Kwa muda mrefu Tangu kuanzishwa kwa Chama kipya cha Act. Gazeti la Raiamwema limekuwa likitoa Coverage kuubwa kwa viongozi waandamizi wa haka kachama ambako kanapingana na upinzani. Hususan Kitla Mkumbo, Zitto Kabwe na Samson Mwigamba.
Je ni nani hasa mmiliki na ana maslahi gani na ACT????