real estate

  1. MR BINGO

    Je, uwekezaji UTT ni mbadala sahihi wa Real Estate Tanzania?

    kipi ni bora kwa uwekezaji TANZANIA kati ya kuwekeza katika biashara ya nyumba au kuwekeza katika mfuko wa hifadhi wa UTT?? Let's say una milion 30 ni bora ujengee nyumba in which utapata kodi labda ya 250k au ni bora uwekeze kwenye UTT in which ina return ya labda 1% per month ambayo ni kama...
  2. Mwl.RCT

    Beyond the Hype: Real Estate Veteran Mark McMahon on True Wealth, Recession Resilience, and the Long Game

    Beyond the Hype: Real Estate Veteran Mark McMahon on True Wealth, Recession Resilience, and the Long Game The allure of real estate investing is undeniable. Images of passive income, financial freedom, and early retirement flood social media, promising a life of luxury and ease. But what's the...
  3. D

    KWA ISHU ZA REAL ESTATE NA AUTOMOTIVE TUPIGIE

    KWA ISHU ZA REAL ESTATE NA AUTOMOTIVE TUPIGIE TUKUSAIDIE 0772959929
  4. D

    KWA ISSUE ZA REAL ESTATE NA AUTOMOTIVE TUPIGIE TUKUHUDUMIE

    KAMA UNAHITAJI NYUMBA AU APARTMENT YA KUPANGA AU KUNUNUA, KAMA UNAHITAJI GARI YA KUTEMBELEA IWE MPYA AU USED, PIA KAMA UTAHITAJI KUUZA NYUMBA, APARTMENT, KIWANJA AU GARI TAFADHALI TUPIGIE TUKUSAIDIE 0772959929
  5. The ice breaker

    Nawezaje kuanza biashara ya real estate Kwa mtaji wa viwanja nilivyo achiwa na Mzee ?

    Wakuu habari Kuna viwanja vitatu Mzee kanipa, Kimoja kipo Mlandizi ndani ndani huko porini, kama unaenda bagamoyo Kingine kipo ubungo external Cha mwisho kipo kimara mwisho Na Sina mpango wa kuuza hata kimoja , ila mpango mkubwa ni kuanza biashara ya Real Estate Sasa, swali la msingi...
  6. Yoda

    Madalali wa nyumba wanaharibu biashara ya kukodi na kuuza nyumba na viwanja (real estate)

    Angalia utofauti wa bei wa nyumba moja kati ya madalali wawili tofauti, huu ni wendawazimu.
  7. D

    REAL ESTATE AGENT

  8. M

    Wanahitajika vijana wa Kike kwa ajili ya mauzo ya mradi Real Estate

    Wanahitajika vijana wa Kike kwa ajili ya mauzo ya mradi wa nyumba uliopo(REAL ESTATE) wilaya ya Kigamboni Dar es salaam. TUMA C.V YAKO:sophiahamidu59@gmail.com
  9. Kv-london

    PITIA HAPA:Mliowahi kununua viwanja au mashamba kutoka Kwa Hawa wamiliki wa Real estate agents

    Habar zenu wapendwa Kuna kiela changu nimekipata Mahali nataka kununua ka plot Kwa ajili ya investment for my kids for their feture Sasa kwenye mitandao naona Kuna Hawa real estate agents wengi Sana nashidwa kuelewa jinsi wanavyo fanya kazi na usahihi wao jinsi ya Kupata hati baada ya...
  10. Kaka yake shetani

    Serikali ingekuwa mmliki wa real estate nyingi ili kupunguza ujenzi wa ovyo na unafuu wa kodi

    Bado serikali yetu jambo ambalo nafikiri linawasumbua moja ya kukosa mapato makubwa ni real estate ambazo lile wazo la majengo ya urafiki dar es salaam lingeendelezwa lingekuwa msaada mkubwa ya watu kutofikiria ugumu wa nyumba za kupanga. Ni vizuri kuwa mliweka NHC ila yenyewe imekuwa kama...
  11. Aliko Musa

    Bagamoyo Real Estate Workshop Namba 1

    Bagamoyo Real Estate Workshop Namba 1 Utangulizi wa programu. Programu hii ya FURSA ZA ARDHI/MAJENGO (Real Estate Workshop) zimelenga kwenye mambo makuu matatu (3). Mambo yenyewe ni: ✓ Moja; kujenga uwezo kwa mwekezaji kutafuta taarifa, koneksheni, maarifa na uzoefu wa sehemu anapowekeza...
  12. Mwl.RCT

