rasilimali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    SoC04 Rasilimali nje ya hifadhi za taifa

    Taifa letu linahifadhi kubwa na vivutio vingi sana vya utarii,, lakini hii imekuwa ikizingatiwa kwa maeneno yaliyotengwa kwa ajili ya shughuli hiyo ya kuingiza kipato cha taifa,, na kufanyiwa usimamizi stahiki,, lakini licha ya hayo je, serikali inamtazamo gani juu ya mtazamo WA rasilimali nje...
  2. J

    Rais Ruto anasema Congo, Sudan Kusini, Somalia na Haiti wanaitegemea Kenya

    Ninavyofahamu Tanzania ndio nchi iliyobarikiwa kila aina ya Rasilimali hapa duniani na tunategemewa na nchi mbalimbali Sasa Nimeshangaa sana kumsikia Rais Ruto akitamba Kwamba wao Kenya ndio wamebarikiwa Rasilimali na inategemewa na Congo, South Sudan, Somalia na EU Lucas una lolote la kusema? 😀
  3. Chachu Ombara

    Rais Samia afanya uteuzi na mabadiliko ya watendaji wa Serikali. Zuhura Yunus aondolewa Ukurugenzi wa Mawasiliano Ikulu

    Rais Samia afanya uteuzi na kufanya mabadiliko ya watendaji wa Serikali. --- Zuhura Yunus, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, na Felister Mdemu, aliyekuwa msaidizi wa Rais katika Maendeleo ya Jamii, ni miongoni mwa viongozi walioteuliwa kushika nafasi mpya. Petro Itozya, aliyekuwa...
  4. Kinumbo

    Magari ya gharama kubwa yamekuwa mengi mtaani, nini kipo nyuma ya pazia?

    Aisee! Wakati baadhi ya watanzania kila uchwao wakilalamika ugumu wa maisha mtaani wakati huo huo kuna baadhi ya watanzania kila uchwao wananunua magari ya kifahari na gharama kubwa mno. Kama wewe ni mkazi wa Dar es Salaam utakubaliana nami, huko barabarani kwa sasa magari ya gharama ni mengi...
  5. Smith Rowe

    Tunaowapa madaraka wanajua wajibu wao hasahasa rasilimali za nchi

    "Wakati wanajeshi wakilinda mipaka ya nchi kizalendo, wanasiasa walipaswa kulinda rasilimali zetu, je ulinzi wa rasilimali zetu unaridhisha!!!?" CCM na Chadema wanatakiwa waungane walikomboe hili taifa, CCM wanasema nchi yetu ni nchi ya amani lakini wajue amani ni tunda la haki na uwajibikaji.
  6. mangikule

    Maswali muhimu kwa wanaojua ukweli

    Tumepewa Maneno mengine na maushahidi: 1. Eti bandari zote kapewa/Kauziwa mwarabu wa Dubai? 2. Eti misitu hecta 80,000,000 ameuziwa mwarabu wa Dubai kuvuna hewa ya ukaa? 3. Eti mbuga za wanyama zote wameuziwa waarabu na wakazi wa mbugani wamasai wamefurushwa? 3. Eti sehemu ya bahari na madini...
  7. S

    Watanganyika tuilinde nafasi ya Urais kwa wivu mkubwa ili kuokoa rasilimali zetu

    Wazanzibari walipoweka sharti la "Mzanzibari mkazi" kwa kila anayetaka kuwania nafasi yoyote nchini kwao hawakuwa wajinga. Walifanya hivyo ili kulinda maslahi ya nchi yao, wakiamini kwamba wakiongozwa na "wa kuja" wanaweza kuuzwa ama kuingizwa mjini. Kuna kila sababu na huku Tanzania bara...
  8. Cute Wife

    Tumebadilishana rasilimali za nchi na PhD?

    Nyuki wa mama salaam, wazalendo mpo? Safari ya Korea imezaa imetunda bwana. Kumbe PhD ya Jeshima ilikuwa inatuandaa kwa jambo lenyewe. Inamaama Korea ndio wametuona wajinga kiasi hiki mpaka tumebadilishana PhD na Madini na Bahari! Mbona tunarudi kwenye Mikataba ya kina Mangungo! Kweli na usomi...
  9. M

    Yanayoendelea kwa sasa kwenye Rasilimali za nchi, watanzania wangefumbua macho kidogo huyu Rais alitakiwa aachie madaraka, kupisha wanaoweza kuzilinda

    Hayo ni maoni ya jaji mstaafu. Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu. Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii...
  10. Bushmamy

    Kilimanjaro: Walimu wauza Rasilimali zao kupata pesa za uhamisho

    Walimu zaidi ya 50 kutoka Katika shule za msingi zipatazo 46 katika Tarafa mbalimbali Wilayani Rombo, Mkoani Kilimanjaro wamelazimika kuuza Rasilimali zao kama vile mbuzi, kuku na baadhi ya vitu vya ndani na wengine kuingia kwenye mikopo ili kuweza kupata pesa kwa ajili ya kujihamisha wao...
  11. M

    Ni ngumu kuibadili jamii inayoamini katika njia ya mkato ya maendeleo

    NI ukweli husiopingika kwamba kila mtu anatamani maendeleo na ukweli huo hauwezi kubadilika. Shida inayoniumiza kichwa changu Kwa sasa NI Kwa nini waafrika tunapenda short cut, hatupendi kuanzia chini au kutumia NJIA sahihi kupata mafanikio endelevu. Nafahamu kwamba afrika tunategemea Sana...
  12. mackj

