report

A report is a document that presents information in an organized format for a specific audience and purpose. Although summaries of reports may be delivered orally, complete reports are almost always in the form of written documents.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Napata changamoto ya kupata loss report

    Wakuu nimekuwa nikihangaikia ishu ya kusajiri loss report na kulipia kupitia control number niliopata wakati wa kusajiri naona bado inaniletea ujumbe kuwa haijathibitishwa na nizaidi ya masaa mawili sasa hivyo nashindwa kuprint hiyo report. Vipi kuna cha ziada ninawezafanya hapo au ndio mpaka...
  2. Tigo yaongoza kwa simu za kitapeli Report ya Quarter ya 3 TCRA

    Report ya Quarter ya 3 ya mwaka 2022/2023 yaonesha Tigo kinara simu za kitapeli yaonesha pia TTCL kushuka sana kimapato na internate penetration
  3. T

    Nakusudia kupanga maandamano hadi bungeni kushinikiza Ripoti ya CAG ijadiliwe sasa

    Haiwezekani kabisa CAG afanye kazi yake akabidhi wezi wa fedha zetu, alafu tuendelee kupanga bajeti nyingne, ili tuwape fursa wakaibe tena!!? Nawaomba wote wenye uzalendo wa kweli tuungane pamoja tufanye maandamano ya amani ili kuelezea hisia zetu kwa ajili ya kulilazimisha bunge ili lijadili...
  4. S

    CAG REPORT, upotevu wa hela za Serikali

    Naomba niende mbali zaidi kuwa niwe Whistle Blower katika baadhi ya sehemu kulikopotea/kufujwa hela za umma. Rais wetu ana nia nzuri zana anapofanya teuzi mbalimbali ila wengi wanamwangusha kwani kutokana na kibano walichopewa kipindi cha Jiwe sasa wanataka wavute fasta kwa urefu wa kamba zao...
  5. Tuendelee kumhusisha hayati Magufuli ripoti ya CAG

  6. K

    CAG tunaomba repoti za mwaka 2021/2022. Hizi za Magufuli kwanini haukuzileta mwaka jana?

    GAG tunaomba report za mwaka 2021/2022 tu. Nimekuwa nafatilia report ya CAG toka itangazwe karibu wiki moja iliyopita. Nilitegemea CAG atatupatia report ya Mwaka huu 2021/2022, lakini CAG anatupatia mpaka report za nyuma kabisa za Magufuli. Swali langu ni je, kwanini hizi report CAG hakuzitoa...
  7. Kwanini uvccm wamejificha kujadili report ya CAG?

    Yaani mpaka mwadawa mtoto wa hayati Bob analia kuhusu ufisadi lkn uvccm wala hawana habari!!
  8. Rais alipaswa kujiuzulu baada ya report ya CAG

    Baada ya report ya CAG kuweka wazi wizi na madudu yanayoendelea huko serikalini, Kiongozi makini na mzalendo alipaswa kukaa pembeni kupisha uchunguzi. Lakini tujiulize, Kiongozi aliyeteleza kwa kuzungumza hadharani, iwe kwa ukweli au kwa uongo kwamba "kuna siku nchi itapigwa mnada kwa madeni"...
  9. Ripoti ya CAG 2021/2022. ATCL, NHIF, Deni la Taifa, Vyura wa Kihansi, risiti za kielektroniki, Biswalo. Vyazua Mjadala

    Leo April 06, 2023 mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali, Charles Kichere ameongea na waandishi wa habari kuhusu ripoti ya ukaguzi wa hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22. Miongoni mwa mambo muhimu CAG amewashukuru waandishi wa habari, wenyeviti na makamu wenyeviti wa kamati za Bunge kwa...
  10. Je, uwezo na sifa za viongozi na watendaji wanaoteuliwa unaweza kupimwa na report ya CAG?

