pumba

  1. kiri12

    Nahitaji kufanya biashara ya kuuza pumba

    Habari wanajamvi, Nahitaji kufanya biashara ya kuuza pumba, nilikuwa naomba kufahamishwa faida zake na je, gunia moja la pumba lenye debe saba huwa linauzwa bei gani? Mwenye uzoefu anijuze tafadhali.
Back
Top Bottom