Poxi Presha (1971–2005), real name Prechard Pouka Olang, was a pioneer Kenyan rapper. He emerged in the mid 1990s with hip hop sung in Dholuo language.
His debut album Total Balaa also popularly known as "Dhako" was released in late 1997, then followed by hits like "Mummy","Jaluo Jeuri" which featured celebrated actor Joseph Olita of 'Rise & Fall of Idi Amin' and "Otonglo Time". The album was followed by another solo album Vita Kwaliti.He was also an MC for Nairobi City Ensemble group, which released the album "Kaboum Boum", containing a remake of "Lunchtime", originally popular song by benga singer Gabriel Omolo.He was known as the "bad boy of Kenyan music" due to number of incidents, such as falling out with his producers Bruce Odhiambo and Tedd Josiah. He also released dis track "Wape Really?" aimed at producers and promoters.During his later years, Poxi Presha worked as an anti-piracy activist.Poxi Presha was born in Mombasa but was based in Nairobi during his career. He died at the St Mary's Hospital in Langata, Nairobi on October 14, 2005 due to tuberculosis, aged 34.
Nimeamua kuingia kwenye ndoa ya kikiristo baada ya kuishi umri mrefu bila ndoa. Natimiza rasmi miaka 40 nikiwa sijaandaa mtu wa kufunga nae ndoa.
Najua kuna wakubwa zangu na wadogo zangu umu waliooa na kuolewa wanaweza nipa ushauri namna gani ya kupata mke sahihi wa kuoa.
Haswa ukizingatia...
Huawei anazidi kuishangaza dunia na kuonyesha kuwa sanctions hazifanyi kazi.
Baada ya kuwashangaza na simu zenye socs alizounda mwenyewe na ambazo demand ni kubwa kuliko hata uzalishaji wake kitu ambacho kilifanya US azidi kukaza vikwazo na watu wabaki midomo wazi maana walitegemea kwa nguvu...
Dunia inaendeshwa kwa nipe nikupe, au kwa kauli nyingine nikune nikukune. Visa nayo ipo hivyo; tafsiri nyepesi ni makubaliano ya nchi na nchi kuhusu taratibu za kuingia na kutoka katika mataifa husika.
Rais wa Kenya amekaribisha wageni kuingia Kenya bila visa, lakini hakuna Sehemu kwenye...
Moja kwa moja nazama kwenye hoja nikiwa najiuliza kwanini vijana wengi wanapenda kuishi FAKE LIFE.
Kwanini ukarifishe moyo? Yanini hujipe presha?
Asilimia kubwa ya vijana wengi wanaigiza maisha yao,utawaona wanapost kwenye mitandao kuwa wana maisha manzuri kiukwel ni makapuku ya...
Kuna hali ya kustajabisha ndani ya uongozi wa Simba katika kusimamia timu.
Hapo awali tuliona jinsi gani uchebe aliondolewa kwenye timu, ilianzia kwa mashabiki huko mwanza kumtupia chupa za maji na kushinikiza kocha hawamtaki, haikuchukua muda kocha akaondolewa klabuni na hali hiyo imewakuta...
Salam wanajukwaa,
Ninyi askari wa barabarani, hivi hii tabia ya kuongeza honi, kubadili sauti ya pikipiki kwenye bomba la moshi na kulifanya linapiga kelele kama limepasuka au kama imepiga bastola hamuoni kero hiyo?
Kufumbia macho mnataka kusemaje ni haki kisheria au ni uvivu ktk utendaji...
Habari zenu wakuu Hope mko powa kabisa. Kwanza naomba ifahamike kabisa kwamba kuwa na UKIMWI sio mwisho wa maisha kwakua wapo watu wengi wanaoishi na ugonjwa huu lakini bado wanaendelea kuishi vizuri kwa kufuata ushauri wa madaktari.
Pia uzi huu haupo kwaajiri ya kuwanyanyapaa watu waishio na...
