plate number

  1. GENTAMYCINE

    Hizi Gari 110 na Land Cruiser zenye Plate Number za herufi za UW ni za Taasisi gani?

    Halafu ni kwanini Madereva Wao na hata Watu wanaokuwemo Siti ya Mbele mara zote tu huwa ni Watu wa Kununa ( Usununu ) na hawana hata dalili za kutoa Tabasamu?
  2. FRANCIS DA DON

    Napendekeza mfumo wa ‘Randomizer’ kwenye usajili wa ‘plate number’ za magari nchini

    ========================== Badala ya mfumo wa sasa wa ‘TxxxAyy> TxxxByy > TxxxCyy > TxxxDyy , na sasa karibia tunaingia namba ‘E’ , ambapo mtu anakuwa anajua kabisa kwamba gari hii imesajili ya zamani au ni mpya. Napendekeza namba zinazofuata baada ya kuisha kwa namba ‘D’ ziwe katika mfumo wa...
  3. Teko Modise

    Plate number za Kenya zinafanya gari kali zionekane mbaya

    Gari kali lakini plate number mbaya...Wakenya hebu badilikeni bhana. Plate number kama zimechorwa na mkaa!!
  4. Pain killer

    Nitamjuaje mmiliki wa gari kwa kutumia plate number?

    Habari wakuu Hivi unawezaje kutambua mmiliki halali wa gari kama unaijua plate number ya gari husika? Kama kuna namna ya kujua kupitia online naomba mwongozo wakuu. Uzi tayari
Back
Top Bottom