precision air

Precision Air Services Plc (operating as Precision Air; DSE😛AL) is a Tanzanian airline based at Julius Nyerere International Airport in [[Dar es Salaam]. The airline operates scheduled passenger services to Nairobi, Entebbe, and airports in Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. britanicca

    Siitazami ajali ya ndege kama wengi mnavyoitazama, yawezekana kuna makubwa nyuma yake

    Hebu tushirikiane kuwaza mambo kadha wa kadha hapa na ya msingi; Mara zote kwenye mambo ya msingi nakuwa firm Kabisa utani pembeni hata Kama kuna nyuki wa mama wananikaba Kwa kusema labda sikutakiwa kusema watakuwa wanakosea sana maana nilipumzika kuandika Makala ndefu ndefu nikaishia kuwa...
  2. HIMARS

    Mazoea chanzo cha vifo

    Ajali ya jana imesababishwa na mazoea, vifo vya jana vimetokana na mazoea. Ule Uwanja hauna Taa za pembeni. Hauna Aproach Tower Uwanja hauna Zima Moto Rubani pale anatua kutokana na uzoefu wake, yawezekana huyu Rubani alikuwa mzoefu wa kutua katika hiyo hali, ila jana haikuwa siku yake. Ajali...
  3. Sildenafil Citrate

    Undani kuhusu ajali ya Ndege ya Precision Air, Kudondoka kwake hadi hatua za Uokozi

    Watanzania 18 na Mwingereza mmoja, jana walishindwa kuingia mini Bukoba, wakiwa hai baada ya maisha yao kukatizwa na ajali ya ndege ilivowatoa Dar es Salaam wakiwa salama. Hawa ni miongoni mwa abiria 43 walioelezwa kuwamo ndani ya ndege aina ya ATR42-500 mali ya Shirika la Precision...
  4. Nobunaga

    Rubani na msaidizi wa Precision Air iliyopata ajali wamekufa kwa uzembe wa mamlaka zinazohusika na uokoaji

    Rubani, Kapteni Buruhani Rubaga, na Afisa wa Kwanza Peter Omondi Odhiambo awali walinusurika kwenye ajali hiyo na walikuwa wakiwasiliana na maafisa baada ya ndege hiyo kutumbukia ziwani. Wote wawili hatimaye walikufa kwa sababu ya kushindwa kuokolewa kwa muda muafaka. Someone must take...
  5. Nobunaga

    Tetesi: Inasemekana hii ndiyo sababu ya uhakika ya ajali ya ndege ya Precision Air

    Hivi ndivyo jinsi ajali ya ndege ya Precion Air ilivyotokea: "Ndege ilikua ikiongozwa na ruban mmoja hivi anaitwa Rubanga mwingne jina lake sijalifahamu vizuri. Tatizo ililopata mpaka ndege ikaanguka ni matairi ya ndege kugoma kutoka na unaambiwa senior captain alitoa taarifa Tower kuhusu hilo...
  6. BARD AI

    Ajali ya Ndege ya Precision Air imetuvua nguo wazi wazi

    Wakuu kwa mara nyingine tena nitoe pole sana kwa waliopatwa na ajali ya Ndege leo huko Bukoba baada ndege ya Shirika la Precision Air kupata hitilafu wakati wa kutua na kuingia Victoria pia wale waliopoteza maisha basi Mwenyezi Mungu awarehemu na kuzipumzisha nafsi zao pema peponi. Kusema...
  7. CM 1774858

    Hii ndio kauli ya kwanza ya CCM-Tanzania baada ya Ajali ya Ndege ya Precision Air kutokea

    Salamu za Pole na Rambirambi za Chama Cha Mapinduzi kufuatia Ajali ya Ndege ya shirika la Ndege la Precision yenye usajili 5H -PWF iliokuwa imebeba abiria 39, marubani 2 na wahudumu 2 ikitokea Dar es Salaam kuelekea Bokoba.
  8. GENTAMYCINE

    Tafadhali mwenye Tangazo la Pole kutoka kwa ATCL kwenda kwa Precision Air aniwekee hapa tafadhali

    Zawadi Nono itatolewa na Wadau.
  9. L

    Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

    Precision air yapata ajali Bukoba ziwa Victoria === NDEGE YA PRECISION YAANGUKA ZIWA VICTORIA MJINI BUKOBA Ndege ya Shirika la Ndege la Precision, imeanguka ziwani mjini Bukoba, Mkoani Kagera asubuhi ya leo Novemba 6, 2022 Taarifa za awali zinaonesha ndege hiyo imeanguka ziwani, uokoaji...
  10. BARD AI

    Jeshi la Zimamoto lakanusha Ndege ya Precision Air kuangushwa kwa ajili ya mazoezi

    Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kutoka Mkoa wa Kagera limethibitisha kuwa Ndege ya Shirika la Precision Air imepata ajali na kuanguka kwenye Ziwa Victoria wakati ikijaribu kutua na tukio hilo ni kweli. Zimamoto zimekanusha taarifa za uvumi kuwa ndege hiyo imeangushwa kwa majaribio ya mazoezi ya...
  11. Dr Msaka Habari

    Kongole Precision air kwa kuongeza idadi ya safari kati ya Dar es salaam kwenda Hahaya- Anjouan

    Shirika la Ndege la Precision Air nchini Tanzania limeongeza idadi ya safari zake kati ya Dar es Salaam kwenda Hahaya-Anjouan Comoro hadi mara 3 kwa wiki ikiwa ni wito uliotolewa na Balozi wa Comoros nchini Tanzania kufuatia uwepo wa fursa mbalimbali za utali, kilimo na Afya baina ya Tanzania na...
  12. Analogia Malenga

    Ndege ya Precision yazimika injini ikiwa angani

    Abiria ndani ya ndege ya Kampuni ya Precision, jana waliingiwa na hofu ya usalama wao baada ya injini moja kuzima ikiwa angani. Ndege hiyo yenye namba PW 467 ikitokea Kahama, ikielekea Dar es Salaam kupitia Mwanza, ilizima injini baada ya dakika 51 kuruka kutoka uwanja wa ndege wa Mwanza...
  13. khumbu_peresa

    Tetesi: ATCL yashindwa kutua Comoro na kurudi Dar es Salaam kufuatia hali mbaya ya hewa

    Habari wana Jamvi, Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa sekta au tasnia ya usafiri wa anga kwa ndani ya nchi na kimataifa. Siku ya jana tarehe 21/04/2022 shirika la ndege la Tanzania lilikua na ndege yake Airbus namba TC 210 ambayo inatoka DAR-HAH (DAR-COMORO) ambayo iliruka saa 4 asubuhi kuelekea...
  14. Jamii Opportunities

    First Officer at Precision Air Services Plc (10 Posts)

    Key Accountabilities/ Responsibilities: v Deliverables: Responsible to the PIC during flight, and generally to the Chief Pilot. Shall be conversant with all rules and regulations governing the route of the intended flight. Participate in the planning and execution of company flights following...
  15. Jamii Opportunities

    Senior Cabin Crew at Precision Air Services Plc (6 Posts)

    Key Accountabilities/ Responsibilities: v Deliverable Direct, coordinate, organize, and supervise the functions and tasks of the cabin crew hence making sure that the customers receive the best possible service and ensure all standards and expectations are met. Prepare and carry out pre-flight...
  16. Jamii Opportunities

    Cabin Crew at Precision Air Services Plc – 6 Posts

    JOB VACANCY We wish to invite applications from suitably qualified candidates to fill in these challenging positions POSITION: CABIN CREW – 6 POSTS REPORTS TO: CHIEF CABIN CREW DUTY STATION: DAR ES SALAAM PURPOSE: Consistently give quality customer service to passengers in a safe environment...
  17. Jamii Opportunities

    First Officer at Precision Air Services Plc – 6 Posts

    VACANCY We wish to invite applications from suitably qualified candidates to fill in this challenging position. POSITION: FIRST OFFICER – 6 POSTS REPORTS TO: CHIEF PILOT DUTY STATION: DAR ES SALAAM PURPOSE: To plan, supervise and execute company flights following legal and company policies and...
  18. Jamii Opportunities

    Invitation for uniform production tender at Precision Air Services Plc

    INVITATION FOR UNIFORM PRODUCTION TENDER Precision Air Services Plc., is a fast growing private Tanzanian airline, which operates in partnership with Kenya Airways, with its strategies to expand its services beyond East Africa and Africa. In order to keep our services at a higher level and...
  19. mcTobby

    Michael Shirima Ngaleku founder of Precision Air ameni inspire sana kupenda aviation

    Kitambo sana enzi hizo nikiwa chalii mdogo naishi kijiji cha nayeme nilianza kusikia hili jina likivuma sana. Huyo ni Maiko Ngaleku tulikuwa tunahadithiana na kufarijiana kama watoto wa hapo kibaoni na Nayeme kwamba tukiwa wakubwa tunataka kuja kuwa kama Maiko Ngaleku kwa vile anamiliki ndege...
  20. Cannabis

    Precision Air yakanusha taarifa zinazodai wako mbioni kufunga virago na kufukuza baadhi ya wafanyakazi kutokana na athari za janga la COVID-19

    Shirika la ndege la Precision Air limekanusha habari iliyochapishwa na Sauti kubwa tarehe 29/12/2020 yenye madai ya kwamba kutokana na athari za janga la COVID-19 shirika hilo, lipo mbioni kuacha kufanya biashara katika robo ya kwanza ya mwaka 2021, kuachisha kazi marubani 50 na kwamba hivi sasa...
Back
Top Bottom