KARIBU AUTOMASI UAGIZE NASI GARI LENYE UBORA KWA GHARAMA NAFUU
**************
♻️ High Quality , Reliable, and Speed ♻️
***************
🔅VEHICLE DESCRIPTION
Make : TOYOTA
Model ...
bank of tanzania
bmw
canter
dodoma jiji
dualis
gari
hiace
honda
japan
kuagiza
kuagiza gari
landcruiser
mitsubishi
mkopo
music producers
nissan
nissan dualis
premio
series
starlet
subaru
subaru forester
toyota
toyota premio
van
vitz
Natafuta gari tajwa hapo juu mwenye nayo isiwe ya udalali. Nahitaji gari safi ilionyooka bila vipengele offer yangu 9M.
Nicheki DM fasta angalizo gari iwe number D yeyote ile ila gari iwe imetunzwa vizuri.
Kama gari yako imepasuka vitasa au dashboard na body iliobondeka bondeka kausha. Hii ni...
Naomba kujua namna inavotumia Mafuta engine hiyo ktk Premio New model ya kuanzia 2002-2005,, kwa DHATI uzuri wa engine (faida na hasara na mazingira ya kwetu,,
Barikiwa ndugu yangu.
Jamaa yangu huyu alikuwa na Nissain Xtrail ile new model. Akanunua na Toyota Premio kwa ajili ya Mkewe. Anasema kwa Uzoefu wake baada ga kuzitumia zote kwa safari ndefu amegundua Toyotw Premio (model ya kati ) inakimbia zaidi kuliko Nissan Xtrail.
Nlijiuliza IS IT POSSIBLE? on what basis...
Mimi si mjuzi wa upande huu lakini najua tunao wabobezi hapa.
Jamaa yangu anauliza ajiweke wapi pazuri zaidi kati ya Gari hizo tajwa?
Ufafanuzi wa faida na hasara zinazozitofautisha hizi tafadhali kwa anaezijua haswa na ushauri wowote
Mchango wako chanya utashukuriwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.