punguzo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Msee Paka

    Tunadarizi na kuchapa t-shirts/shirts

    Huduma nzuri na bora ya kutengeneza, kudariz na kuchapa logo/nembo kwenye t-shirts na shirts kwaajili ya wafanyakazi/wanafunzi na matukio mbalimbali. BEI; Kudarizi ni sh 13,000@ pamoja na t-shirt (Original form sx) na kuchapa/printing ni sh 11,000@ pamoja na t-shirt (Original from sx). Karibu...
  2. ntinyo

    Punguzo la bei msimu wa sikukuu pata Logo, Business Card, Flyers, Posters, Product Labels Msimu huu wa sikukuu

    Habari wana JF,NTITY BRAND inakupa PUNGUZO KUBWA katika msimu huu wa sikukuu za Christmass na Mwaka Mpya, Kwa mahitaji ya huduma ya graphic designing kama 1. LOGO Alama ya utambulisho iliyodizainiwa mahsusi kwa ajili ya bidhaa,kampuni,biashara yako, inayotumika kukutambulisha . Pia inatumika...
  3. Mfikirishi

    CCM imefanikiwa kutugawa; tukagawanyika

    Hili genge liitwalo ccm limefanikiwa kutugawa na sasa tumegawanyika vipande vipande. Kuna ambao wanaona nguo, tshirts, kofia, khanga, lift, chakula na fadhila nyingine ni muhimu sana kwao kwa sasa kuliko hata ahadi na ilani ya uchaguzi. Kuna ambao mikopo midogo midogo, bendera na mabango ni...
  4. Mwamuzi wa Tanzania

    Watumishi wa umma wavurugwa, annual increment wanasema punguzo la kodi

    Hivi mtu akikuambia nakupunguzia kodi so lazima atakuambia ni asilimia ngapi anakupunguzia! Halafu waziri alisema kodi itaondolewa kwa wale wanaolipwa 270, 000 kushuka chini tu ambapo awali favor iliwagusa wale waliokuwa wanalipwa chini ya 170, 000 tu na wengi au karibu wote hapa si watumishi wa...
  5. Return Of Undertaker

    Bajeti 2020/21 Watumishi wa Umma mwaka wa 5 hakuna nyongeza ya mishahara wala punguzo la kodi

    Awamu ya tano imeonysha kuwa wafanyakazi sio tu hawamnyimi usingizi bali hata hawana maana kwake. Ukiondoa uvunjaji wa sheria aliofanya kupandisha mishahara na madaraja hata ahadi zake za kupunguza kodi (PAYE) kwa wafanyakazi hajajigusa. Walidanganya uhakiki ndio kikwazo miaka mitano imepita...
  6. Erythrocyte

    Makonda kabla ya kuudanganya umma kuhusu punguzo la bei ya nguo, tueleze kuhusu punguzo la kodi za nyumba kama ulivyoagiza

    Ikiwa kama watanzania wanaweza kudanganywa na mtu mmoja kama mazombie na bado wakakaa kimya , basi hii itakuwa bahati mbaya sana . Paulo Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa amri kwa wenye nyumba kuwapunguzia kodi wapangaji wao kutokana na ugumu wa maisha uliosababishwa na...
  7. KiwandaniTz

    INAUZWA Punguzo la bei dagaa

    Dagaa wa matafuta kutoka ZIWA VICTORIA,TUPO MWANZA mikoani tunasafirisha buree kabsa . Mawasiliano yetu. 0755213580 Au whattsapp 0755213580. Kiasi kikubwa na kidogo tunauza.. Karibu sana mteja wetu
  8. zegamba180

    Punguzo la bei kwa softwares za biashara

    Fanya biashara yako kijanja na kisasa zaidi. Tuna Software ya: 1. Shule: kuanzia nursery hadi Chuo. Ina vipengele vinne Academic, Library, Account na Payroll Taarifa za usajili wa mwanafunzi, kutunza rekodi ya majaribio/mitahani, kutoa ripoti, kutunza kumbukumbu ya...
  9. Laptop bei nafuu

    Pata simu aina zote mpya kwa bei nafuu 0652 565 597

    Simu za infinix zilizopo zote ni mpya: Hot 8 lite bei 250,000 Smart 3+ bei 290,000 Hot 7 bei 240,000 S4 bei 350,000 Simu za Tecno zilizopo zote ni mpya Spark 2 bei 230,000 Spark 3 na pro yake bei 250,000 Spark 4 bei 300,000 Camon 12 bei 350,000 Kwa mawasiliano piga simu 0652 565 597 au 0743 448...
Back
Top Bottom