ps4

  1. Baba Mtoto

    Ps4 Fat GB 500

    Iko Poa haina Shida Yoyote Inakuja na Padi Zake 2 Ina CD mbili Pia (FIFA20 na MK XL) Kama uko Serious nicheck 0712094731
  2. schizoid-man

    INAUZWA Ps4 inauzwa

    SOLD
  3. T

    INAUZWA Used PS4 Slim: 2pads & 500GB Capacity (Excellent Condition; Warranty sticker in place)

    Ninauza PS4 Slim (imetumika kidogo), ina pad 2. Capacity 500GB. Nipo Dar (mkoani nitatuma pia but kwa gharama ya mnunuaji). Bei TZS 780,000/= Comes with CD ya Fifa19 Mawasiliano: +255 752 998 891
  4. T

    INAUZWA PS4 Slim (brand new) 2pads. Capacity 500 GB

    Ninauza PS4 Slim (mpya), ina pad 2. Capacity 500GB. Nipo Dar (mkoani nitatuma pia but kwa gharama ya mnunuaji). Bei TZS 900,000/= Comes with CD ya Fifa19 Mawasiliano: +255 752 998 891
  5. danione

    Nataka kununua PS4 Games kwenye store yao, naomba ufafanuzi katika hili

    Wakuu Habari, Naombeni msaada nahitaji kununua gemes za Ps4 kwenye Store yao, ila shida inakuja hamna location ya Tanzania ukiwa unatengeneza account. Iila nimetengeneza account nikaweka location US ila shida inakuja Kununua game account yangu ya Bank inakataaa Kuingia kwenye account yao ili...
  6. danjaboy

    Mtaalam wa kuingiza games kwenye PS4

    Kama nilivyoandika hapo juu wakuu, nilikuwa nahitaji kuelekezwa sehemu au mtu anaeweza kuniwekea games kwenye ps4 gharama nitalipa ila awe na uwezo mzuri siyo mbabaishaji akaniharibia.
Back
Top Bottom