poland

Poland (Polish: Polska [ˈpɔlska] (listen)), officially the Republic of Poland (Polish: Rzeczpospolita Polska [ʐɛt͡ʂpɔˈspɔlita ˈpɔlska] (listen)), is a country located in Central Europe. It is divided into 16 administrative subdivisions, covering an area of 312,696 square kilometres (120,733 sq mi), and has a largely temperate seasonal climate. With a population of nearly 38.5 million people, Poland is the fifth most populous member state of the European Union. Poland's capital and largest metropolis is Warsaw. Other major cities include Kraków, Łódź, Wrocław, Poznań, Gdańsk, and Szczecin.
Poland is bordered by the Baltic Sea, Lithuania, and Russia's Kaliningrad Oblast to the north, Belarus and Ukraine to the east, Slovakia and the Czech Republic to the south, and Germany to the west.
The history of human activity on Polish soil spans thousands of years. Throughout the late antiquity period it became extensively diverse, with various cultures and tribes settling on the vast Central European Plain. However, it was the Western Polans who dominated the region and gave Poland its name. The establishment of Polish statehood can be traced to 966, when the pagan ruler of a realm coextensive with the territory of present-day Poland embraced Christianity and converted to Catholicism. The Kingdom of Poland was founded in 1025, and in 1569 it cemented its longstanding political association with Lithuania by signing the Union of Lublin. This union formed the Polish–Lithuanian Commonwealth, one of the largest (over 1,000,000 square kilometres – 400,000 square miles) and most populous nations of 16th and 17th century Europe, with a uniquely liberal political system which adopted Europe's first written national constitution, the Constitution of 3 May 1791.With the passing of prominence and prosperity, the country was partitioned by neighbouring states at the end of the 18th century, and regained independence in 1918 with the Treaty of Versailles. After a series of territorial conflicts, the new multi-ethnic Poland restored its position as a key player in European politics. In September 1939, World War II began with the invasion of Poland by Germany, followed by the Soviets invading Poland in accordance with the Molotov–Ribbentrop Pact. Approximately six million Polish citizens, including three million of the country's Jews, perished during the course of the war. As member of the Eastern Bloc, the Polish People's Republic proclaimed forthwith was a chief signatory of the Warsaw Treaty amidst global Cold War tensions. In the wake of the 1989 events, notably through the emergence and contributions of the Solidarity movement, the communist government was dissolved and Poland re-established itself as a semi-presidential democratic republic.
Poland has a developed market and is a regional power in Central Europe, with the largest stock exchange in the East-Central European zone. It has the sixth largest economy in the European Union by nominal GDP and the fifth largest by GDP (PPP). It's one of the most dynamic economies in the world, simultaneously achieving a very high rank on the Human Development Index. Poland is a developed country, which maintains a high-income economy along with very high standards of living, life quality, safety, education, and economic freedom. Alongside a developed educational system, the state also provides free university education, social security, and a universal health care system. The country has 16 UNESCO World Heritage Sites, 15 of which are cultural.Poland is a member state of the Schengen Area, the United Nations, NATO, the OECD, the Three Seas Initiative, the Visegrád Group, and guested at the G20.

View More On Wikipedia.org
  1. Alvin_255

    Former President of Poland Lech Walesa Wrote the Following Letter to Trump

    Your Excellency, Mr. President, We watched the report of your conversation with the President of Ukraine, Volodymyr Zelensky, with fear and distaste. We find it insulting that you expect Ukraine to show respect and gratitude for the material assistance provided by the United States in its fight...
  2. Yoda

    Poland yatafakari mpango wa kumiliki silaha za nuclear za kujihami.

    Waziri mkuu wa Poland Donald Tusk anasema ni wakati sasa wa Poland kufikiria kuwa na silaha za juu zaidi ya za kawaida ikiwemo silaha za nuclear. Hatua hii inakuja baada ya Marekani kujiondoa kama mdhamini mkuu wa usalama wa Ulaya pamoja na kuwa na sera zisizotabirika tena katika mahusiano...
  3. Mwanangikolo

    Nimepata agents wa kuniuanganisha na kazi nchini POLAND. Je ni nitapa au nitaliwa hela yangu tu Bure na kazi nisipate

    Me ni mwenyeji wa Kanda ya kati uko mkoa x ila kwa sasa nipo mjini Dar baada ya kupata huu mchongo. Kuna jamaa angu alinstua kwamba nije Kuna kazi imepatikana uko nje ya ulaya katika nchi ya Poland. Basi nikawa nimekuja toka wiki iliyopita kufatilia basi akawa ameniunganisha na uyo agent na...
  4. Eli Cohen

    Je, Poland na Hungary waitwe wabaguzi kwa kuweka ulinzi mkali na kuzuia wahamiaji kuingia kiholela katika mipaka yao.

