Huduma nzuri na bora ya kutengeneza, kudariz na kuchapa logo/nembo kwenye t-shirts na shirts kwaajili ya wafanyakazi/wanafunzi na matukio mbalimbali.
BEI; Kudarizi ni sh 13,000@ pamoja na t-shirt (Original form sx) na kuchapa/printing ni sh 11,000@ pamoja na t-shirt (Original from sx). Karibu...
Habari wana JF,NTITY BRAND inakupa PUNGUZO KUBWA katika msimu huu wa sikukuu za Christmass na Mwaka Mpya, Kwa mahitaji ya huduma ya graphic designing kama
1. LOGO
Alama ya utambulisho iliyodizainiwa mahsusi kwa ajili ya bidhaa,kampuni,biashara yako, inayotumika kukutambulisha . Pia inatumika...
Hili genge liitwalo ccm limefanikiwa kutugawa na sasa tumegawanyika vipande vipande. Kuna ambao wanaona nguo, tshirts, kofia, khanga, lift, chakula na fadhila nyingine ni muhimu sana kwao kwa sasa kuliko hata ahadi na ilani ya uchaguzi.
Kuna ambao mikopo midogo midogo, bendera na mabango ni...
Hivi mtu akikuambia nakupunguzia kodi so lazima atakuambia ni asilimia ngapi anakupunguzia! Halafu waziri alisema kodi itaondolewa kwa wale wanaolipwa 270, 000 kushuka chini tu ambapo awali favor iliwagusa wale waliokuwa wanalipwa chini ya 170, 000 tu na wengi au karibu wote hapa si watumishi wa...
Awamu ya tano imeonysha kuwa wafanyakazi sio tu hawamnyimi usingizi bali hata hawana maana kwake. Ukiondoa uvunjaji wa sheria aliofanya kupandisha mishahara na madaraja hata ahadi zake za kupunguza kodi (PAYE) kwa wafanyakazi hajajigusa.
Walidanganya uhakiki ndio kikwazo miaka mitano imepita...
Ikiwa kama watanzania wanaweza kudanganywa na mtu mmoja kama mazombie na bado wakakaa kimya , basi hii itakuwa bahati mbaya sana .
Paulo Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa amri kwa wenye nyumba kuwapunguzia kodi wapangaji wao kutokana na ugumu wa maisha uliosababishwa na...
Dagaa wa matafuta kutoka ZIWA VICTORIA,TUPO MWANZA mikoani tunasafirisha buree kabsa .
Mawasiliano yetu.
0755213580 Au whattsapp 0755213580.
Kiasi kikubwa na kidogo tunauza..
Karibu sana mteja wetu
Fanya biashara yako kijanja na kisasa zaidi. Tuna Software ya:
1. Shule: kuanzia nursery hadi Chuo.
Ina vipengele vinne Academic, Library, Account na Payroll
Taarifa za usajili wa mwanafunzi, kutunza rekodi ya majaribio/mitahani, kutoa ripoti, kutunza kumbukumbu ya...
Simu za infinix zilizopo zote ni mpya:
Hot 8 lite bei 250,000
Smart 3+ bei 290,000
Hot 7 bei 240,000
S4 bei 350,000
Simu za Tecno zilizopo zote ni mpya
Spark 2 bei 230,000
Spark 3 na pro yake bei 250,000
Spark 4 bei 300,000
Camon 12 bei 350,000
Kwa mawasiliano piga simu 0652 565 597 au 0743 448...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.