rais kagame

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GENTAMYCINE

    Haya wale Viherehere na mwenye Chuki na Rwanda, Rais Kagame na Wanyarwanda mjibuni sasa Rais wa Ufaransa Macron

    " Congo DR iache kila mara Kulaumu Kuvamiwa na Rwanda, tumechoka na kabla ya Kuwashutumu Majirani zao Wajiimarishe hasa Kiusalama na Kuimarisha kama Taifa kwa Umoja na Kuwaunganisha Wakongo wote* amesema Rais wa Ufaransa Manuel Macron alipokuwa Ziarani nchini Congo DR. Chanzo Taarifa: Amka na...
  2. BARD AI

    Rais Kagame akataa nchi yake kupokea Wakimbizi wa DR Congo

    Rais Paul Kagame amesema Nchi yake haiko tayari kutoa hifadhi kwa watu wanaokimbia migogoro kwa maelezo kuwa hilo sio tatizo la Rwanda hivyo hawezi kubeba mzigo usi wake. Kagame amesema chanzo cha mgogoro wa DRC na Rwanda ni mabaki ya vikosi vya Wahutu wenye itikadi kali ambao walijaribu...
  3. BARD AI

    Rais Kagame: Umwagaji Damu nchini DR Congo hauihusu Rwanda

    Rais Paul Kagame amesema matatizo ya Congo hayakuundwa na Rwanda na si matatizo yao pia hawezi kuwajibika kwa matatizo yanayosababishwa na Wakongo wenye asili ya Rwanda wanaodai kunyimwa Haki zao kama raia. Kauli ya Kagame inakuja kukiwa na ongezeko la vifo na mwagaji damu katika maeneo...
  4. GENTAMYCINE

    Rais Kagame: Naunga mkono amani ya Congo DR, ila Rwanda ikichokozwa itajibu mapigo na watajuta kuifahamu

    "Nimeshiriki mazungumzo ya amani ya Congo DR na hata kushauri mambo mema ila nasikitika mwenzangu hataki kuwajibika kwa upande wake." "Wanasema Rwanda inaipiga Congo DR ila hawasemi wala hawaoni jinsi Congo DR inavyoivamia mara kwa mara Rwanda." "Napenda mno amani na sipendi machafuko kwani...
  5. U

    Taarifa: Angel Kagame Binti wa Rais Kagame apata Mtoto wa pili

    Hongera sana kwa Rais Paul Kagame wa Rwanda Kupata Mjukuu wa pili Nimeambatanisha picha ya Mjukuu mkubwa wa Rais Kagame akimbeba kwa furaha mdogowe Angel ndiye Binti pekee wa Rais Kagame President Paul Kagame on Wednesday announced the birth of his second grandchild, born to Ange I. Kagame...
  6. The Supreme Conqueror

    Rais Kagame akabidhiwa Rungu Uenyekiti Jumuiya ya Madola

    From 20 to 25 June 2022, Rwanda will host the 2022 Commonwealth Heads of Government Meeting (CHOGM). The meeting was due to be held in 2020 but has been delayed twice due to the Covid-19 pandemic. This will be the first in-person meeting of Commonwealth leaders since the London CHOGM in 2018...
  7. GENTAMYCINE

    Huyu ndiyo Rais Kagame nimpendae kutokana na IQ yake Kubwa

    "It is unacceptable that Ukraine a Country of 44 Milion people will feed Africa a Continent of 1.4 billion people. I promise all Rwandans that Rwanda will attain Food self sufficiency before 2025. I have authorized 1 billion dollars worth of Farming Materials, and all Logistics involved in...
  8. U

    Jenerali Muhoozi Kainerugaba atembelea Shamba la Rais Paul Kagame na kupewa Zawadi ya Ng'ombe aina ya Inyambo

    Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba ambaye ni Mtoto wa Rais Museven wa Uganda yupo ziarani nchini Rwanda Amepewa zawadi ya Ng'ombe aina ya Inyambo baada ya kutembelea shamba la Rais Paul Kagame
  9. aleesha

    Kwanini Rwanda ndio kioo cha Watawala Afrika Mashariki na Kati?

    Kumekuwa na Safari kadhaa kwa watawala na wakuu wa vikosi vya ulinzi katika nchi za afrika mashariki na Kati kwenda Rwanda. Ziara hizo bila ya shaka huwa zinabeba ajenda nyingi. Ama kwanini Rwanda kioo na kigezo watawala na viongozi waandamizi katika serikali za afrika mashariki na Kati...
Back
Top Bottom