raia mwema

Raia Mwema
Raia Mwema is Tanzania's Kiswahili newspaper specializing in investigative and analytical journalism.
  1. Kinuju

    Spika Dkt. Tulia alishambulia gazeti za Raia mwema, adai linaongoza kwa upotoshaji nchini

    Spika wa bunge Dkt. Tulia Ackson amesema gazeti la Raia Mwema ni wapotoshaji wakubwa wa habari hapa nchini baada ya kutoa habari mfululizo za kulishambulia Bunge, Sabaya na Makonda bila ushahidi na sababu zozote. Gazeti la Raia mwema limeandika habari inayosema "Bunge lapitisha muswada wa...
  2. Cannabis

    Raia Mwema: Makonda Kibarua kizito, wengine wajitokeza kumshitaki

    Gazeti la Raia Mwema limeripoti kuwa watu wengine wamejitokeza kumshitaki aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Mfanyabiashara mmoja amenukuliwa na gazeti hilo akisema "Makonda ametufanyia mambo mengi kinyume na sheria za nchi. Kuna wakati baadhi yetu, tulijaribu kumshitaki...
  3. C

    Saed Kubenea amburuza Paul Makonda Mahakamani, kupanda kizimbani Desemba 3, 2021 kwa makosa ya jinai

    HABARI Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amefunguliwa kesi ya jinai Mahakamani akituhumiwa kwa mambo mbalimbali ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka ikiwemo suala la kuvamia kituo cha televisheni cha Clouds Media, Machi 17 mwaka 2017 Kesi dhidi ya Makonda imewasilishwa...
  4. Mpinzire

    Raia Mwema: Aliowatema Hayati Magufuli warejeshwa tena

    1. Prof. Mbarawa 2. Sophia Mjema 3. Amos Makala 4. Mchechu 4. January Makamba 5. Mramba 6. Lawrence Mafulu 7. Ashatu Kijaji 8. Iren Issaka 9. David Kafulila 10. Alphayo Kidata
  5. Erythrocyte

    Gazeti la Raia Mwema lamaliza kifungo, larejea kwa kishindo

    Baada ya kufungiwa kwa muda kutokana na kuandika kuhusu uanachama wa CCM wa Hamza, sasa limerudi tena
  6. Mfalme wa Genge

    Serikali imechelewa sana kufungia gazeti la Raia Mwema

    Mara kadhaa gazeti la Raia Mwema limekuwa likiandika taarifa za kiushabiki na kiuhanaharakati badala ya kusimamia misingi na weledi wa uandishi wa habari. Nimekuwa najiuliza kama gazeti hili lina mhariri au mhariri mwenyewe ndio mwanaharakati au haijui kazi yake vizuri. Nitoe tu heko kwa...
  7. M

    Utetezi wa Gazeti la Raia Mwema kabla ya kufungiwa

    Hebu someni wenyewe utetezi na adhabu ndio utajua kuwa watu walikuwa na adhabu tayari kabla ya utetezi. Tanzania bana End justify means badala ya means kujustify end Pia soma: Thread 'Gazeti la Raia Mwema lafungiwa kwa siku 30' Gazeti la Raia Mwema lafungiwa kwa siku 30
  8. Mpinzire

    Gazeti la Raia Mwema lafungiwa kwa siku 30

    Msemaji wa Serikalini Gerson Msigwa, amelifungia Gazeti la Raia Mwema kwa siku 30 Pia soma: Utetezi wa Gazeti la Raia Mwema kabla ya kufungiwa
  9. A

    Raia Mwema kuchapisha kila siku

    Gazeti la Raia Mwema sasa litaanza kutoa nakala za kila siku badala ya nakala moja kwa wiki ilizokiwa inatoa. Hii ni habari njema kwa wapenda habari za ukweli na uhakikana habari mbaya kwa magazeti yaliyozoea kuimba mapambio. Raia Mwema linasifika kwa kuchapisha habari nyeti za kifisadi...
  10. baro

    Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge

    Spika Job Ndugai ametoa maagizo kwa Kamati ya Maadili ya Bunge, kumhoji Mwanahabari Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema kwa kuandika makala ikiwa na kichwa "Bunge linajipendekeza?" Makala hiyo inayodaiwa kulidhalilisha Bunge ilitoka kwenye toleo la Jumatatu tarehe 9 Aprili...
  11. M

    Nani mmiliki wa Gazeti la Raia Mwema?

    Kwa muda mrefu Tangu kuanzishwa kwa Chama kipya cha Act. Gazeti la Raiamwema limekuwa likitoa Coverage kuubwa kwa viongozi waandamizi wa haka kachama ambako kanapingana na upinzani. Hususan Kitla Mkumbo, Zitto Kabwe na Samson Mwigamba. Je ni nani hasa mmiliki na ana maslahi gani na ACT????
  12. Mmawia

    Uandishi wa Gazeti la Raia Mwema

    Hivi jamani gazeti la raia mwema nalo lipo kisiasa zaidi? Maana naona mwelekeo wake unatupeka kule kigali.chonde chonde raia mwema
Back
Top Bottom