Top 10 African countries with the highest debt to the IMF in February 2025
While some African countries have chipped away at their debts others have piled onto them, as they’ve reached out to financiers like the International Monetary Fund (IMF) for financial aid.
Excessive debt accumulation...
Ripoti ya hivi karibuni ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) kuhusu hali ya deni la mataifa 186 duniani imeonyesha kuwa Tanzania inazidi kuimarika kiuchumi chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.
Katika ripoti hiyo ya Economic Outlook ya Oktoba 2024, Tanzania imeorodheshwa na uwiano wa deni...
South Sudan, ripoti ikionyesha uchumi wao utakuwa kwa 27.2% kufikia 2025, japo katika 2024 inflation yao ni 120%
Libya, wikitarajiwa uchumi kukua kwa 13.7%, inflation iko 2.4%
Senegal, uchumi kukua kwa 9.3%, infation iko 1.5%
Sudan wao uchumi utakua kwa 8.3% kufikia 2025
Uganda wanaenda kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.