rafiki

Rafiki (Swahili for 'friend') is a 2018 Kenyan drama film directed by Wanuri Kahiu. Rafiki is the story of romance that grows between two young women, Kena and Ziki, amidst family and political pressures around LGBT rights in Kenya. The film had its international premiere in the Un Certain Regard section at the 2018 Cannes Film Festival; it was the first Kenyan film to be screened at the festival.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    Namtafuta rafiki yangu aliyeishi maeneo ya Mwenge magorofa ya Jeshi miaka ya 2005-2009/10

    Habarini ndugu zangu, poleni na majuumu, namtafuta rafiki yangu kipenzi anaitwa JOSHUA RUSHINGWA (NDALU), nilipotezana naye mwaka 2009, yeye alisoma shule ya Sekondari KAMBANGWA, na alikuwa anaishi Mwenge magorofa ya jeshi karibu na mlalakuwa, ukiwa unatokea Sinza Afrikasana ni baada ya kota za...
  2. Keagan Paul

    Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

    Wakuu leo naomba kuleta Story yangu ya kweli ya jinsi nilivyokwenda South Africa bila kuwa na ndugu kule wala mtu wa kunipokea. Ukweli kuna wakati ilifika nilichoka sana maisha ya hapa nyumbani, ilikuwa Mwaka 2014, nilikuwa napitia changamoto nyingi za maisha hasa katika familia. Ukweli akili...
  3. kikoozi

    Je, umewahi kumla rafiki wa EX wako?

    Habari za uzimaAISEE SIO MIMI)
  4. Pedrz

    Ulishawahi kupendwa na rafiki wa Mpenzi wako?

    Dah! Ebwana nimewalatea huu uzi hivi vitu vinatokea eti. Na vimenitokea sana hii ni mara ya pili nakumbuka mara ya kwanza nikiwa na demu wangu alinitambulisha kwa rafiki ake Y, hapo ndipo mambo yalipoanzia, kila siku alinitafuta ooh!! Shem mzima nataka nije nikutembelee mara sijui rafiki yangu...
  5. Elitwege

    Mshituko: Rafiki yangu tuliyeshibana unamuoaje Dada yangu?

    Hili ni jambo la kushangaza sana, huyu jamaa kwao walikuwa masikini alafu nyumbani kwao ni mbali na shule, hivyo kwa kuwa tulikuwa marafiki tulioshibana na discussion tulikuwa tunafanya pamoja nikamkaribisha nyumbani kwetu akawa kama mtoto wa familia yetu kabisa. Baba yangu alikuwa anamlipia...
  6. DAD'S SON

    Ulishawai kunafikiwa na rafiki?

    Ni ngumu sana binadamu kuishi bila rafiki hata Putin na ubabe wake ana rafiki, ila sometimes we meet with wrong friends. Mimi binafsi nilikuwa na rafiki mpaka ilifika stage tunapeana pesa bila kukopeshana yaani tulikuwa kama ndugu vile, kwao naenda tunakula tunalala mara nyingine anakuja kwetu...
  7. Da'Vinci

    Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

    Salute mates... Kwenye mizunguko yetu ya maisha kuna wakati unakua upo very attached na mtu Fulani either ni rafiki wa kawaida kama Man to man au Man to woman, pengine ni mpenzi wako umpendae sana sana. Yaani unakuta una mpenzi roho yako imetokea kumpenda sana husikii wala huoni juu yake, kila...
  8. A teller

    Nilishindwa kumsaidia Mariamu

    Rafiki na ndugu yangu mpendwa, Nilikuja nyumbani kwenu kama tulivyohaidiana ili nipate kukuaga lakini kwa bahati mbaya nimekukosa, nilikuja kukuaga kwa kuwa hutaniona tena kwani nasafiri safari ya mbali sana. Baada ya kusubiri sana nimeamua kurejea nyumbani na ili kufanikisha safari...
Back
Top Bottom