psssf

  1. Mung Chris

    Nauli na mafao ya askari wastaafu kucheleweshwa ni mateso

    Si kila askari alijiandaa kuwa na kitega uchumi akiwa kazini lahasha, lakini sasa kwanini anapostaafu asipewe nauli ya kumrudisha kwao kwa wakati ili aende apambane na mashamba? Swala hili viongozi na Waziri wa mambo ya ndani alitolea ufafanuzi lakini hamna utekelezaji sijui ni kumbembeleza...
  2. ommytk

    Uzi maalum changamoto katika mifuko ya mafao

    Wadau ebu Leo naomba tuweke na tujadili hapa changamoto tunazokutana nazo katika mifuko ya mafao kipindi tunafatilia mafao ya aina yoyote iwe yako au mzee wako maana wafanyakazi wa hizi taasisi awajui Kama hizi hela zilikatwa sio Kama Mtu unapewa bure Ni jasho lako
  3. ommytk

    PSSSF Kuna nini? Hebu semeni tu kwa sasa Tanzania hakuna mafao ya wastaafu

    Naomba serikali kuu itupie jicho psssf Kuna shida kubwaaaaaa sasa sijui tunwalaumu bure Labda maelekezo toka ngazi za juu aya wanayofanya mtu mafao unafatilia miaka mara sijui linapotea sijui nini Daaah inatia hasira sana
  4. Mung Chris

    Waziri Jenister Mhagama kumbuka ahadi yako kuhusu pensheni ya PSSSF kwa watumishi siku ya Sabasaba

    Tuna kukumbusha Mhe. Waziri Jenister Mhagama siku ya sabasaba ukiwa na mkurugenzi mtendaji wa PSSSF kwenye banda lao, mlisema kwa sasa mnafanyia kazi marekebisho ya malipo na maelekezo ya Mhe Samia Suluhu Hassan kuhusu kuwalipa wastaafu. Walio staafu kuanzia mwezi 3 hadi sasa hawajalipwa, je ni...
  5. Mung Chris

    Je, PSSSF wameingia kwenye mkondo wa Siasa au hawana pesa?

    Nauliza swali hilo ni kwa sababu ndugu yangu aliwasilisha nyaraka za kustaafu miezi 3 kabla ya kustaafu rasmi na walizipokea wakasema kila kitu kimekamilika. Sasa ameshastaafu ana miezi 5 sasa ukizingatia ofisi ya waziri ili tetea sana swala la wastaafu kulipwa pia Rais alisisitiza walipwe...
  6. Hae Mosu

    Kilio kwa Meneja wa PSSSF Kagera

    Habari ya kazi! Pole na majukumu.Mi nina dukuduku ambalo linasumbua watu wengi hasa watu wanaohitaji huduma hasa mafao Ya Uzazi. Tatizo lililopo ofisini kwako hapo ni kwamba kumekuwa na usumbufu mkubwa kwa watumishi wa umma wanapokuwa wanafuatilia mafao yao hasa ya uzazi kuanzia kwenye upokeaji...
  7. T

    Rais Samia tunakuomba uingilie kati swala PSSSF na NSSF

    Wakuu napenda kufahamu kama PSSSF & NSSF wamefanya mabadiliko ya kuwalipa wanufaika kwa wakati, vijana wapo mtaani hawana ajira. Mama Samia Rais wetu, yunakuomba uingilie kati hili swala, vijana wengi wanadai mafao yao ambao wangepata hizo pesa wangejiajiri wakati wakiendelea kutafuta kazi ama...
  8. J

    TPA madudu matupu, PSSSF imefilisika, NSSF haina fedha, TASAC ubadhirifu mtupu sasa hawa CHADEMA wanapigana na Ufisadi gani?

    Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe. Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza. Yaani kote...
  9. J

    Mfuko wa PSSSF umefilisiwa na nani?

    Rais Samia amesema hajateua mkurugenzi mkuu mpya wa PSSSF ( Public Service Social Security Fund) na kumuacha yule yule aliyepo kwa sababu mfuko huo una hali mbaya kifedha hivyo anataka uchunguzi ufanyike kwanza. Naunga mkono hatua hii kwa 100% kuna jasho langu pale. Ukinizingua Nakuzingua!
  10. Valenciaga

    Kucheleweshwa kwa mafao na PSSSF

    Nilifungua madai mwaka Jana mwezi wa 5, nadai tu hela ndogo kama 2.7m lakini ni mizungusho tu, mara wanashughulikia za mwezi wa tatu mara bado inafanyiwa kazi, na hawajui ni lini fedha itatolewa kwa sababu walio fungua madai hapo ni wengi sana. Kiukweli hii serikali inaumiza sana raia...
  11. NDAGLA

