real estate

  1. M

    Nafasi tano (05) za Afisa masoko na mauzo wa viwanja- J2 Real Estate

    1. Utangulizi J2 Real Estate inahusika na utoaji wa mafunzo ya udereva, uuzaji wa viwanja, huduma za usafi na upulizaji wa dawa. Ofisi zake ziko Goba, DSM 2. Nafasi za kazi Tunawatangazia watanzania wenye sifa na uzoefu nafasi za afisa mauzo na masoko wa miradi ya viwanja, mashamba na nyumba...
  2. Jamii Opportunities

    Manager Facility & Real Estate at CCBRT

    Vacancy: MANAGER FACILITY & REAL ESTATE Ref: 2022-38 Comprehensive Community Based Rehabilitation in Tanzania (CCBRT) aims to be the leading provider of accessible specialized health services in Africa and serves as healthcare social enterprise and through development programmes in the community...
  3. J

    Site gani yenye traffic kubwa kutangaza real estate?

    Wadau site gani kwa sasa unaweza weka matangazo real estate ukapata wateja kirahi..nilikuwa natumia sana zoom, naona wamepotea(imekuwa kupatana.com-ambayo siyo strong kama zoom)... Noamba kwa mwenye kujua tafadhari....
  4. Aliko Musa

    KITABU #2.02; Successful Real Estate Investing (Kuwekeza Kwenye Majengo Kwa Mafanikio Na Robert Shemin)

    Kwenye uchambuzi unaofuata nitakuwa nakushirikisha makosa matatu (3) au zaidi kila siku. Kitabu hiki hakina sura, hivyo nitakushirikisha namba za makosa hadi kufikie kosa la 75 kwenye kitabu hiki. KOSA #01; Kutokuanza Kuwekeza Mapema Kwenye Ardhi Na Majengo. Hili ni kosa kubwa sana ambalo...
  5. Abdul Ghafur

    Fursa ya Ubia kwenye Real Estate Development na Construction.

    *Fursa ya biashara kwa ubia (joint venture) * Abraar Bricks Nyumba kwa wote, Kumejitojeza fursa ya kibiashara ambayo inahitaji active partners wa kuingia nao makubaliano ya kibiashara (joint ventures). Yeyote kati ya hawa hapa chini wanaokidhi vigezo tuwasiliane; 1) Upo kwenye fani ya...
  6. Tz boy 4tino

    Best cities for real estate Investment

    What is a Real Estate Investment ?, Benefits of a Real Estate Investment , Best Cities for Real Estate Investment..
  7. Z

    Msaada wa kuhusu bacherol of science in real estate finance and envestment

    Mimi ni kijana niliyemaliza form 6 mwaka 2019 nakupata DIV 2 kwa combination ya EGM nilikuw naomba msaada wenu kuhus hii koz inahusian n nin,pia kweny kuajiria unaweza kupiga kampuni kama zipi pia kweny kujiajiri wew kam ww unaweza kupiga issue kam zipi.Nawasilisha hoja kwenu wadau n mm ndio...
  8. T

    Real estate business Tanzania inaelekea kufa kabisa, kwa sasa inapumulia mashine

    Biashara ya kujenga na kupangisha Tanzania inaelekea kufa kabisa. Sasa hivi hii biashara inapumulia mashine ICU. Kwa wakazi wa Dar es Salaam mtakuwa mashahidi, malls nyingi na majengo mengi ni matupu miaka sasa, Mkuki house sasa inaanza kujaa panya, Quality Centre and Plaza mnajua...
  9. B

    Real estate broker

    Biashara ya kupanga nyumba na kupangisha nyumba imeendelea kuwa na changamoto kadri siku zinavyoenda. Nyakisasa Empire Ltd imejaribu kuja na mbinu ambayo itapunguza kero kwa wapangaji na wenye Nyumba. Tunatoa form ambayo mpangaji atatujazia kuelezea mahitaji yake,pia tunaingia mikataba na wenye...
  10. Z

    Partners sekta ya tools, real estate, ujenzi

    Habari, Kama imeandikwa. Ningetaka kuunda kama society itakayohusu sekta ya ujenzi. Kwa hiyo ninahitaji partners kwa ajili ya: - Kupandisha mtaji - Kutafuta viwanja - Kutafuta wateja - Kuajiri wafanyakazi - Kufanya taratibu zote za serikali. Kama uko serious na una interest na sekta hiyo nipe...
  11. Danfordkahwa

    Kwa mwenye mahitaji ya nyumba za kupanga na kununua Mbezi

    Nyumba inapangishwa ina vyumba 2 ipo mbezi beach 350000. Call 0684709045 0629350247. Tunachaji view fees kwa ajili ya kuona nyumba ni shs 20000.kodi ya mwezi moja.
  12. Website design

    House4Sale Nyumba inauzwa ipo Makongo

    📍Eneo Lilipo: Makongo Juu - Mageuzio 📍Aina ya eneo: Eneo la makazi Kubwa lililo na mjengo wako 📍Ukubwa wa eneo: 2100 Sqm 📍Mazingira ya eneo: Eneo tulivu lenye makazi ya watu 📍Huduma za kijamii: Umeme na Maji vyote vipo 💸💸💸 BEI : Milioni 300 (Mazungumzo yapo) 💸💸💸 LIPA 50% INGINE...
  13. Aloyce Mkwizu

    GUEST HOUSE INAUZWA BUGURUNI SOKONI

    Guest house inauzwa buguruni sokoni. Zipo 2, zote zinauzwa million 120. Zote zina vyumba zaidi ya 9 some self contained some not. Kwa maelezo zaidi wasiliana na simu namba, 0742930901 au 0754677838 Unaweza wasiliana na mwenye guest directly kwa simu namba 0767234545 KIGOMA GUEST HOUSE
  14. F

    Plot4Sale Eneo ekari 3.77 linauzwa ndani ya jiji la Dodoma, liko barabarani

    Eneo liko Msalato almaarufu kwa mwinyi (Arusha Road) kunakojengwa Dodoma International Airport. Eneo liko barabarani linapakana na hotel ya kitalii ya FANTANCY.....lina ukubwa wa ekari 3.77, Eneo limepimwa na limeingizwa kama lilivyo kwenye master plan ya jiji la Dodoma kama ilivyo onekana...
  15. DarProperty Tz

    Soma Jarida la The Darproperty bure, fuata link hii http://www.darproperty.co.tz/monthlyIssue/viewLatestMagazine

    Jipatie taarifa na maarifa mbalimbali kuhusu sekta ya miliki kuu kupita jarida hili. Soma Jarida la The Darproperty bure, fuata link hii The Magazine(March 2019)
Back
Top Bottom