras kwenu mko watoto wangapi? Kwakweli hili swali lilikuwa...
Mabaharia wenzangu najua mpo salama kabisa na mnaendelea kulijenga hili taifa letu pendwa ili tupate maji na umeme wa uhakika bila kuitoa CCM madarakani.
E bhana niwe muwazi nishakutana na pisi zinazopiga vizinga sana tu ila hii niliokutana nayo jana ni balaa.
Ilikua hivi, baada ya kutoka...
Kuoa pisi kali huku huna hela au hela yako ni ya mawazo ni kutafuta magonjwa ya moyo na presha. Kwa sababu zifuatazo:-
Pisi kali haijui kutumia kuni
Pisi kali haijui kulima
Pisi kali haijui kuchumia ng'ombe majani
Pisi kali haijui kushinda njaa
Pisi kali haijui kula vyakula vya kawaida
Pisi...
Hi every ones
Nina swali lina ni vuruga kweli kweli
Pili nina taka kuomba ushauri
Hivi kwanini wanawake wengi ambao wali kuwa pisi kali mtaani wa kiolewa kwanini wengi wao awa dumu kwenye ndoa?
2) Na kwanini wana fanya wakisha zalishwa na kuachwa wana kuwa pisi bure?
Je, thamani yao ushuka...
Swadaktaaa?
Back, nikiwa 3rd year nilishwai miliki chombo kali sana aisee huyu dada alikuwa ni pisi kali sana, moja ya pisi nilizotoka nazo anaingia top3. Alikuwa ni mzuri balaa. Ni pisi ambayo ikikatiza lazma ugeuke uitizame.
Tatizo la huyu dada ilikuw ni kujikojolea usiku hii ndo kasoro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.