Ilisemwa semwa kuwa mmefilisika , mfuko una hali mbaya. Muda wote pensheni za wastaafu zinalipwa 23/ ya kila mwezi ithout miss. sasa mwezi jana na huu, mambo hayako sawa.
Samia, hawa ndio wa kuwatumbua, siyo mashirika ha habari chini ya TTCL kwa kumpongeza Nape
PSSSF sema kama mmefilisika.