poland

Poland (Polish: Polska [ˈpɔlska] (listen)), officially the Republic of Poland (Polish: Rzeczpospolita Polska [ʐɛt͡ʂpɔˈspɔlita ˈpɔlska] (listen)), is a country located in Central Europe. It is divided into 16 administrative subdivisions, covering an area of 312,696 square kilometres (120,733 sq mi), and has a largely temperate seasonal climate. With a population of nearly 38.5 million people, Poland is the fifth most populous member state of the European Union. Poland's capital and largest metropolis is Warsaw. Other major cities include Kraków, Łódź, Wrocław, Poznań, Gdańsk, and Szczecin.
Poland is bordered by the Baltic Sea, Lithuania, and Russia's Kaliningrad Oblast to the north, Belarus and Ukraine to the east, Slovakia and the Czech Republic to the south, and Germany to the west.
The history of human activity on Polish soil spans thousands of years. Throughout the late antiquity period it became extensively diverse, with various cultures and tribes settling on the vast Central European Plain. However, it was the Western Polans who dominated the region and gave Poland its name. The establishment of Polish statehood can be traced to 966, when the pagan ruler of a realm coextensive with the territory of present-day Poland embraced Christianity and converted to Catholicism. The Kingdom of Poland was founded in 1025, and in 1569 it cemented its longstanding political association with Lithuania by signing the Union of Lublin. This union formed the Polish–Lithuanian Commonwealth, one of the largest (over 1,000,000 square kilometres – 400,000 square miles) and most populous nations of 16th and 17th century Europe, with a uniquely liberal political system which adopted Europe's first written national constitution, the Constitution of 3 May 1791.With the passing of prominence and prosperity, the country was partitioned by neighbouring states at the end of the 18th century, and regained independence in 1918 with the Treaty of Versailles. After a series of territorial conflicts, the new multi-ethnic Poland restored its position as a key player in European politics. In September 1939, World War II began with the invasion of Poland by Germany, followed by the Soviets invading Poland in accordance with the Molotov–Ribbentrop Pact. Approximately six million Polish citizens, including three million of the country's Jews, perished during the course of the war. As member of the Eastern Bloc, the Polish People's Republic proclaimed forthwith was a chief signatory of the Warsaw Treaty amidst global Cold War tensions. In the wake of the 1989 events, notably through the emergence and contributions of the Solidarity movement, the communist government was dissolved and Poland re-established itself as a semi-presidential democratic republic.
Poland has a developed market and is a regional power in Central Europe, with the largest stock exchange in the East-Central European zone. It has the sixth largest economy in the European Union by nominal GDP and the fifth largest by GDP (PPP). It's one of the most dynamic economies in the world, simultaneously achieving a very high rank on the Human Development Index. Poland is a developed country, which maintains a high-income economy along with very high standards of living, life quality, safety, education, and economic freedom. Alongside a developed educational system, the state also provides free university education, social security, and a universal health care system. The country has 16 UNESCO World Heritage Sites, 15 of which are cultural.Poland is a member state of the Schengen Area, the United Nations, NATO, the OECD, the Three Seas Initiative, the Visegrád Group, and guested at the G20.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    Ramzan Kadyrov, mbabe wa kivita wa Chechnya, kaiambia Poland bora ichukue silaha zake Ukraine, kwani Poland ndiyo inayofuata baada ya Ukraine

    Shujaa na Mbabe wa kivita, mchecheni Kadyrov, kawaeleza Poland kuwa ni bora wachukue silaha zao Ukraine ili wazitumie kujilinda wao wenyewe, na wachukue wapiganaji waliowapeleka Ukraine na kisha waombe msamaha rasmi kwa walichomfanyia balozi wa Russia nchini Poland. Wasidhani tukio lile...
  2. M

    Poland inachekesha, Wakati yenyewe imegoma kununua gesi toka Urusi, inaitaka Norway iwagawie faida wanayopata kwa kuwauzia gesi kwa bei ya juu

