Wakati shamrashamra za maandalizi ya Siku ya Wanawake Duniani zikipamba moto, Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amewashukia 'watoto wa 2000' akidai kwamba wengi wao hawajishughulishi na kazi zozote wawapo makwao.
Queen Elizabeth II's 1972 Kenya Stopover: A Pivotal Moment in Post-Colonial Diplomacy
Queen Elizabeth II's brief stopover in Kenya during March 1972 represented a critical juncture in Anglo-Kenyan relations, occurring exactly two decades after her historic accession to the throne at Treetops...
Nikiwa eneo moja la Mikocheni ghafra bin vuuu namwona Posh, alooo anapiga ngumu kumeza ahsee bia ya wazee ya bei nafuu ya Safari.
Kama mm tu kipato changu cha million Tatu kwa mwezi mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu nakunywa Heineken na Windhoek lakini yule anakunywa safari what means? It...
Uzuri sauti yake inambeba kuingia kwenye mifumo ya genre nyingi na content tofauti za muziki
Nyimbo alizoua Chorus na kishirikishwa
1.Bongo DSM na Prof Jay
2. Alikufa Kwa Ngoma na Fa
3. Machoni Kama watu Na Ay
4. Nyaluland na Mike T
5. Ama zangu Ama zao na Gk&ECT
6. Sikiliza Na Ngwea
7. Hawajui...
Happy Birthday to the one super lady!
🎉 You're the perfect mix of brilliance, strength, and fun. Keep being amazing, because you're simply unstoppable!
Hongera sana financial services 🎂 🍾 🥂
New Certified accountant in town!!
Proud of you 👏 👏 👏
Tuungane pamoja kumtakia heri na fanaka💐 💐
Agosti 5, 2024 kumefanyika makabidhiano ya mradi wa ujenzi wa nyumba 74 za waathirika wa maporomoko ya matope zilizopo katika eneo la Warret Wilayani Hanang kati ya Suma JKT na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara
Ujenzi umekamilika kwa asilimia mia moja (100%) ambao ulianza machi 18 2024 chini ya...
Lamor Whitehead, mhubiri wa New York, Marekani, maarufu kutokana na maisha yake ya kifahari, amekutwa na hatia kwa makosa ya kutumia nafasi yake kama kiongozi wa dini kuwalaghai watu pesa ili kugharamia maisha yake ya kifahari.
Maafisa wanasema alitumia pesa za waumini wake kununua vitu...
iko hivi mimi mchaga mgumu sana kwa cash. aisee leo nimekutana na pisi kali sana. sana sana. mzuri sana. kakamilika, (simjui)
picha linaanza.
moyo ukapata palpation kwanza kama cardiac urgency.
ishu : naonga tu, yani sijali akili ina kataa roho inakubali. na mimi sina hizo pesa. nimekuja...
Mkuu wa Mkoa Manyara, Mhe. Queen Sendiga amewataka Wakala wa Maji na USAFI wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kuhakikisha wananchi Mkoani humo wanapata huduma Bora ya maji safi na Salama muda wote.
Ameyasema hayo katika kikao cha watumishi wa RUWASA Mkoani humo kolicholenga kuwajengea uwezo...
Shalom,
Kula shoo ya mume wa mtu kula shoo ya mke wa mtu ila ukweli ni kwamba malipo ni hapahapa Duniani. Karoge kajizindike but karma has no prevention. Na karma inachagua yenyewe uje kwa namna ipi na huwezi kuihuisha na matendo yako, unazaa mtoto mlevi mvuta bangi, wakati wewe ulikuwa...
Hey pals it's len again,
I know ni usiku lakini nataka kushare hi experience, I'm going through series of heart breaks right now and if I ever fail in life it's not me Iam failing but my beloved mom and her little princess, my sister.
Please my queen wherever you are don't be too late I'm a...
Today we are diving deep int the ocean of history of how powerful Women are, Not for a privilege factor but we could start with the French Revolution on year 1700's, Marie Antoinette, The Queen of French answered very arrogantly when the women went to her and complained they can't even afford...
" My majesty Mr. Queen Sir, horrible ministers and members of parliament, invented Guests, ladies under gentlemen. I hereby thank you completely… Mr. Queen, sir; and also what he has done for me and my fellow Uganda who come with me.
We have really eaten very much. And we are fed up...
Kipindi Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kinamuunga mkono na kumuita Mgombea wake wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Queen Cuthbert Sendiga akitambulika pia kwa jina la ‘Mama wa Taifa’, kuna baadhi ya Watanzania hawakuelewa dhana ya chama hicho.
Moja kati ya...
QUEEN DARLIN
_________________
Mwajuma Abdul Juma, wamezaliwa baba mmoja mama tofauti na msanii wa bongo fleva Nasib Abdul ‘Diamond’ ambapo alizaliwa jijini Dar es salam mwaka 1985 na kupata elimu yake ya msingi na Sekondari jijini Dar es Salaam.
Amekuwa akiupenda muziki tangu akiwa mdogo...
Video vixen wa mapozi anaitwa
Sikujua Mponda. Ni mbantu aliyelowea ulaya.
Video vixen wa ‘Mapoz’ anaishi huko Finland. Ni dansa na mmiliki wa shule ya uchezaji huko Helsinki.
Ni pisi ya viwango na maisha bora!!
Mwanadada mrembo Poshy Queen ameandika maneno yanayoonekana ni kama kumkana aliewahi kuwa Mpenzi wake Dj Seven.
Poshy amedai kuwa Seven alikuwa ni rafiki yake na hakuwahi kuwa Mpenzi wake kama jinsi watu wanavyosema.
Poshy kwasasa ni Mpenzi wa Mwanamuziki Harmonize, ambae alikuwa ni Boss wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.