port

A port is a maritime facility which may comprise one or more wharves where ships may dock to load and discharge passengers and cargo. Although usually situated on a sea coast or estuary, some ports, such as Hamburg, Manchester and Duluth, are many miles inland, with access to the sea via river or canal. Because of their roles as a port of entry for immigrants many port cities such as London, New York, Shanghai, Los Angeles, Singapore and Vancouver have experienced dramatic multi-ethnic and multicultural changes.Ports are extremely important to the global economy, responsible for 70% of global merchandise trade by value. For this reason, ports are often high-concentrations of the global population—providing the labor for processing and handling the goods and related services for the ports. Today, by far the greatest growth in port development is in Asia, the continent with some of the world's largest and busiest ports, such as Singapore and the Chinese ports of Shanghai and Ningbo-Zhoushan. As of 2020, the busiest passenger port in the world is the Port of Helsinki in Finland. However, ports can also be very small and only serve local fishing or tourism.
Ports are responsible for a number of environmental impacts on local ecologies and water ways, for example direct effects on water quality, caused by dredging, spills and other pollution. Ports are heavily effected by the changing environmental factors caused by climate change. Importantly most port infrastructure is extremely vulnerable to sea level rise, due to its low-lying nature, making it vulnerable to extreme weather and coastal flooding. Internationally, global ports are beginning to identify ways to improve coastal management practices and integrate climate change adaptation practices into their construction.

View More On Wikipedia.org
  1. Li ngunda ngali

    Kama ni kweli hawa wasanii wanapelekwa Dubai kwa mission maalum Dubai Port, hakika inafikirisha!

    Watanzania wenzangu hatima ya ustawi wa Taifa letu upo mikononi mwetu. Ni wajibu wetu kama Watanzania tujizuie kwa namna yeyote ima kununuliwa ama kushawishiwa kwa namna yeyote ile ilmradi tuligawe Taifa na rasilimali zetu. Safari za namna hiyo za watu maarufu na wasanii wetu kwenda huko Dubai...
  2. U

    Mkataba wa Bandari: Mbunge Aida Khenani akiri kupelekwa Dubai, lakini mpaka wanarudi hakujua walikwenda kufanya nini

    Hakika shetani ana trick za ajabu sana anapotaka kutenda au anapotenda uovu wake kwa kuwatumia watu waovu hususani viongozi wenye dhamana kubwa za kuongoza nchi na wananchi wa nchi yetu.. Hebu twende pamoja, soma na sikiliza hii👇👇👇 Mkataba wa DP WORLD ni zaidi ya mkataba tu! • Kumbe kulikuwa...
  3. Q

    DP World walifukuzwa Yemeni (Aden Port)

    Kwanini viongozi wetu hawataki kujifunza makosa ya nchi zingine zilizowahi kuingia mikataba ya aina hii na DP World. Mwaka 2008 Yemeni waliingia mkataba wa miaka 30 kwa bandari yao ya Aden Port na DPW na kusainiwa haraka haraka na rais wa wakati huo aliyekuwa anamaliza muda wake Rais Ali...
  4. SNAP J

    Ijue Dubai Ports World (DP World) company

    Dubai Ports World (DP World) ni kampuni ya kimataifa ya usimamizi wa bandari na kuwezesha biashara iliyo na makao yake makuu huko Dubai, Falme za Kiarabu (UAE). Ni mmoja wa waendeshaji wakubwa wa bandari duniani na inasimamia mtandao wa bandari za baharini na ndani katika zaidi ya nchi 45 kwenye...
  5. OLS

    Je, wajua Djibouti walivunja mkataba na DP-World?

    Haya mijadala inaendelea kuhusu uwekezaji wa bandari, hoja nyingi zikitolewa kutokana na masharti ya mkataba huo ambao unaonekana utaathiri uchumi wa Tanzania badala ya kuuendeleza. Kampuni ya Dubai inayosimamia bandari Zaidi ya 78 katika nchi 40 duniani imekuwa na kashfa kadhaa za ukwepaji...
  6. J

    Musukuma aisifia DP world ya Dubai sakata la bandari. Adai Taifa linacheleweshwa na wajinga wanaotaka kushirikishwa kila kitu

    SAKATA la kuuza Bandari kwa Mwarabu limezidi kuwagawa watanzania hapo Mbunge Joseph Msukuma amewashambulia watanzania wanaopiga kuuzwa kwa bandari kwa mwarabu. ============== Mimi ni mmmoja wa Wabunge niliyeenda Dubai, kuona uwekezaji uliopo Dubai. Wala sijifichi. Nilienda kwenye ziara ya...
  7. Mnada wa Mhunze

    Dkt. Chamliho alitenguliwa Ujenzi ili Prof. Mbarawa akarahisishe ya Dubai Port?

