raha

Air Chief Marshal Arup Raha, PVSM, AVSM, VM, ADC (Bengali: অরূপ রাহা) was the 24th Chief of the Air Staff of the Indian Air Force and served from 31 December 2013 to 31 December 2016. He was also the Chairman of the Chiefs of Staff Committee, a post occupied by India's senior-most military officer, who advises the government and ensures jointsmanship in the armed forces.

View More On Wikipedia.org
  1. demigod

    Wokovu Raha Sana!

    Tangu niokoke moyo wangu umejaa amani ambayo hapo awali sikuwa nayo. Wala sina tena wasiwasi kuhusu ya masuala yajayo. Naona kabisa nimejaa matumaini mapya. Hisia zinazotokana na nguvu za giza naona zimenikimbia kabisa. Niko na matumaini mazuri hizi sasa. Asante Yesu.
  2. A

    CRDB bank ikoje asee(maoni yenu jamani Sina Raha hapa)

    Habari wakuu, mi Ni mfanya biashara mdogo Ila nmefanikiwa kupata mtaji , Sasa nimeanza ku-import bidhaa kutoka ulaya. Leo nlikuwa natuma pesa kwenda Barcelona-spain kwa njia ya T/T(telegraphic transfer). Nikajaza fomu na nikaambiwa lazima niwe na supporting document,hvyo ikanibidi kuambatanisha...
  3. G

    Epuka kuuziwa mbuzi kwenye gunia, Google pixel hairuhusu nchi za Africa kutumia 5g, Tafuta simu nyingine ukitaka ku-enjoy internet

    Yani umejipinda kununua simu kali halafu uanze tena kutumia 4g wakati eneo lina 5g ya kutosha, Ahh wapi aisee !! miyeyusho hio !! Ni tahadhari ya mapema kabisa naitoa, kama unataka kununua google pixel jifikirie mara 2, ukiachana na uadimu na bei pasua kichwa kwenye vioo kusababisha wengi...
  4. technically

    Kulikoni? Kikwete mbona hana raha Kama mwanzo?

    Kwanini JK hana raha kabisa Kama ilivyokuwa mwanzo? Au katengwa Maana Kuna kauli kaitoa karibuni kwamba ukitaka nchi itulie ishi vizuri na wazee Pia akatoka kauli kusema sio kila mzee ni mwasisi wa CCM Najiuliza kwanini JK hana raha kabisa sasahv Kama ilivyokuwa mwanzo Mpaka alikuwa...
  5. chiembe

    LGE2024 Chadema kitashinda uchaguzi wa mitaa? Lissu anatumia muda mwingi akiponda raha Belgium, hajishughulishi na lolote

    Nadhani chama kimekata tamaa, kimegawanyika. Nadhani sasa vyama vingine vizibe ombwe hili. Wenzetu wakija kuchochea vurugu, uharibifu wa amani, wana pa kukimbilia, kwa wajomba zao Canada na Ulaya, sisi kwetu ni hapahapa, tupatunze
  6. MIXOLOGIST

    Hakika: Tafuta raha, shida zinakuja zenyewe

    Kuishi kwingi ni kuona mengi Watoto na vijana wanaambiwa, nyinyi mna mbio, lakini sisi wazee twazijua njia Ni hivi mjukuu wangu, upatapo chochote kitu, mega sehemu ndogo jipe raha, kama wewe ni mzee wa pombe, jimiminie balimi zako baridi kabisa upate na mdudu laaana kidogo ukapumzike na mpenzi...
  7. kikoozi

    Ambao wameoa mwanamke daktari naomba kujua raha na karaha

    Habari za muda huu, kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kujua changamoto za kuoa mwanamke ambaye ni daktari kabla sijachukua maamuzi, daktari nikimaanisha Medical Doctor (MD). Karibuni
  8. Equation x

    Kuwa na mahusiano na kibonge ni raha sana

    Sisi tuliojaliwa kuwa na wapenzi vibonge, tunapata raha sana kuliko wale wenye wapenzi wenye muonekano wa namba moja iliyosimama. Muda wote nashawishika kumtoa 'out' ata kwa mkopo kwa sababu muonekano wake unanishawishi. Na hii baridi baridi hii, ngoja nimpigie simu angalau tukapate moja moto...
  9. Pdidy

    Jipe raha mwenyewe usipojopa raha maumivu n sehemu ya maisha yako

    Sio kila mtu anapenda kukuona ukifanikiwa. Tumezungukwa na watu wenye roho mbaya wakiuliza lini utaanguka maisha yako Usipotawala utatawaliwa. Usipotafta raha machungu yatakuwa mtaji wako ukiwa na maumivu ni furaha kwao Mateso yetu kwaoo n sikukuuu Kuanguka kwetu n shangwe usiku mzima kwenye...
  10. Z

    Ubalozi Malaysia, Wizara mambo ya nje na mambo ya ndani Tanzania fanyeni kazi zenu badala ya kula raha ofisini

