Polisi Tanzania (Polisi Morogoro) is a football club in Morogoro, Tanzania.The 2015/16 season they are playing in the Tanzanian First Division League. They previously played in the top level of Tanzanian professional football, the Tanzanian Premier League.
Tuna changamoto kubwa sana ya uwajibikaji binafsi mpaka mtu awajibishwe na ikifika hatua hiyo inakua kwa aibu sana.
Baadhi ya Polisi Tanzania ni genge la watekaji na wauaji na wanajua kwa sababu wanayaratibu wao wenyewe. Huku Rais anahubiri zile 4R sijui labda akitoka kuhubiri jukwaani behind...
"Tanzania ni miongoni mwa nchi chache katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ambazo, askari na wananchi wana mahusiano mazuri kuliko nchi nyingine katika jumuiya hii, na wananchi wanalifurahia jeshi lao kwa namna linavyolinda maisha yao na mali zao".
Naibu Kamishna wa Polisi (DCP)...
SERIKALI YA ZANZIBAR IMEKAA KIMYA KUHUSU HAWA MATAPELI WA MTANDAONI HII NI HATARI KWA WATU WANAOTAKA KUFANYA BIASHARA ZANZIBAR KUONA MATAPELI @soknibike WEZI WANAKUMBATIWA NA SERIKALI SASA WANANCHI WOTE KUWENI MAKINI NA HAWA SOKONI BUKE TUNAOMBA JESHI LA POLISI ZANZIBAR LIWASHULIKIE...
Kuna matukio mengi sana yanayohusu maandamano wanayofanya wananchi wa Kenya kwa ajili ya ugumu wa maisha unaotegemewa kuletwa na ongezeko la kodi katika bidhaa kadhaa nchini humo.
Ila sasa, tukio la masaa kadhaa yaliyopita kwa vijana kuamua kuingia ndani ya bunge la nchi hiyo ndilo kubwa.
Na...
MALALAMIKO KUTOKA FAMILIA YA MAREHEMU WOLFGANG M.TURUKA.
Tangu tarehe 14/9/2020 ndugu yetu Tito hajulikani alipo na familia tunazo taarifa kwamba Polisi walimpiga akiwa kituoni na kumuua, kisha wakamzika kusiko julikana.
Ofisi ya RPC Ruvuma walifungua jalada la uchunguzi tangu tar. 28/2/2024...
Anonymous
Thread
kupotea kwa tito turuka
polisitanzania
tito wolfgang turuka
toto turuka
ukatili wa polisi
unyanyasaji wa polisi
vyombo vya usalama tanzania
watu wasiyojulikana
Nawasalimu kwa Jina la Muungano wa Tanzania!
Samahani, naomba kuwasilisha MAONI kutokana na kuwepo kwa changamoto ya kimtandao kuanzia tarehe 11.05.2024 hadi hivi sasa. Hali ambayo inazua taharuki kwa vijana waliyokidhi vigezo vya kufanya maombi ya nafasi za ajira zilizotangazwa kwenye mfumo wa...
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania anatangaza nafasi za ajira kwa vijana wenye elimu ya Shahada, Stashahada, Astashahada, Kidato cha sita na Kidato cha nne.
1. Sifa za Muombaji
a) Awe raia wa Tanzania kwa kuzaliwa.
b) Awe amehitimu kidato cha nne au sita kuanzia mwaka 2018 hadi 2023.
c) Kwa...
Mara kadhaa kama jamii tumejikuta tukiwa na dhana mbaya sana kuhusu maafisa usalama hususani ni askari polisi, mgambo na kadhalika. Takwimu nyingi zimeonesha kuwa jamii haina imani kabsa na utendaji kazi wa askari polisi kwa kiwango kikubwa, jamii ina hofu ya ajabu sana ukizungumza kuhusu...
Jeshi la Polisi Tanzania latajwa miongoni mwa Majeshi Bora yanayotumia Uweledi kwenye utendaji wake.
Tanzanian Police imeshika namba 9 kwenye 10 Bora huku Majirani zetu hakuna hata mmja anaetufikia.
My Take
Hongera Jeshi la Polisi Tanzania ndio maana hata Machadema wanapoandamana walitegemea...
Jeshi la Polisi Tanzania limesema limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa aliyewatapeli watalii waliokuja nchini kwa ajili ya kupanda Mlima Kilimanjaro huku likibainisha kuwa Tanzania ni nchi salama kwa wageni wa ndani na nje ya Tanzania.
Hayo yamesemwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro...
Mbombo ngafu.....jidanganye kwamba maandamano yamekubaliwa!!!!
======
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema limekutana na Viongozi wa CHADEMA na kuwahoji kuhusu maandamano waliyopanga kuyafanya January 24,2024 na wamekubaliana kuwa watawapa majibu kimaandishi kesho January...
Jeshi la Polisi nchini limesema kuwa limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa wa mauaji ya Beatrice James Minja ambayo aliyafanya huko Tarekea Wilaya ya Rombo Mkoa wa Kilimanjro Tarehe 12.11.2023 na mtuhumiwa aliyefanya aliyefanya tukio hilo kukimbia.
Akitoa taarifa hiyo leo kwa vyombo vya Habari...
Mfumo wetu wa siasa unakataza indirectly Kiongoz wa kisiasa au chama tawala kuhojiwa anapotenda jinai . Vinginevyo lazima wapokee maelekezo kutoka kwa viongozi wa kisiasa wasipofanya hivyo .
Incase akajitokeza askari akataka kumhoji mwanasiasa basi mfumo unaweza kuelekeza ahojiwe yeye au...
Mheshimiwa nina taarifa mbili kama ifuatavyo:
Tarehe 24/10/2023 kati ya saa tatu na saa nne nilipita Moshi na gari binafsi nikitokea Arusha. Safari yangu hiyo ilikuwa ni safari ndefu iliyoanzia Tanga, Dar, Morogoro, Dodoma, Manyara, Arusha na siku hiyo nilipita Moshi katika safari ya Kurudi...
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camillus Wambura, amefanya uhamisho wa baadhi ya Makamanda wa mikoa kwa lengo la kuboresha ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya Jeshi la Polisi.
Niliwahi kuleta Uzi kwa nia ya ku whistle blow taarifa nyeti ya mtu ninayemshuku kuwa ni gaidi wilayani Bwagamoyo.
Nilimshuku mtu huyo baada ya ishara kuu Tatu.
1. Tulianza mijadala ya kawaida ya kidini lakini baadaye akwa nanaishawishi nibadili dini.
2. Alipoona sielekekei kukubaliana naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.