Kwa mwezi huuu tu nimeona post za RC wa Tabora akiamuru mtu afukuzwe kazi ama aondokee kwenye Mkoa wake.
Vyema ningependekeza tu hekima ifwate kuwaondoa hawa watu;
2. Sidhani tunahitaji kumwona kila saa kwenye hizi RC amfukuza mtu fulani.
3. RC aamuru mtu flani akamatwe.
4. Aamuru xxx...