postgraduate diploma

A postgraduate diploma (PgD, PgDip, PGDip, PG Dip., PGD, Dipl. PG, PDE) is a postgraduate qualification awarded after a university degree, which supplements the original degree and awards them with a graduate diploma. Countries that award postgraduate diplomas include but are not limited to Bangladesh, Barbados, Belgium, Brazil, Canada, Chile, Colombia, Germany, Hong Kong, Jamaica, Spain, Kenya, South Africa, Sudan, India, Ireland, the Netherlands, New Zealand, Nigeria, Republic of Panama the Philippines, Portugal, Russia, Pakistan, Poland, Saudi Arabia, Singapore, Sweden, the United Kingdom, Sri Lanka, Trinidad and Tobago and Zimbabwe. Level of education and recognition differ per issuing country.

View More On Wikipedia.org
  1. Google Diggers

    Kuna mwenye uelewa na postgraduate diploma msaada

    Naitwa Google Diggers. Nina miaka 31 Nina degree ya Sanaa yaani bachelor of arts na nina stashahada ya masuala hayahaya ya Sanaa. Kifupi ni Political sciences. Nataka kufanya post graduate ya IT Je inaweza ikakubalika?? IT imejaa science na mimi science niliifanya o level pekee Msaada wa Mawazo
  2. M

    Je, nikihitaji kusoma upya degree ya 2 ya HR au Public Administration, nitatumia miaka miaka 3 tena?

    Mimi ni muhitimu wa shahada ya LOCAL GOVERNMENT ADMINISTRATION AND MANAGEMENT kutoka chuo cha serikali za mitaaa mwaka 2023 Nimekuwa nikiahangaika kuomba ajira hata sekta binafsi katika ngazi ya HR na Administration ila imekua ngumu lakini kwa ngazi ya serikali pia imekua ishu mpka leo nili...
  3. G

    Kuna tofauti gani kati ya masters degree na postgraduate diploma? Je, kwenye ajira faida zina utofauti gani?

    Habari wanaJF. Kama kichwa kinavyosema, huwa naona ukitaka kwenda masters au postgraduate diploma ni lazima uwe na degree? Ukiangalia qualification za kujiunga zinafanana, ukiangalia namna ya usomaji chuoni kunafanana, ukiangalia kwenye prospectus vyuoni ni vitu ambavyo ni vinafanana kila...
  4. Joan lewis

    Tamisemi tunaomba angalau mwaka huu muwachukue Waliosoma Postgraduate Diploma Ualimu kwa Makubaliano

    Jaman hebu mwakahuu kwenye hizi muwakumbuke waliosoma stashahada ya uzamili. Wengine wamemalza Tangu mwaka 2014. UDSM kwanini mnawaacha? Hakuna mtu anatafuta special seat ya mshahara ila walisoma ili wapate nafasi ya kupractice passion zao za kufundisha. Baada ya kuchaguliwa Kozi nyingine...
Back
Top Bottom