    Hilo ni swali: Naomba kila mmoja atoe jibu na mawazo yake:
  11. TANESCO yatumia Tsh milioni 600 kufuga vyura wa Kihansi Marekani

    Tanesco huu ni wizi
  12. M

    Sijasikia Zitto Kabwe na chama chake wakitangaza uchambuzi wao wa Ripoti ya CAG

    Kipindi cha magufuli Zitto Kabwe na kijana wake Ado Shaibu walijinasibu sana kuichambua report ya CAG na wakaja na madudu ya 1.5 t kuwa zimopotea na hazijulikani ziliko na walijinasibu kweli, kwa bahati nzuri report ya CAG ipo kila mwaka na report ya awamu hii yote inagusa utawala wa Samia...
  13. Tanzania ya 8 kutoka mwisho ripoti ya furaha Duniani

    Tanzania yaendelea kuangukia pua world happiness report 2023 baada ya kuwa kundi moja na nchi za Haiti, Afghanstan, Congo, Rwanda, Malawi na Lesotho. Vigezo vilivyotumika ni pamoja na upatikanaji wa haki, Rushwa, Matarajio ya maisha marefu, pato la mtu mmoja kitaifa, Ukarimu, Usaidizi wa Jamii...
  14. Naombeni template ya payroll audit report

    Wahasibu wa jamii forums najua mko wengi hadi wengine ni ma auditor, nina kazi ya kutengeneza hio report ila nilikuwa nataka template walau inipe picha ya kitu kinatakiwa kioenekanaje
  15. N

    Alichokijenga Bashiru sasa kinambomoa

    Alichokijenga Dk Bashiru sasa kinambomoa Alhamisi, Novemba 24, 2022 Wana JF nimepakua hii habari ili kwa wale wasioingia kwenye magazeti muisome By Luqman Maloto Novemba 22, 1963 Rais wa 35 wa Marekani, John Kennedy “JFK”, alipigwa risasi na kuuawa. Mshituko ulikuwa mkubwa kuanzia eneo la...
  16. Ajali ya Precision Air: Ripoti yabaini hakuna Control Tower, Boti za Uokozi zilichelewa, Mhudumu na Abiria ndio waliofungua mlango

    Imefahamika kuwa licha ya Jeshi la Wanamaji kujulishwa tukio la ajali, Boti rasmi ya uokoaji ya Kitengo cha Wanamaji ilichelewa kufika eneo la ajali na sababu ni kwamba haikuwepo katika Bandari ya Bukoba - Pia, pamoja na Askari wa Kitengo cha Wanamaji kuchelewa kufika, hawakuweza kufanikisha...
  17. Tukio la kumkatisha msoma report ya mwenge asiendelee kueleza madudu ya miradi si sawa na Raisi aliangalia tu

    Niseme tu kwa kipindi cha Jpm sidhani kama angekubaliana na situation ile ila huyu Mama hata sielewi uongozi wake,moja ya madudu kumbe kwenye mashule ndio wahandisi wa majengo ???? ...
  18. Commonwealth Observer Group publishes final report on Zambia’s 2021 elections

    The Commonwealth Observer Group (COG) to Zambia released its final report on the 2021 general elections, which saw Hakainde Hichilema become the country’s seventh President. The 14-member delegation, led by the former President of Tanzania, H.E. Dr Jakaya Kikwete, concluded that despite some...
  19. S

    Fatma Karume: Walioanda zile fraudulent report za Makinikia ni watu evil

    Ameandika hivyo kupitia mtandao wa twitter akionekana kutoa maoni yake kuhusian na kauli ya Prof. Kabudi ambapo ame-attach gazetli la JAMHURI Msome hapa: Palamagamba na profesa wengine wote walieandika zile ripoti fraudulent ni wakushatakiwa. Innocent people walifungwa kwa miaka zaidi ya 2...
  20. CS Magoha defended Sh10m allowances, saying he needs to commission projects himself

    Photo: Secretary George Magoha Hours after reports that Education Cabinet Secretary George Magoha and his staff were paid more than Sh10 million in allowances for touring the country “to monitor the distribution of lockers and desks” in schools, the CS has come out to defend the payments. Prof...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…