    Hapa ni waziri wa uhamiaji wa Poland akiongelea kuhusu nchi yake kuwa na kiwango kidogo cha machafuko, ugaidi na uharifu ambao umeongezeka zaidi katika nchi nyingine zilizoruhusu wahamiaji kiholela. https://youtube.com/shorts/y9fY9ft7_5U?si=liV91sa-H96z5P-B Hapa ni vikosi vya usalama vya...
  5. W

    Mmiliki wa Hoteli za Pilipili- Zanzibar anatafutwa kwa kosa la Udanyifu Poland

    Raia wa Poland, Wojciech Zabinski, mmiliki wa hoteli za Pili Pili Zanzibar, anadaiwa kutafutwa nchini Poland kwa kosa la udanganyifu. Inadaiwa aliendesha shughuli zake za ulaghai Zanzibar kwa kutoa ahadi za mapumziko ya kifahari kwa raia wa Poland, ambazo ni za uongo Mamlaka za ndani zimedai...
  6. Greatest Of All Time

    Full Time: Real Madrid 2-0 Atalanta | UEFA Super Cup | Poland National Stadium | 14.08.2024

    Leo saa 4:00 Usiku kwa masaa ya Afrika ya Mashariki, kutakuwa na pambano la Uefa Super Cup katika dimba la taifa la Poland. Bingwa wa Uefa Champions League atamenyana na bingwa wa Uefa Europa League. Real Madrid Vs Atalanta Dunia inaenda kumshuhudia Mbappe kwa mara ya kwanza akiwa ndani ya...
  7. Ritz

    Israel imewaua wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa wa Poland, Australia, Ireland na Uingereza kimakusudi

    Wanaukumbi. Israel imewaua wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa wa Poland, Australia, Ireland na Uingereza kimakusudi. Angalia pasipoti zao. Adui wakubwa wa Israeli ni wasema ukweli. Hivi ni vita dhidi ya Hamas wanasema bahati nzuri wanauwana wao kwao ambao wanajiona wana haki ya kuishi tofauti na...
  8. green rajab

    Poland yatoa mlio baada ya makombora kuingia ndani ya Anga lake

    💬 "We inform that on March 24th, at 4:23 AM, there was a breach of Polish airspace by one of the maneuvering missiles launched tonight by the long-range aviation of the Russian Federation. The strikes targeted towns in western Ukraine. The object entered Polish airspace at the altitude of the...
  9. green rajab

    Makombora ya Urusi yaingia Poland safarini kuelekea Ukraine

    Russia imerusha makombora kuelekea Ukraine yaliyopitia ndani ya Anga la Poland masaa machache yaliyopita na kusababisha Poland kurusha ndege zake F 16 lakini zilisha chelewa na kusababisha mzozo juu ya Air defense zao zilizokua zikikoroma kwenye usingizi mzito Russian missiles are flying...
  10. R

    Rais wa Poland kuwasili nchini kwa ziara ya siku mbili tarehe 8-9 February 2024

    Rais wa Jamhuri ya Poland, Andrzej Duda Rais wa Jamhuri ya Poland, Andrzej Duda anatarajiwa kuwasili nchini kwa ziara ya kitaifa ya siku mbili kuanzia tarehe 8-9 February, 2024. Mh. Duja atawasili nchini tarehe 8 February, 2024 akiambatana na mwenza wake Bi. Agata Kornhauser-Duda na atapokelewa...
  11. T

    Poland na Ukraine waungana na Nchi za Afrika Kupingana na Waraka wa Papa kuhusu Kubariki Ushoga Kanisani

    Baada ya nchi za Malawi, Cameroon, Nigeria na Zambia kupinga waraka wa Papa Francis unaoelekeza kanisa katholiki kubariki ama kuwapa baraka watu wanaojihusishwa na mapenzi ya jinsia moja ama mashoga, sasa nchi za Ulaya Mashariki kama Ukraine na Poland wameupinga huo waraka. Nchi hizo za Ulaya...
  12. Girland

    Upinzani ndani ya Kanisa Katoliki - Maaskofu wapinga kauli ya Papa, Poland, Kenya na Malawi wapinga

