rajapaksa

  1. beth

    Rais wa Sri Lanka, Gotabaya Rajapaksa ajiuzulu

    Rais Gotabaya Rajapaksa amewasilisha barua ya kujiuzulu Urais wa Nchi hiyo Spika wa Bunge, Mahinda Yapa Abeywardenena. Taarifa ya Bunge inasema wasilisho limefanya kupitia Baruapepe Inadaiwa ametuma Barua hiyo baada ya kuwasili Singapore. Taifa hilo limesema Rajapaska ameruhusiwa kuingia kwa...
  2. beth

    Kaka wa Rais wa Sri Lanka, Basil Rajapaksa, azuiwa kutoka nje ya nchi

    Basil Rajapaksa ambaye pia ana Uraia wa Marekani amezuiwa na Maafisa wa Idara ya Uhamiaji kuondoka nje ya Sri Lanka. Bado haijafahamika alikuwa anaelekea wapi Rajapaksa alijiuzulu nafasi ya Waziri wa Fedha Aprili 2022 baada ya maandamano kushika kasi kutokana na uhaba wa mafuta, chakula na...
  3. JanguKamaJangu

    Rais Rajapaksa wa Sri Lanka huenda akakimbia nchi

    Rais wa Sri Lanka ambaye anatarajiwa kukabidhi madaraka Julai 13, 2022, Gotabaya Rajapaksa inadaiwa alipelekwa katika kambi ya jeshi la wanaanga karibu na uwanja mkubwa wa ndege wa kimataifa. Hayo yameelezwa na maafisa nchini humo wakati zikiongezeka fununu kwamba ataikimbia nchi na kwenda...
Back
Top Bottom