podcast

  1. cleokippo

    Nini tafsir ya podcast kwenye app ya spotify? Pia inatumikaje?

    Habar wakuu, mimi ni mgen kidogo kwenye matumiz ya app ya spotify Ninachofaham ni ku search nyimbo na kuiskiliza , mbaya zaidi ninapochagua nyimbo unakuta nikii play ina play nyimbo nyingine Ukiachana na hiyo kuna kitu kingine nimekutana nacho kinaitwa podcast sasa naomba nifahamishwe nini...
  2. Wakili wa shetani

    Nataka kuanzisha Podcast, naombeni ushauri

    Habari, nina mpango wa kuanzisha podcast. Naomba ushauri wowote utakaonisaidia kufikia amza yangu hii. Najua nahitaji vitu vya kurekodia, ni vitu gani basic natakiwa kuwa navyo na gharama zake zipo namna gani? Wapi naweza kupublish na kupata wasikilizaji wengi wa Tanzania? Platform hizo...
  3. Izzi

    Wajasiriamali tunaopenda Podcasts tukutane hapa

    Asalaam Alaikum! Binafsi nimeanza kusikiliza Podcasts mwaka 2020 baada ya Mr. Strive Masiyiwa (Bilionea mwenye asili ya Zimbabwe) kuweka mapendekezo ya vitu anavyoshauri wajasiriamali wafanye; kimojawapo ni kuhakikisha unapata taarifa na maarifa kuhusu namna watu wengine wanavyoendesha biashara...
  4. Rutunga M

    Nahitaji podcast

    Wakuu. nahitaji podcast ya kuingiza zaidi ya saa 1. sitaki zile za subdomain. aliye serious aje inbox tuyajenge. asante
  5. C

    INAUZWA Microphone for live streaming, video / Audio conferencing, podcasting, etc

    Microphone for live streaming, video / Audio conferencing, podcasting, etc New condenser microphone Noise/ echo cancellation YouTube, Skype, zoom meetings, podcast, etc Just plug & play OFFER: 99,000 /- COD: Dar es Salaam/Kibaha but we can ship to all regions. Call: +255 658 700 510
  6. Red Giant

    Naomba kuelimishwa kuhusu Podcast, ni kitu gani? inafanyaje kazi?

    Naomba kufahamishwa kuhusu hii kitu ndugu zanguni. Inafanyaje kazi. App sijui website zake ni zipi na mtu anawezaje kuimonetize. Natanguliza shukrani.
Back
Top Bottom