porini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Equation x

    Kufuga ndege na wanyama wa porini kunahitaji kibali?

    Wakuu, naomba kuuliza, Kufuga kanga wa porini , sungura na kware, ni lazima kuwepo na kibali?
  2. John Haramba

    Mtwara: Bodaboda waliopotea wakutwa wamekufa porini, Polisi waokota viungo vya binadamu

    Wimbi la mauaji limeendelea kuzitesa familia za baadhi ya Watanzania baada ya Polisi mkoani Mtwara kuthibitisha mauaji ya madereva bodaboda wawili ambao miili yao imepatikana pamoja na baadhi ya viungo vya mtu mwingine katika pori la Kijiji cha Hiari wilayani Mtwara Akizungumzia matukio hayo...
  3. N

    Je, tausi anaweza kuishi mwenyewe porini?

    Au wameshakuwa kama kuku kwamba bila kufugwa na watu hawawezi kustawi? Karibuni kwa taarifa wajuzi!
  4. Sky Eclat

    Haya matunda ya mvuti huwa yanajiotea porini, kumbe yanauzwa ghali

  5. tpaul

    Watanzania wamemtupa Rose Muhando porini, ameokotwa na Wakenya

    Hakuna shaka kwamba msanii nguli wa nyimbo za injili, Rose Muhando, ndiye malkia na gwiji wa nyimbo za injili Afrika Mashariki na Kati. Msaanii huyu alianza kuvuma kwa muda mrefu sana na kiwango chake kimebakia juu pamoja na kwamba umri wake kwa sasa umesogea. Album kali kabisa ya Rose Muhando...
  6. Keagan Paul

    Nimepanga kwenda kuishi Msituni/Porini sana

    Kila mtu katika maisha kuna kitu anapenda, kila mtu ana tafsiri yake ya maisha na jinsi ya kuyafurahia maisha. Toka nimerudi kutoka South Afrika Kama kuna kitu natamani kufanya kwenye maisha yangu hapa Bongo na kitanipa furaha ya kweli, basi ni kwenda kujenga na kuishi Msituni,nilijikuta...
Back
Top Bottom