Nje ya magari na vifaa vya aina hiyo,
Je ni mashine gani au chombo gani cha utendaji wa kazi za kiufundi au ukandarasi ukiwa nacho alhamdulilah utapumua.
Maana ananiambia Mara ya mwisho kwenda alipima presha ilikua 114/98
Leo kaenda eti ipo 93/58
Wamempa tu vidonge vya kutafuna, vipi iyo hali sio hatari kwa afya ya mama na mtoto?
Na tukizinywa hizo tutakuwa na Hasira hasa katika Maongezi na Majibu yetu huku tukizidi Kukaza Macho na Kurembua kwa sana.
Ninaungana na TEC 100% kwa Tamko.
Mimi sio muumini wa punyeto ila toka nimemtimua shemeji yenu wikiendi iliyopita kwasababu kadha wa kadha.
Leo jumatatu saa tatu za usiku huu baada ya kurudi job nikavutwa na hisia kali za kufanya mapenzi nikajikuta napiga punyeto sasa naona muda unavyozidi kwenda najiskia fatigue (mwili...
Simba wakubali siasa ipo kazini; kabla ya kumwalika Mhe. Rais katika event hii lazima wapo wanasiasa kutoka kwenye mashinda walihusika kukubali kuvaa jezi nakwenda uwanjani.
Walioingia uwanjani siyo wana Simba bali ni wanasiasa na watumishi wa umma. Haiwezekani kabla hata watu awajajua tiketi...
Miezi kadhaa iliyopita nilikubwa na misukosuko mingi sana kimaisha na magonjwa mbalimbali makubwa kuninyemelea ikiwamo high blood presha.
Nikiwa kijana kabisa mwenye ndoto za maisha yangu nilishtuka sana nilipofika hospitalini siku moja kwa issue ingine na dokta kunipima presha kwanza kisha...
Hakika inabidi tukupe hongera kubwa sana mama Samia, umetufundisha Watanzania kuwa "matendo huongea kwa sauti kuliko maneno" (actions speaks louder than words).
Tukitazama mitandaoni na jinsi mambo yanavyodhaniwa na wapenda maneno kuwa ndiyo yalivyo, inabidi nikupe heko na hongera nyingi sana...
Wakuu Habari za weekend
Jana nimedrive gari Kwa umbali kama wa kilometres 2,
Nikafungua mfuniko wa rejeta, kilichotokea ni maji kuruka Kwa nguvu Sana kama video inavyoonyesha,
Maswali yangu ni kama ifuatavyo
1 shida ni Rejeta
2 shida ni engine
3 shida ni gasket
4 au shida ni feni zile za...
Sio siri Yanga tulikuwa na wasi wasi wa kaweza kulipambania kombe la ligi kuu baada ya kupoteza derby, yani tulikuwa tumepishana point 5 tu na Simba na mbaya zaidi sisi Yanga tulikuwa tuna mechi 3 ugenini ikiwemo ya wajela jela na Mbeya city.
Kwa sasa pumzi imeshuka kidogo maana tunahitaji...
Tupo na jamaa zangu mitaa ya Mawasiliano Dar, kuna jamaa toka Mbande sijui iko wapi, amekuja jijini akiwa na zawadi kwaajili ya rafiki yake wa kike waliyekutana naye mtandaoni, wamewasiliana na huyo mwanamama akafika mpaka lodge alipofikia akiwa na bodaboda, akaingia ndani aliko mja wake, baada...
Na kwa jinsi Presha ilivyonipanda kama Simba SC haitoshinda leo au hata ikitoka Sare/Suluhu tu naweza Kulazwa ICU.
Ninaitakia tu Kila la Kheri Simba SC.
Nimemuona Jana tena kwa Jicho langu Kali la Kiuchunguzi na Kimaono na kugundua kuwa Mshambuliaji Moses Phiri bado hajawa Fiti kuanza Kucheza Mechi zozote zile.
Najua kuna Majuha ( Fools ) watakuja Kunishambulia na kuhoji je, Mimi GENTAMYCINE ni Daktari mpaka niseme hivi?
Majibu yangu Kwao ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.