    Sasa naanza kuamini aliyekuwa waziri wa miundombinu Dkt. Chamliho alitenguliwa makusudi ili mwenye mamlaka aweke mtu atakaye mmudu ili iwe rahisi kufanya hayo ya waarabu. Duru zinadai Dkt. Chamliho alivimbisha shingo kwa kumkatalia bi tozo kuhusu mkataba ule mwanzoni kabisa kuwa haufahi na...
  8. Satisfy

    Nani atawahi soko la maziwa makuu kati ya Tanzania (Dar port) na Kenya (Mombasa port)

    Mwaka 2014 kenya ilikopa fedha kutoka china kupitia bank ya exim ili ku implement ujenzi wa reli toka mombasa port adi Rwanda kupitia Uganda. Ujenzi ulianza immediately, but reli iliishia mji wa naivasha nchini kenya nakupelekea nchi kupata hasara. Mwaka 2022 Tz imekopa fedha kutoka china kwa...
  9. H

    Yanga watafute video za Fc Port ya Ureno ilipokuwa ikinolewa na Kocha Jose Mourinho

    Nimeona niwape kidogo mbinu Yanga ili kuisaidia timu kuvuka hiyo hatua muhimu. Kwanza nawasalimu. Mimi ni mpenzi wa mpira wa Ulaya hasa Ligi ya Uingereza katika kipindi cha miaka ya 2000 hadi 2013. Katika hiki kipindi soka la Ulaya lilikuwa sio la kisport sport. Ilikuwa ni balaa sio kama sasa...
  10. Peter_John

    INAUZWA Usb port 4 in one inauzwa

    Habari za wakati huu wamachama wote wa JF ,Nina uza hiki kufaa chenye usb ports 4 pamoja na waya mfupi wa type C, kifaa hiki kitakuwezesha kuchaji simu tano kwa wakati mmja endapo uta connect usb wires kwenye hizo ubs ports. Nakiuza sh elf Saba tu (7k). Nipo dar, ahsante
  11. BARD AI

    Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kuanza rasmi 2023

    Tanzania inatarajia kuanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo katika mwaka ujao wa fedha. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa alibainisha jana kuwa hawatalazimika kusubiri zaidi wawekezaji kuanza ujenzi wa bandari hiyo. "Wawekezaji wataungana nasi...
  12. Suzy Elias

    Tetesi: Waarabu wa Dubai Port kuwang'oa TICTS bandarini

    Ni wazi Ticts hana chake tena bandarini na hii ni baada ya kampuni ya waarabu wa Dubai Port kufanikiwa kuwashawishi watawala ili wawape Mkataba wa kushusha na kupakia makasha shughuli ambayo Ticts walikuwa wanaifanya hapo awali. NB: Ile picha ya mama pale Burj inaendelea kulipa.
  13. MK254

    Sh 40bn terminal shapes port battle

    The Kipevu Oil Terminal in Mombasa. FILE PHOTO | NMG Before the launch of the new Sh40 billion Kipevu Oil Terminal in Mombasa, the old facility that had been in existence for six decades could only handle 35,000 tonnes of cargo at a time. It could also accommodate one vessel at a time of upto...
  14. R

    Ajira port lakini kila nikiomba naambiwa failed

    AJIRA PORTAL NINA ACADEMIC QUALIFICATIONS ZINAZOKIZI LAKINI KILA NIKI APPLY NAAMBIWA FAILED? Mwenye uzoefu naomba anisaidie Kama Ni professional qualifications pia naomba kujua kwa watu wa education KIPENGELE Cha professional qualifications inatakiwa kujaza vitu gani
  15. MK254

    First ship docks at new Sh32bn port terminal

    The Kenya Ports Authority (KPA) has officially operationalised the Sh32 billion Container Terminal 2 with a first ship docking with 2,704 twenty-foot-equivalent units (TEUS) on Tuesday. The vessel, CMA CMG Mv Jamaica docked at the newly constructed berth 22 at Port of Mombasa as KPA begins a...
  16. Tony254

    Baadhi ya meli zimekataa kutia nanga Dar es Salaam port kwa msongamano. Zimeacha mizigo Mombasa port ili kufanyiwa transhipment

    Ukiona baadhi ya meli zinaprefer kuwacha mizigo Mombasa port kuliko kupanga foleni ndefu huko Dar port ujuwe kwamba Malazy wameshindwa kabisa kuliendesha bandari lao. ====== Mombasa port transshipment business grows Different shipping lines have opted for Mombasa port due to what they claim are...
  17. Memento

    Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi

    Nimeona Rais akisema Serikali kutafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar es Salaam ili kuleta ufanisi na kuongeza mapato. Ni kweli tunahitaji mbia wa kuiendesha bandari ya Dar? Sisi wenyewe imeshindikana kabisa? Tumewahi kufanya hivi kwenye reli, shirika la ndege lakini tunajua kilichotukuta...
  18. Tony254

    Asilimia mbili tu ya mizigo ya Uganda ndio inayopitia Dar es Salaam port, huku asilimia 98% ikipitia Mombasa port, asema mkurugenzi mkuu wa TRC

    Wadau mimi nilijua kwamba asilimia 20 ya mizigo ya Uganda hupitia Dar es Salaam port sasa leo nimepigwa na butwaa kusoma maneno aliyosema mkurugenzi mkuu wa TRC Masanja Kadogosa kwamba asilimia mbili tu ya mizigo ya Uganda ndio hupitia Dar es Salaam port. Hio ina maana kwamba asilimia 98 ya...
  19. NairobiWalker

    Kati ya Port of Mombasa na Dar Port gani inahandle cargo nyingi zaidi?

    Nauliza tu swali maanake nimeona vita humu watu wakijibizana sana. Hivi kati ya hizi Port mbili gani inahandle cargo nyingi zaidi?
  20. Bowie

    Lazaro Nyarandu na Bilionea kutoka Uingereza Katika Sakata Wilson Airport Nairobi

    Wakati joto la uchaguzi wa Kenya likipanda Aliyekuwa Waziri wa Utali wa Tanzania Nyarandu ameonekana akiwa na Bilionea wa Uingereza pamoja na msaidizi wa Ruto kwa jina Sudi wakizuiwa kwenye uwanja wa ndege Nairobi. Inasemekana Nyarandu na Bilionea huyo walitokea Tanzania kwa ndege ya kukodi na...
Back
Top Bottom