    Wafanyakazi PSSSF HQ wanashiriki kutapeli wastaafu

    Kwema wadau, Natoa tahadhari kwa wote wanaowasiliana na PSSSF kupitia DM page yao rasmi ya instagram (Psssftz) na wale wanaopiga namba zao za bure 0800110040 na 0800110055 kuhitaji msaada wowote. Kwa kifupi watumishi wa kitengo hicho cha huduma kwa wateja ukishawasiliana nao watakuomba namba...
  12. K

    PSSSF haina ufanisi katika kulipa mafao kwa wakati. Maana ya Rais kuunganisha mifuko haionekani

    Yaani malipo ya wateja ni delays ambazo hazieleweki, ni majuto kufanyakazi na hawa watu kweli, wako na visuti na tai humo efficiency chini kabisa, bado tunapiga hesabu, tunasubiri baada ya uchaguzi, tunalipa kwa awamu hii inamuhusu mteja au big results ndo failure.
  13. must be

    Jinsi ya kujisajili na PSSSF kwa watumishi waliotoka mifuko mengine

    PSSSF Member Portal nimejaribu kutumia link hiyoo kujaribu kujisajili ili niweze kujuaa taarifa zangu, sijafanikiwa. Msaada kwa anayejuaa jinsi ya kujisajili
  14. S

    PSSSF acheni uhuni na utapeli, kama hela za pensheni hamna semeni

    Acheni kuwasumbua wazee wa watu. Leo masikini wazee wanakwenda kutafuta hela zao bank wanaambiwa hakuna hela kwa vile hamjahakikiwa. Hamjawahi kutoa notice ya uhakiki kwa mwezi wa January, 2020, mnategemea mtu atapataje taarifa. Acheni uhuni na utapeli, kama mmeishiwa hela waambie wastaafu wajue...
  15. Lovren10

    Uibaji wa Pesa mfuko wa PSSSF

    Nimekua nikifatilia mafao yangu pale mfuko wa PSSSF. Kuna michango ambayo kwenye statement haionekani na mwajiri alifanya process zote za kutuma na kuweka. Sasa changamoto inakuja ukienda PSSSF na ukiuliza mbona michango mingine haipo? Majibu toka PSSSF '' Hii michango mingine kuanzia February...
  16. Lovren10

    Ubabaishaji wa mfuko wa PSSSF

    Kuunganishwa kwa mifuko ya PPF, LAPF, PSPF, GEPF n.k na kupata PSSSF limekua kaa la MOTO kwa wafanyakazi waliokua private sector na mda wa mikataba yao umekwisha. Nimekua nikifatilia sitahiki zangu tokea makataba wangu umekwisha pale PSSSF nikaambiwa kwa watu wa private wanatakiwa kuchukulia...
  17. mambo_safi

    Mwajiri alikuwa hapeleki michango ya mifuko ya hifadhi ya jamii. PSSSF wanakataa kumbana kwa mujibu wa sheria

    Mtumishi mmoja baada ya kuachakazi na kulipwa mafao yake (pungufu) akaanza kudai Mapunjo ya miezi karibia 12 yenye dhamani zaidi ya millioni 2 (hiki ni kiasi kikubwa). Akafungua file la madai. Chakushangaza PSSSF inamwambia mteja wake kuwa Huyo mwajiri hataki kutoa ushirikiano wa kulipa hayo...
  18. S

    Je, PSSSF imefilisika? Lipeni pensheni wa wazee wetu

    Leo ni tarehe 24/12/2019. wazee wastaafu wanahaha na vijisenti vya kula sikukuu. Kama mmefilisika toeni taarifa watu wajue fate yao. Ni upuuzi kutowalipa haki yao wakati mnajua kuwa leo ni sikukuu nao wanahitaji pesa iwasaidie. Serikali imelipa watumishi tangu 20th, nyinyi mmeziba masikio!
  19. Roving Journalist

    Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

    UPDATES: Viongozi wa Vyama vya wafanyakazi wametoa historia ya walikotoka hadi walikofika. Aidha, wamedokeza kuwa wapo waliozimia kwenye ofisi za Mifuko ya Hifadhi ya Jamii. Rais Magufuli anawasikiliza na anataka kila mtu aongee na kutoa dukuduku ili aweze kuongea. Viongozi wa vyama vya...
  20. Mlenge

    Ukweli kuhusu Mafao ya PSSSF sheria mpya ya kustaafu

    Ni upi ukweli kuhusu sheria mpya ya mafao ya pensheni? Wengi hawaelewi haswa kinachojiri, na wengine hupata taarifa zinazozua taharuki miongoni mwa walio karibu kustaafu, hasa zile zinazowaambia watapata robo tu ya kile ambacho wenzao walipata kabla ya kutumika sheria mpya. NARUKA!: Haya ni...
Back
Top Bottom