    Baraza la maaskofu nchini Poland limekataa kutoa baraka kwa wapenzi wa jinsia moja. Hatua hii inaifanya Poland, Kenya na Malawi kuwa nchi zilizopinga agizo la kiongozi mkuu wa kanisa katoliki. SIJASIKIA kauli ya TEC, je, wanaunga mkono kubariki wapenzi wa jinsia moja au la? Au tuwaache kwanza...
  13. M

    Poland yajigamba hakuna uhalifu baada ya kudhibiti wahamiaji waislamu

    Mzuka wanajamvi. Poland yadai na kujigamba kuwa hamna ubakaji, wizi na uhalifu ukilinganisha na mataifa jirani na mengine ulaya wenye waislam wengi wahamiaji. Wanajisifu na kujigamba kwa kuzuia wimbi la wahamiaji hasa waislam ambao wenyewe wanadaiwa ni waalifu sana na kupeleka nchi yao uhalifu...
  14. MK254

    Mwanamke akamatwa kwa kutega bomu Poland, haya wazungu waanza kuvuna walichopanda

    Mwanamke akamatwa kwa kosa la kutega bomu kwenye nchi ya Poland. Bahati nzuri kule mifumo ya kiusalama iko imara sana, sio rahisi ufanikishe ugaidi. Wazungu waliachia hawa watu wajazane na kuzaliana huko kwao.... ==============================...
  15. Eli Cohen

    Sasa naelewa kwanini Poland na wenzake walikataa wahamiaji kuingia kwao kiholela.

    Leo USA, UK, France, etc wanataabika kwa kuongezeka kwa matokeo ya ismamic extremism na jihadist movements ambayo yanafanywa na watu waliofungulia milango kwa ajili ya hifadhi na kutafuta maisha bora. US na wenzake hawatambui kuwa wanajijengea bomu ambalo litakuja kulipuka muda sio mrefu...
  16. Stephano Mgendanyi

    Taarifa Kuhusu Malalamiko ya Wakulima Juu ya Matrekta ya URSUS kutoka Nchini Poland Yawasilishwa Kwenye Kamati ya Bunge

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imepokea na kujadili taarifa ya hatua zilizofikiwa za utekelezaji wa maelekezo ya Spika wa Bunge kuhusu Malalamiko ya wakulima juu ya Matrekta ya URSUS kutoka Nchini Poland. Taarifa hiyo imewasilishwa na Waziri wa Viwanda na...
  17. SNAP J

    Mkutano mkubwa wa siri wa NATO unafanyika Poland bila ya uwepo wa Marekani

    Jijini Lublin nchini Poland kuna mkutano mzito unaoendelea wa nchi wanachama wa jumuiya ya NATO, lakini cha kushangaza Kiranja wao Marekani hajaalikwa katika mkutano huo. Baadhi ya maswali ni mengi ninayojiuliza: 1. Thima kuu ya Mkutano huo ni nini hasa? 2. Ni kwa nini Marekani hajaalikwa? 3...
  18. Upepo wa Pesa

    Poland imesitisha misaada ya silaha kwa Ukraine! Ukraine yaanza kuchokwa

    Sasa rasmi ukraine yaanza kuchokwa. Poland kasitisha misaada ya silaha kwa ukraine. Naona joto limeanza kupanda muda wowote Ukraine atafosiwa akae mezani na Mrusi vita iishe. Urusi apewe pongezi kwa kuweza kumudu kupigana na mataifa 31 ya NATO pale ukraine! NB: Kuna uwezekano hifadhi ya...
  19. Webabu

    Poland yasema Ukraine ni mfa maji atawazamisha

    Kila raisi akipata fursa kuzungumza kwenye baraza la Umoja wa mataifa husema yale yaliyojificha moyoni.Hivyo ndivyo alivyofanya raisi wa Poland Andrzej Duda jana tarehe 19 ilipofika zamu yake. Katika hotuba yake hiyo aliendelea kutetea uamuzi wa nchi yake kutoruhusu nafaka zote za Ukraine...
  20. Webabu

    Wagner wamepewa kazi ya kuishughulikia Poland?

    Mpaka sasa haijakuwa wazi sana juu ya kilichotokea pale kiongozi wa Wagner, Prigozhin alipofanya uasi na kuelekea kama kutaka kuipindua serikali ya Urusi. Nchi rafiki za Ukraine zilionenaka kufurahia tukio lile japokuwa wachache walitilia mashaka mtiririko mzima wa matukio.Jambo...
Back
Top Bottom