In computing, a printer is a peripheral device which makes a persistent representation of graphics or text, usually on paper. While most output is human-readable, bar code printers are an example of an expanded use for printers. The different types of printers include, 3D printer, Inkjet printer, laser printer, thermal printer etc.
Wakuu msaada pls.
Kuna computer hapa inatumika kama Server, hiyo server ndio imeunganishwa na printer.
Sasa nilitaka niunganishe computer zingine zipo kama 7 through wifi ili ziweze kuprint.
Yaani mtu akitaka kuprint sio mpaka aende pale kwenye computer iliyounganishwa na printer.
Muongozo...
Habari wapendwa,
vimebaki vifaa vichache vya stationery, nauza kwa bei nafuu.
1. Epson L3150 (Imetumika miezi mitatu tu, hata wino haujawahi badilishwa na bado wino upo mwingi sana na ina box lake) inatumia wifi pia (bei ya kuuza 350000/=) na wino wake mpya kabisa (bei 20000)
2. Lamination...
Wakuu,
Nahitaji printer kwa budget hio hapo juu. Printer iwe na sifa zifuatazo:
-Mpya
-Uwezo wa kuprint, photocopy na kuscan
-Wino wake usiwe bei sana
-Maintenance yake iwe cheap
Wataalamu naombeni Mnisaidie katika hili, sina uzoefu wowote na mambo ya printer.
Natanguliza shukrani
Model: Creality Ender 3v2
Materials Supported
ABS, PLA, PETG, TPU
Number of Print Colors
1
Number of Extruders
1
Frame Design
Open
Printer tajwa hapo juu ipo sokoni, imetumika kidogo sana, sababu ya kuuza nataka kununua kubwa zaidi.
Mwenye uhitaji nayo nicheki inbox, mali ipo...
Hii ni offer kubwa kwa sababu nina uhitaji wa haraka wa pesa. Heat press machine iko full na vifaa vyake vya kuprint caps,mugs,plates (5in1) vipya. Na Epson L3110 imetumika kidogo sana ni kama mpya.
Vyote jumla ni Tshs. 800,000/= tu!
Tuwasiliane 0693153565
Wadau habari.
Ninaomba kujua ,kwa wenye uzoefu wakutumia PRINTERS AMBAZO NI 3 IN 1, budget yake kuanzia Tsh 500000/= mpaka 1,000,000/= INK JET (ZENYE KUTUMIA WINO) ni brand gani nzuri kwa matumizi ya stationery.
Big Offer! Printer Mpyaa!
•Epson L3110 kwaajili ya biashara na ofisini
•Ina uwezo wa
Kuprint📍
Kutoa copy 📍
Kuscan 📍
Picha na karatasi ukubwa wa A4 √
•Unapata CD/User guide√
•Cable √
•Chupa zenye wino full (mpya)√
+ Free delivery √.
Call Now! 0754 683 963
Tsh. 500,000/= tu!
Habar wadau
Hapa nahisi tunapigwa hapa ofisi kuna printer mbili zote canon iage runner 1325 IR
mimi napenda sana most of my material yawe in gard copy shida ni wino sasa unauzwa bei mbaya ivo ni lazima printer itumike kuprints only office documents
Sasa naombeni ushauri wapi naweza pata wino...
MASHINE YA KUPUKUCHUA MAHINDI
BEI: 450,000/=
Je, huna cha kufanya? Unatafuta kazi hupati? Sisi ni wasambazaji wa mashine tofauti kutoka china, mashine zipo kwa oda malipo ukikabidhiwa mzigo wako kwa wa dar, wamikoani kuna utaratibu wengine MNAKARIBISHWA!
KWA Mashine hii unaweza kutumia kwa...
bar
bidhaa
code
date
karanga
kukoboa
kusaga
kusaga na kukoboa
kutengeneza
logo
mahindi
mashine
mbili
mpunga
mpya
ndogo
number
print
printer
siagi
simu
ufuta
Habari wadau,
Nauza printer ambayo ni photocopier pia,
Model Canon IR 2425,
Ina print, copy na Scan.
Ina uwezo wa kuunganishwa kwa Network,
Bei ni 2 million kamili.
Ipo Dar es salaam.
Dukani mpya ina range 2.4m
Sababu ya kuuza ni order ilikuwa tofauti na ilivyohitajika.
Hivyo ni ipo...
Nauza Printer Epson L805 imetumika mwaka mmoja tu. Inaprint sticker na picture vizuri na haibaguwi karatasi. Pia inaprint CD. Printer hii haina tatizo lolote kabisa. Inapatikana Mwanza Nyamagana Barabara ya Balewa karibu na Nyanza Shule ya Msingi. Bei ni 350,000 Tsh. Picture zake ziko chini...
Nauza printer mpya Epson L810, inaprint picha, CD, ,business card za pvc n.k.
Bei ni shilingi laki saba na nusu (750, 000). Bei ya shop ni mpaka mil.1.
Nicheki 0713767579
Wakuu kuna mtu kaniomba nimnunulie printer potable ya kusafishia picha kwahiyo naomba ushauri ninunue ya aina gani? Bajeti yangu ni laki nane za kitanzania
Niwasalimu ndugu zangu nyote katika mtandao wetu pendwa JF.
Bila kupoteza muda ndugu zangu natafuta mother board ya printer hp laserjet pro mfp m125a. Kwa anayejua wauzaji wa hapa Tanzania au kama unayo tafadhali naomba ushirikiano wa kuweza kuipata.
Natanguliza shukran.
Picha ya mother board husika
Jamani nauliza hivi zile Epson printer ambazo dukani huwa zinauzwa laki nne mtumba wake naweza pata kwa tsha ngapi na je ubora,sifa na efficiency inakuaje.
Printer ni HP
Laptop ni samsung
Computer ni ONDA
Bidhaa zote zilikuwa zinatumika ofisini
Bei laki 7 fixed for all
Location Dar es salaam
Communication 0625825641
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.