rais caf

  1. BARD AI

    TANZIA Issa Hayatou, Rais wa zamani wa CAF afariki dunia

    Rais wa zamani wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Issa Hayatou wa Cameroon, amefariki dunia mjini Paris siku ya Alhamisi akiwa na umri wa miaka 77. Kulingana na Afrik-foot, kifo cha Hayatou kimethibitishwa na vyanzo kadhaa vya kuaminika, akiwemo mwenzake wa zamani Gerard Dreyfus na mwandishi...
Back
Top Bottom