Polisi Tanzania (Polisi Morogoro) is a football club in Morogoro, Tanzania.The 2015/16 season they are playing in the Tanzanian First Division League. They previously played in the top level of Tanzanian professional football, the Tanzanian Premier League.
Septemba 10,2024 Mahakama Kuu ilitoa uamuzi wa kuwarudisha kazini Askari watatu kama taarifa ilivyojieleza kwenye mtandao wa Mahakama ujulikanao kama TanzLii (Home - TanzLII) ambapo majina ya askari hao na sababu ya uamuzi uliotolewa vyote vimebainishwa katika taarifa hiyo.
Baada ya uamuzi...
askari
jeshi
jeshi la polisi
jeshi la polisitanzania
kazini
kuhusu
kurejeshwa
kuu
mahakama
mahakama kuu
polisipolisitanzania
taarifa
tanzania
tanzlii
tuzo
waliopewa
Yaan Kwa vile mlizoea chama cha walimu ambao kimsingi viongozi wake ni mapandikizi, Vijana wamewashtua, mnaanza kuhaha, kutafuta suluhisho Kwa Vijana ,nyie mnawapa majina mabaya ,wahalifu, wavunja Amani ,Magaidi .
Khaaa?? This is a shame !!.
Mambo mengine ni kujidhalilisha kupita kiasi.
Yaan...
Kwa heshima,
Kiongozi wa Jeshi la Polisi Tanzania,
Makao Makuu,
Dar es Salaam.
Mpendwa Kiongozi,
Natumai barua hii inakukuta salama. Ningependa kuchukua fursa hii kuungana na wenzangu katika kujadili suala la ulinzi na usalama nchini Tanzania. Kwanza kabisa, napenda kuwapongeza kwa...
Kwangu binafsi naona ni mwendelezo wa unafiki wa Polisi Tanzania. Umesikia hata siku moja pale inapotokea ajali ya gari za serikali, hasa hizi Landcruiser ST.. wakisema ajali imesababishwa na uzembe wa dereva? Na kila mtu anajua madereva wa hizi ST.. wanaendesha gari kwa fujo bila kufuata sheria...
Eti wakuu, alipokuja makamu wa Rais wa Marekani si mnakumbuka jinsi barabara zilivyofungwa na watanzania kupata bughudha ya usafiri pamoja na adha nyingine. Nilitegemea Jeshi la Polisi wangetoa statement ya kuwaomba radhi watanzania kwa usumbufu wowote uliojitokeza, ila ikawa kimyaaaaa.
Juzi...
Lenco BearCat wanatengeneza armored vehicles kwaajili ya majeshi mbalimbali Duniani, ikiwemo SWAT.
Kwa sasa Jeshi la Polisi wameleta vyuma ivyo kwaajili ya kurahisisha kazi zao.
Model ilioletwa ni G3 ambayo imeonekana ikisimamia swala la ulinzi siku hizi mbili.
Hii chuma ina engine ya V8...
Nimeona watu wanashangaa polisi kuja na taarifa za mtu aliedhaniwa katekwa kuwa kafa kwenye ajali ....siko hapa kuwatetea polisi ..wala kushutumu lakini ningependa kuongea Kwa uzoefu wangu ...kuhusu polisi Tanzania...
Niliwahi kuwa na kesi ya mtu alienitapeli ...polisi Chango"mbe nikapewa...
Vijana 131 kati ya vijana 3,698 waliokuwa kwenye mafunzo ya awali ya askari polisi kwenye shule ya polisi Tanzania zamani ikiitwa CCP ,wameshindwa kuendelea na masomo baada ya kufukuzwa shuleni hapo kutokana na makosa mbalimbali ikiwamo ya utovu wa nidhamu.
Hayo yamo kwenye Taarifa ya mkuu wa...
Akiongea na na Watangazaji wa kipindi cha asubuhi Good Morning cha Wasafi radio Septemba 27, 2024 Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Akson Mwansasu ameshangaa Jeshi la Polisi kuhusishwa na utekaji na mauaji ya raia wema
Hivi karibuni vijana watatu wa chama cha demokrasia na maendeleo...