    Huwezi kuamini mawazo na akili ya Viongozi wa Poland!! Wam,eamua kuachana na gesi ya urusi ya bei rahisi kwa kuwa wanaweza kununua gesi pia toka Norway na nyingine toka Ujerumani (inayopata gesi toka urusi). Lakini wanailalamikia Norway kuwa inawauzia gesi kwa bei kubwa sana karibuni mara NNE...
  3. M

    Poland yasitisha kununua gesi toka Urusi: Lakini mabomba yaliyokuwa yanaleta gesi toka Urusi sasa yataleta gesi toka urusi kupitia Ujerumani!

    Poland imesitisha mkataba wa kununua gesi toka ujerumani. Sababu ni kwamba hawataki kulipia gesi kwa ruble!! Ila cha kushangaza ni kwamba wanasema yale mabomba yaliyokuwa yanaleta gesi toka urusi kwa sasa yataunganishwa kwa ujerumani ili yalete gesi toka ujerumani. Inajulikana kuwa ujerumani...
  4. M

    Huu sasa ni ushenzi: Balozi wa Urusi nchini Poland amwagiwa kimiminika cha rangi nyekundu

    Hii imevuka mipaka!! Balozi wa Urusi nchini Poland alimwagiwa kimiminika cha rangi nyekundu wakati akiwa katika harakati za kuadhimisha ushindi wa Jeshi la Urusi dhidi ya majeshi ya kinazi ya Hitler. Alimwagiwa na waandamanaji wa kike wanaopinga vita nchini ukraine. Hili tukio lilitukia jana...
  5. M

    Urusi imezikatia gesi nchi za Poland na Bulgaria. Putin alivyosema walipe kwa ruble hakuwa anatania

    Urusi imezikatia gesi nchi za Poland na Bulgaria baada ya nchi hizo kukaidi kulipia gesi kwa kutumia pesa ya Urusi ruble. Mara baada ya tangazo hilo kutoka, bei ya gesi ilipanda kwa asilimia 12 katika nchi za magharibi!! Gazprom halts gas supplies to Bulgaria, Poland Russia’s state-owned energy...
  6. YEHODAYA

    Poland: Jiji la Lublin lenye wakazi 350,000 lasifiwa kwa kuwahifadhi na kuwatunza kwa kila kitu vizuri wakimbizi 40,000 toka Ukraine

    Kwa mujibu wa BBC Jiji la Lublin ,Poland lenye wakazi 350,000 lasifiwa kwa kuwahifadhi na kuwatunza kwa kila kitu vizuri wakimbizi 40,000 toka Ukraine Wamewapa wakimbizi makazi mazito,chakula mavazi na wameamua kuwa wabaki tu kwenye jiji lao wataishi vizuri tu Dar es salaam tuko zaidi ya...
  7. bernard10

    Urusi wathibitisha shambulizi la ghala la mafuta Lviv

    Jeshi la Urusi, Limethibitisha kwa njia ya video SHAMBULIZI lao huko Magharibi mwa lviv karibu na mpaka wa Poland ambalo shambulizi hilo lilipigwa kwa njia ya Rocket lililenga ghala la mafuta (fuel Depot) jumamosi. Wazili waulinzi wa Urusi alisema eneo hilo lilikuwa likihudumia majeshi y...
  8. Melubo Letema

    Emanuel Giniki Gisamoda Avunja Rekodi ya Mashindano ya Warsaw Peace Half Marathon huko Poland (1:00:30)Leo.

    Mwanariadha wa Kimataifa wa Riadha Tanzania, Emanuel Giniki Gisamoda Ameshinda Mbio za "Warsaw Peace Half Marathon 2022" kilomita 21 Nchini Poland, Kwa Kutumia Muda wa Saa Moja na sekunde thelathini (1:00:30) iliyodumu Miaka 8 Kwa sekunde kumi na Tisa. Tukumbuke Emanuel Giniki, Mwaka huu...
  9. Mwamuzi wa Tanzania

    Kama Putin aliivamia Ukraine kwakuwa ilikuwa tishio kwa usalama wa URUSI. Je, Poland haitavamiwa pia kwa usalama wa Urusi?