    Naomba wizara hizi turekebishane. Kuna mambo ya kifilauni yantendeka ndani ya wizara. Nasikia baadhi ya mabalozi wanateuliwa ili kulea na kusomesha watoto wa waliowateua huko nje ya nchi. hii imeleta tabia ya kiburi na kutowajibika na mambo ya wa-TZ wa kawaida ktk nchi wanazowakilisha. Kuna...
  11. Kasie

    Raha ya mwanamke kuendesha/kupanda farasi

    Kama kawa, kama dawa.... Asili kuacha ni kimbembee.... https://youtube.com/shorts/FGKi35ClhvM?si=TYfyZ1TtOMv45IZt Muonekano hapo juu wa picha unasema yote, mwanamke akiwa juu ya Farasi.... Utaona tuu, hatuliii Atatikisika tuu kama si mabega basi matiti ama tumbo ama bambataa aahahahahhaa...
  12. Equation x

    Mapenzi ya zamani yalikuwa raha sana, natamani yajirudie.

    Mapenzi ya sasa hivi yamejaa utapeli mwingi, huna kitu hupendwi mtu. Ukimtongoza tu mrembo, atakuuliza unafanya kazi gani, au unamiliki nini? Kama bado unajitafuta, utakutana na fedheha. Ila enzi za mababu zetu, ilikuwa full burudani; mnakutana mkiwa hamna kitu, baadaye mnachuma pamoja na...
  13. Gol D Roger

    Sina raha, wasiwasi wa maisha unanisumbua

    Nasumbuliwa sana na wasiwasi wa maisha, mwanzoni nilikuwa naona kawaida ila kwa hali yangu ya sasa naona it's too much. Ngoja niwaelezee kidogo jinsi ilivyo, mfano nikitoka kazini nikirudi home kupumzika, mawazo yananijia kuna vijana wenzangu bado hawajarudi ghetto bado wapo mtaani wanapambana...
  14. Robert Heriel Mtibeli

    Raha ya mchepuko úwe pisikali au úwe na Pesa hata Mkeo atakuelewa

    Kwema Wakuu! Najua Wanaume wengi suala la kuwa na Mwanamke mmoja NI kipengele. Hiyo siô tatizo. Raha ya mchepuko úwe pisikali iliyonyooka, yàani Mtoto matata, kiuno thelasini, hipsi thelasini na Saba, kifua thelasini na tatu. Mtoto laini kama nyama ya ulimi. Dadeki! Yàani ukimtazama hivi...
  15. Tajiri Tanzanite

    Ni mwaka wa 2 sasa bila kufanya mapenzi ni raha kweli kweli

    Hapo vip!! Mimi ni kijana rijali haswa ila baada ya kumchunguza kiumbe anayeitwa mwanamke kwa miaka mingi nimegundua sintoweza kuishi naye kwasababu kipindi cha nyumba nikiwa kwenye mahusiano mwanamke amekuwa chanzo ya kunipokonya uhuru na furaha yangu ya asili. Pili ninapoona ushetani...
  16. ndege JOHN

    Jana na leo kuna raha sana sijui kwenu huko

    juzi ilikuwa birthday yangu sikuwa na hela yoyote sikwenda beach wala photoshoot.kazi ikaanza jana hela sijui zimetokea wapi kile kimya kikaondoka jana watu nikashuhudia watu wakilewa na kufanya ngono.. Makundi niliyoona wamefurahi sana jana ni wakina mama sijui wamevunja vicoba pamoja na watu...
  17. benzemah

    Rais Samia Kuzindua Miradi Nane Kizimkazi Day"

    Rais Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua na kuweka mawe ya msingi miradi nane yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni moja iliyopo Mkoa wa Kusini Unguja ikiwa ni kuelekea katika Tamasha la Kizimkazi (Kizimkazi Day) linalotarajiwa kuanza Àgosti 26 mwaka huu. Akiota taarifa kwa vyombo vya...
  18. N

    Ni raha sana

    Ujue mtu ukiendekeza sana maisha ya kazi unaweza ukachizika japo ndo maisha yanayotuweka mjini hapa. Kwa jinsi nilvyochoka na haya maisha jana nilihisi hiki kichwa kama sio changu nilihisi kama nimepandikizwa kichwa. Nilivyorudi nyumbani nikaweka flight mode nikalala. Nikasema potelea mbali...
  19. PureView zeiss

    Utafiti: Wanaosafiri wana raha sana kuliko shopping

    Utafiti mpya umeonesha kwamba Watu ambao wanatumia pesa zao kwa mambo kama vile kusafiri na kuhudhuria matukio ya burudani wana furaha zaidi kuliko wale wanaozingatia kuwekeza kwenye mavazi, kununua simu kali na vitu vingine kama hivyo ‘material goods’. Utafiti mpya uliochapishwa katika jarida...
  20. Mkalukungone mwamba

    Wananchiiii kwa Mkapa ni burudani na raha tu leo katika kilele cha wiki ya Wananchi

    Wananchiiii kwa Mkapa ni burudani na raha tu leo katika kilele cha wiki ya Wananchi. Tumefunika kelele za makolo wote wapo kimyaa. Wasubiri 8 agosti, 2024 tuwaonyeshe sisi ni wakina nani.
Back
Top Bottom