Serikali imekwamisha tena uamuzi wa hatima ya dhamana ya meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu ‘Boni Yai’ baada ya kuibua maombi mengine mapya kuwa wanataka kuwasilisha kiapo cha ziada leo Alhamisi Septemba 26, 2024.
Hakimu Mkazi Mfawidhi, Franco Kiswaga alitarajia kutoa uamuzi juu...
Leo nimepita Mahali fulani nikasikia Gari la matangazo la jeshi la polisi likihamasisha wananchi kujitokeza uwanjani kushiriki michezo na kukaa pamoja kufichua uharifu na mambo mengine.
Nacho shangaa juzi tu polisi waliwatisha wananchi wasiandamane kupeleka kilio chao cha masahibu ya kutekwa...
Mpaka sasa umoja, amani na utulivu wa wananchi katika kila kona na pembe ya nchi, ni imara na kuna usalama wa kutosha na wa uhakika sana. Hii ni ishara kwamba vyombo vingine vya ulinzi na usalama nchini, viko tayari kujitolea kulinda wananchi na viko imara zaidi.
Hakuna kitisho cha vurugu...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camillus Wambura mara baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ikulu Jijini Dar es salaam tarehe 20 Septemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Akifunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania, Viwanja vya Jeshi la Polisi CCP Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba, 2024...
Kumekuwepo malalamiko kutoka kwa baadhi ya wahanga wa mateso yatolewayo vituo vya polisi kuhusu uwepo wa KARAKANA za utesaji ndani ya vituo vya polisi nchini.
Haya ni sehemu ya maelezo ya kijana SATIVA kupitia mtandao wa X alipokjwa anaelezea kutekwa kwake na jaribio lililoshindwa la kumuua...
Kada na mwanachama wa CHADEMA, Martin Marnja Masese ametumia ukurasa wake wa Twitter kudokeza kuwa wakati wanaelekea kwenye mazishi ya mzee Ali Mohamed Kibao walikutana na dereva wa basi la Tashriff.
Kwenye tweet hiyo, MMM alisema kuwa walikutana na Tashriff express eneo la Mbwewe mkoani Tanga...
ally kibao
ally kibao auawa
chadema
haya
kada wa chadema
kamera
kuelekea 2025
kuhusu
martin maranja masese
maswali
mbona
polisitanzania
sana
utekaji dar
watanzania
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika akizungumza na wanahabari mchana wa siku ya Jumamosi Septemba 7, 2024 Makao Makuu ya CHADEMA, Dar es Salaam amesema kuwa...
“Kwa aina ya bunduki walizokuwa nazo hao watu waliokuja kumchukua (Mzee Ally Mohamed Kibao ambaye ni...
Nisiwachoshe sana.
Matukio ya watu kupotea ndani mikono ya polisi.
Matukio ya watuhumiwa kuteswa na kutwezwa wakihojiwa na polisi
Matukio ya mauaji ndani ya vituo vya polisi ni mengi
Matukio ya watu kutekwa na vyombo vya dola kisha kutoweka ni mengi
Matukio ya kutishia wakosoaji na kuwabambika...
Wakuu,
Naona tunaenda kufanyiwa maigizo tena na kuna mtu anataka kulindwa. Eti uchunguzi umebaini vijana wale hawakutumwa na 'afande na kwamba vijana wale walikuwa kama wavuta bangi tu na yule binti alikuwa kahaba!
Mpaka utambulisho wa moja wao umebainika halafu leo maneno yanageuzwa hivi...
binti aliyebakwa yombo
binti aliyelawitiwa
binti wa yombo
dpp
kesi ya kulawiti
kesi ya ubakaji
kubakwa
polisipolisitanzania
sacp theopista mallya
tanzania
ubakaji na ulawiti
ukatili wa kingono
ukatili wa polisi
ulawiti binti wa yombo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.