    SoC04 Serikali ianzishe ruzuku kwa wakulima wa kilimo cha samaki ili kulinda rasilimali za uvuvi kwenye maziwa na bahari nchini

    Kilimo cha maji (AQUACULTURE) ni sekta muhimu na inayokua kwa kasi zaidi ya uzalishaji wa chakula cha wanyama duniani, na inaendelea kuzidi kasi ukuaji wa idadi ya watu, huku usambazaji wa kila mtu kutoka kwa wafugaji wa samaki ukiongezeka kutoka kilo 0.7 mwaka 1970 hadi kilo 7.8 mwaka 2008...
  13. V

    SoC04 Wazo la kuboresha usimamizi wa rasilimali za uvuvi nchini Tanzania

    Wazo moja la kuboresha usimamizi wa rasilimali za uvuvi nchini Tanzania ni utekelezaji wa programu za usimamizi shirikishi za kijamii. Mbinu hii inahusisha kushirikisha jamii za wenyeji katika usimamizi wa rasilimali za uvuvi kwa kuwapa ushiriki katika mchakato wa kufanya maamuzi na utekelezaji...
  14. FINANCIAL MARKET

    Zikumbatie na zilinde kwa wivu hizi rasilimali zako nne muhimu ili ufanikiwe, zinawindwa na wengi

    Rasilimali ya kwanza: ✅Uwezo mkubwa ulio ndani yako. Kila binadamu aliye hai, ana uwezo mkubwa na wa kipekee kabisa ambao upo ndani yake. Huo ni uwezo ambao akiweza kuutumia anaweza kupata chochote anachotaka kwenye maisha yake. Kwa bahati mbaya sana, wengi wanapuuza uwezo wao na kuishia...
  15. B

    SoC04 Uwekezaji katika Miundombinu, Sarafu, Rasilimali watu n.k

    TANZANIA TUITAKAYO Black Author Utangulizi Dira halisi ya maendeleo ya taifa lolote linaloendelea,na lililoendelea katika mipango yake,huzingatia sana mambo mawili yafuatayo,Kwanza,ni nadhari na la mwisho ni vitendo ili kuifanya nadharia kuwa hai,viongozi Kwa ushirikiano,huweka mipango Yao ya...
  16. J

    SoC04 Kuwezesha vijana kutumia rasilimali zetu katika kutatua changamoto ya ajira

    Vijana wawezeshwe kujitegemea katika kukuza uchumi wa nchi kwa kutumia changamoto kama fursa. Mungu ametujalia ardhi yenye rasilimali nyingi ambazo asilimia kubwa hatuzitumii katika kuziongeza thamani Ipo haja serikali kuwasaidia vijana waweze kuongeza thamani katika bidhaa. Mfano sioni haja...
  17. H

    SoC04 Kufikia Tanzania tuitakayo: Uwajibikaji mzuri wa Viongozi na Matumizi mazuri ya Rasilimali

    Tanzania Ni Nchi ambayo imebahatika kuwa na Kila kitu hivyo 1: Uwajibikaji mzuri wa Viongozi Tanzania ni nchi mojawapo ambayo inatumia demokrasia katika kuongoza, hivyo viongozi wanaichaguliwa ni vizuri wakawa wawajibikaji zaidi na kuwa wabunifu katika kuhakikisha Wanatenda vyema Yale yote...
  18. ACT Wazalendo

    Hoja Sita za Kutaka Mabadiliko ya Mifumo ya Uchaguzi, Haki na Kulinda Rasilimali za Nchi

    Uchambuzi wa ACT Wazalendo kuhusu mpango wa bajeti wa Wizara ya katiba na sheria kwa mwaka wa fedha 2024/25. Utangulizi. Tarehe 29 April 2024 Wizara ya katiba na sheria iliwasilisha hotuba ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Bunge liliijadili na kuidhinisha kiasi cha Shilingi Bilioni...
  19. MINING GEOLOGY IT

    Uchunguzi wa Jiolojia Unathibitisha Uwezekano wa Rasilimali Muhimu katika Maeneo ya Kimberlite ya Tanzania: Je, Almasi Zaendelea Kupatikana?

    Kimberlites ni miamba ya kipekee ambayo mara nyingi hufanana na mianzi ya juu ya koni na ambayo ina uwezekano mkubwa wa kuwa na almasi. Hii ndio kimberlite ilivyokamili kabla ijapata mabadiliko ya kijiolojia: UGUNDUNZI: Kimberlite iligunduliwa kwa mara ya kwanza huko Kimberley, Afrika Kusini...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    Kuteua Watu walewale ni dalili kuwa nchi haina Rasilimali Watu

    Habari za Sikukuu ya Pasaka! Moja ya dalili kubwa kuwa taifa fulani halina rasilimali Watu ni kwa kuangalia safu ya viongozi na watawala. Ukiona Watu wanaoteuliwa ni walewale yanaitwa miaka nenda rudi Watu ni walewale basi sababu kubwa ya jambo hilo ni kuwa nchi Hiyo haina Rasilimali Watu...
Back
Top Bottom