    Marekani na NATO kumpeleka vifaa na mitambo ya kivita Poland haitapelekea baadaye Urusi kuivamia Poland? Kama Mrusi ameweza kuizingira Ukraine na kilichobaki ni majeshi kunyoosha mikono tu kisha atangaze wananchi wakimbizi warudi nyumbani maisha yaendelee. Hatua itakayofuata ni kuivamia Poland...
  10. M

    Poland imeshtuka kuingizwa mtegoni na Marekani Vita ya Urusi na Ukraine

    Kulikuwa na suala la kupata ndege za kivita ili kupeleka Ukraine zikasaidie kupambana na Urusi. Nchi zote zikaingia baridi, halafu Marekani ikasema inafanya majadiliano na Poland ili ikubali kupeleka ndege zake Ukraine. Poland hakutaka kumkatisha tamaa Marekani, ila ikamwambia kuwa haiwezi...
  11. J

    Waziri Mulamula: Watanzania walioko Ukraine wajitahidi waingie Poland. Wananchi msiwe na wasiwasi Serikali inafuatilia!

    Waziri wa Mambo ya nje Mh Mulamula amewataka watanzania takribani 300 walioko Ukraine wajitahidi waweze kuingia Poland ambako uratibu unafanyika. Mulamula amesema ameona ubaguzi unaoendelea Ukraine kupitia mitandaoni na amesikitishwa sana lakini wananchi wasiwe na wasiwasi kwa sababu serikali...
  12. K

    Waafrika wazuiwa kuingia katika treni inayo elekea Poland

    Waafrika waishio Ukraine wamekataliwa kuingia katika treni inayoelekea Poland ambayo inabeba raia wanaokimbia vita.
  13. beth

    Poland: Rais apiga marufuku Sheria ya Vyombo vya Habari

    Rais wa Poland Andrzej Duda leo ametumia kura yake ya turufu kukataa sheria tata ya umiliki wa vyombo vya habari ambayo wakosoaji wanasema inalenga kunyamazisha kituo cha habari cha TVN24 kinachomilikiwa na Marekani. Katika taarifa kupitia televisheni, Duda amesema kuwa ameipinga sheria hiyo...
  14. Sky Eclat

    Ilikuwa 1980 nchini Poland, mdau amekwenda kwenye music festival na radio cassette ili arecord nyimbo

    Ilikua Jarocin Festival, vijana na wanaharakati walii penda sana, ilikua inspiration kuachana na utawala wa ki communist na waliimba mabaya yakiyofanywa na viongozi.
  15. sky soldier

    Belarus yatumia maharamia kuidhoofisha EU, yatishia kukata gesi inayotumika kupunguza baridi kwenye nchi nyingi za EU, vita yanuka

    Nchi ya Belarus inatmua maharamia kuidhofisha EU ikiwa na lengo la kujaza maharamia wengi sana kwa kuwasaidia kuzamia katika nchi za EU. katika miezi ya hivi karibuni, maelfu ya watu wamesafiri kwenda Belarus kutoka Mashariki ya Kati, Afrika na Asia ili kuzamia Ulaya ya magharibi. maharamia...
  16. Bahati furaha

    Wanajeshi wa Poland kutegua bomu hatari la Uingereza lililodondoshwa katika vita vya pili vya dunia

    Wapiga mbizi wa jeshi la Poland wameanza operesheni ya hatari ya kunasua bomu kubwa la Uingereza lililotumika kwenye vita vya pili vya dunia lililo chini ya bahari. Karibu wakazi 750 wameondolewa kutoka kwenye eneo hilo karibu na mji wa bandari wa Swinoujscie, na operesheni hiyo inatarajiwa...
Back
Top Bottom