    Real Estate Money Maze: Escaping Broke, Building Fortune

    Introduction: Are you ready to take control of your financial future? Real estate investing offers a path to success, but it's not without its challenges. Let's navigate the money maze and learn how to escape broke and build a fortune through smart real estate strategies. The Power of Passive...
  13. Aliko Musa

    Kinondoni Real Estate Workshop Namba 1

    District Real Estate Workshop ni kozi maalumu kwa wanachama wa makundi yetu ya TZ REAL ESTATE TEAM (TRT) kwa ajili ya kuchambua taarifa na maarifa kuangazia fursa zipatikanazo katika wilaya husika. Siri ya kukutana na bahati ya fursa kwenye uwekezaji wa ardhi na majengo inatokana na uelewa wa...
  14. D

    Ikiwa serikali imechukua eneo lako na kulipa fidia, ufanye nini cha kuzingatia?

    Ikiwa serikali imechukua eneo lako na kulipa fidia, kuna hatua kadhaa unazoweza kuchukua kuhakikisha kuwa unapata haki yako stahiki. Hapa kuna miongozo kadhaa: Thibitisha Malipo:Hakikisha kuwa unapokea malipo yote kama ilivyokubaliwa kwenye makubaliano ya fidia. Angalia kwa makini kiasi cha...
  15. Aliko Musa

    Workshop #02; Kahama Real Estate Workshop Namba 1

    Tutakayojifunza: (a) Lengo kuu la programu. (b) Shabaha/Fokasi ya programu ya leo. (c) Ufafanuzi wa Fokasi ya programu. (d) Sababu za uwepo wa fursa kwa kila taarifa. (e) Dondoo muhimu kuhusu vibanda. Utangulizi. Taarifa zimejazwa na Aliko Musa. Hii ni baada ya kukosekana mwanachama...
  16. Aliko Musa

    Karibu Kwenye Programu Iitwayo Mbeya Real Estate Workshop Namba 01

    Tutakayojifunza: (A) Sehemu Ya Kwanza; Kuhusu Taarifa Tatu (3). ✓ Lengo kuu la programu. ✓ Shabaha/Fokasi ya programu ya leo. ✓ Chanzo cha taaarifa. ✓ Ufafanuzi wa Fokasi ya programu. ✓ Sababu za uwepo wa fursa kwa kila taarifa. (B) Sehemu Ya Pili: Kuhusu Fokasi Ya Programu ✓ Maana ya...
  17. Aliko Musa

    Uchaguzi Wa Masoko Mahalia (Local Real Estate Markets)

    Utangulizi Soko mahalia ni jumla ya shughuli za kununua na kuuza viwanja, mashamba na majengo ndani ya eneo husika. Soko mahalia la wilaya ya Mbeya mjini hutofautiana na wilaya yoyote iliyo nyanda za juu kusini. Soko mahalia kwenye wilaya moja ni tofauti kabisa na soko mahalia kutoka wilaya...
  18. sky soldier

    Hawa wajasiriamali maarufu chini ya miaka 30 wanapoteleaga wapi kibiashara wakishavuka miaka 30?

    Ni watu ambao kwa kipindi hicho walitupa hamasa na tukaona watafika mbali sana kwenye ujasiriamali lakini mambo ymekuwa ndivyo sivyo kwa wengi hasa wakivuka 30 Patrick Ngowi - Alikuwa na kampuni ya sola, aliingia madeni sijui yupo wapi kwa sasa Jokate Mwegelo - Biashara ilianza kwenda hovyo...
  19. M

    Nafasi tano (05) za Afisa masoko na mauzo ya viwanja- J2 Real Estate

    1. Utangulizi J2 Real Estate inahusika na ununuzi na uuzaji wa viwanja, tathmini na urasimishaji wa ardhi. Ofisi zake ziko Goba, DSM 2. Nafasi za kazi Tunawatangazia watanzania wenye sifa na uzoefu katika kazi za mauzo na masoko wa miradi ya viwanja kuchangamkia nafasi hizi. Sifa -Uwezo mzuri...
  20. M

    Nafasi tano (05) za Afisa masoko na mauzo wa viwanja- J2 Real Estate

    1. Utangulizi J2 Real Estate inahusika na uuzaji wa viwanja vya makazi na biashara. Ofisi zake ziko Goba, DSM 2. Nafasi za kazi Tunawatangazia watanzania wenye sifa na uzoefu wa mauzo na masoko katika miradi ya viwanja na mashamba kuomba nafasi husika. Sifa -Uwezo mzuri wa kuongea na...
Back
Top Bottom