kipi ni bora kwa uwekezaji TANZANIA kati ya kuwekeza katika biashara ya nyumba au kuwekeza katika mfuko wa hifadhi wa UTT??
Let's say una milion 30 ni bora ujengee nyumba in which utapata kodi labda ya 250k au ni bora uwekeze kwenye UTT in which ina return ya labda 1% per month ambayo ni kama...
Beyond the Hype: Real Estate Veteran Mark McMahon on True Wealth, Recession Resilience, and the Long Game
The allure of real estate investing is undeniable. Images of passive income, financial freedom, and early retirement flood social media, promising a life of luxury and ease. But what's the...
KAMA UNAHITAJI NYUMBA AU APARTMENT YA KUPANGA AU KUNUNUA, KAMA UNAHITAJI GARI YA KUTEMBELEA IWE MPYA AU USED, PIA KAMA UTAHITAJI KUUZA NYUMBA, APARTMENT, KIWANJA AU GARI TAFADHALI TUPIGIE TUKUSAIDIE
0772959929
Wakuu habari
Kuna viwanja vitatu Mzee kanipa,
Kimoja kipo Mlandizi ndani ndani huko porini, kama unaenda bagamoyo
Kingine kipo ubungo external
Cha mwisho kipo kimara mwisho
Na Sina mpango wa kuuza hata kimoja , ila mpango mkubwa ni kuanza biashara ya Real Estate
Sasa, swali la msingi...
Wanahitajika vijana wa Kike kwa ajili ya mauzo ya mradi wa nyumba uliopo(REAL ESTATE) wilaya ya Kigamboni Dar es salaam.
TUMA C.V YAKO:sophiahamidu59@gmail.com
Habar zenu wapendwa
Kuna kiela changu nimekipata Mahali nataka kununua ka plot Kwa ajili ya investment for my kids for their feture
Sasa kwenye mitandao naona Kuna Hawa real estate agents wengi Sana nashidwa kuelewa jinsi wanavyo fanya kazi na usahihi wao jinsi ya Kupata hati baada ya...
Bado serikali yetu jambo ambalo nafikiri linawasumbua moja ya kukosa mapato makubwa ni real estate ambazo lile wazo la majengo ya urafiki dar es salaam lingeendelezwa lingekuwa msaada mkubwa ya watu kutofikiria ugumu wa nyumba za kupanga.
Ni vizuri kuwa mliweka NHC ila yenyewe imekuwa kama...
Bagamoyo Real Estate Workshop Namba 1
Utangulizi wa programu.
Programu hii ya FURSA ZA ARDHI/MAJENGO (Real Estate Workshop) zimelenga kwenye mambo makuu matatu (3). Mambo yenyewe ni:
✓ Moja; kujenga uwezo kwa mwekezaji kutafuta taarifa, koneksheni, maarifa na uzoefu wa sehemu anapowekeza...
Introduction:
Are you ready to take control of your financial future? Real estate investing offers a path to success, but it's not without its challenges. Let's navigate the money maze and learn how to escape broke and build a fortune through smart real estate strategies.
The Power of Passive...
District Real Estate Workshop ni kozi maalumu kwa wanachama wa makundi yetu ya TZ REAL ESTATE TEAM (TRT) kwa ajili ya kuchambua taarifa na maarifa kuangazia fursa zipatikanazo katika wilaya husika.
Siri ya kukutana na bahati ya fursa kwenye uwekezaji wa ardhi na majengo inatokana na uelewa wa...
Ikiwa serikali imechukua eneo lako na kulipa fidia, kuna hatua kadhaa unazoweza kuchukua kuhakikisha kuwa unapata haki yako stahiki. Hapa kuna miongozo kadhaa:
Thibitisha Malipo:Hakikisha kuwa unapokea malipo yote kama ilivyokubaliwa kwenye makubaliano ya fidia. Angalia kwa makini kiasi cha...
Tutakayojifunza:
(a) Lengo kuu la programu.
(b) Shabaha/Fokasi ya programu ya leo.
(c) Ufafanuzi wa Fokasi ya programu.
(d) Sababu za uwepo wa fursa kwa kila taarifa.
(e) Dondoo muhimu kuhusu vibanda.
Utangulizi.
Taarifa zimejazwa na Aliko Musa. Hii ni baada ya kukosekana mwanachama...
Tutakayojifunza:
(A) Sehemu Ya Kwanza; Kuhusu Taarifa Tatu (3).
✓ Lengo kuu la programu.
✓ Shabaha/Fokasi ya programu ya leo.
✓ Chanzo cha taaarifa.
✓ Ufafanuzi wa Fokasi ya programu.
✓ Sababu za uwepo wa fursa kwa kila taarifa.
(B) Sehemu Ya Pili: Kuhusu Fokasi Ya Programu
✓ Maana ya...
Utangulizi
Soko mahalia ni jumla ya shughuli za kununua na kuuza viwanja, mashamba na majengo ndani ya eneo husika. Soko mahalia la wilaya ya Mbeya mjini hutofautiana na wilaya yoyote iliyo nyanda za juu kusini.
Soko mahalia kwenye wilaya moja ni tofauti kabisa na soko mahalia kutoka wilaya...
Ni watu ambao kwa kipindi hicho walitupa hamasa na tukaona watafika mbali sana kwenye ujasiriamali lakini mambo ymekuwa ndivyo sivyo kwa wengi hasa wakivuka 30
Patrick Ngowi - Alikuwa na kampuni ya sola, aliingia madeni sijui yupo wapi kwa sasa
Jokate Mwegelo - Biashara ilianza kwenda hovyo...
1. Utangulizi
J2 Real Estate inahusika na ununuzi na uuzaji wa viwanja, tathmini na urasimishaji wa ardhi. Ofisi zake ziko Goba, DSM
2. Nafasi za kazi
Tunawatangazia watanzania wenye sifa na uzoefu katika kazi za mauzo na masoko wa miradi ya viwanja kuchangamkia nafasi hizi.
Sifa
-Uwezo mzuri...
1. Utangulizi
J2 Real Estate inahusika na uuzaji wa viwanja vya makazi na biashara. Ofisi zake ziko Goba, DSM
2. Nafasi za kazi
Tunawatangazia watanzania wenye sifa na uzoefu wa mauzo na masoko katika miradi ya viwanja na mashamba kuomba nafasi husika.
Sifa
-Uwezo mzuri wa kuongea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.