robert

The name Robert is an ancient Germanic given name, from Proto-Germanic *Hrōþi- "fame" and *berhta- "bright" (Hrōþiberhtaz). Compare Old Dutch Robrecht and Old High German Hrodebert (a compound of Hruod (Old Norse: Hróðr) "fame, glory, honour, praise, renown" and berht "bright, light, shining"). It is the second most frequently used given name of ancient Germanic origin. It is also in use as a surname. Another commonly used form of the name is Rupert.
After becoming widely used in Continental Europe it entered England in its Old French form Robert, where an Old English cognate form (Hrēodbēorht, Hrodberht, Hrēodbēorð, Hrœdbœrð, Hrœdberð, Hrōðberχtŕ) had existed before the Norman Conquest. The feminine version is Roberta. The Italian, Portuguese, and Spanish form is Roberto.
Robert is also a common name in many Germanic languages, including English, German, Dutch, Norwegian, Swedish, Scots, Danish, and Icelandic. It can be used as a French, Polish, Irish, Finnish, Romanian, and Estonian name as well.

View More On Wikipedia.org
  1. Nini kipo nyuma ya Mzungu John Robert Maitland, alifungwa Tanzania miezi 6 lakini bado yuko Gerezani Segerea zaidi ya miaka 10?

    JOHN ROBERT MAITLAND DHIDI YA JAMHURI Mshtakiwa alishtakiwa kwa kosa la kuingia na kuwepo kinyume cha sheria ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mahakama ya Wilaya Bukoba, Kavera. Alikutwa na hatia na kuhukumiwa kulipa faini ya Shilingi 80,000 za Kitanzania au kifungo cha miaka...
  2. U.S. Senate CONFIRMS Robert F. Kennedy as Secretary of Health and Human Services

    U.S. Senate CONFIRMS Robert F. Kennedy as Secretary of Health and Human Services Hal Turner World February 13, 2025 By a Vote of 52 to 48, the United States Senate has CONFIRMED the nomination of Robert F. Kennedy as Secretary of Health and Human Services (HHS). This is viewed as a...
  3. Robert Kiyosaki wa Rich Dad, Poor Dad ni tapeli?

    Nimeangalia video moja Youtube inamuelezea kamajamaa ni magumashi sana. Sehemu kubwa ya pesa anazopata ni kupitia semina anazotoa akichaji dola 12K hadi 45K, na si kupitia biashara ya Real Estate kama anavyodai. Pia japo anasifika kwa kuandika kitabu hicho lakini hasa aliyefanya kazi ni...
  4. Kumekucha: Trump anataka mafaili yote ya siri kuhusu mauaji ya Rais John F. Kennedy na kaka yake Robert F. Kennedy yawekwe wazi kwa umma

    Rais mpya wa Marekani, Donald Trump anapanga kuagiza idara za usalama za Marekani kuweka wazi taarifa zote za siri (Classified Documents) kuhusiana na mauaji ya JFK na RFK yawekwe wazi kwa umma ili umma uweze kujua nini hasa kilijiri. Ni takribani miongo sita imepita tangu ndugu hao wauwawe...
  5. Video: Robert F Kennedy Jr afichua chanzo cha vita vya Ukraine

    https://youtu.be/LD6kvDHbIYY?si=7sv2Yv9AeEDde3Er Uhusiano kati ya wauzaji wa silaha na vita vinavyoendelea ni mada ya mjadala mkubwa na wasiwasi. Biashara ya silaha, halali na haramu, inachukua jukumu ngumu katika kuzidisha na kusaidia migogoro kote ulimwenguni. Hapa kuna baadhi ya mambo...
  6. Mjue Robert Chesebrough: Mvumbuzi wa Mafuta Maarufu leo hii Vaseline

    Wakati wengine wakikimbilia fursa ya mafuta baada ya kugunduliwa, yeye aliiona fulsa kwenye uchafu wa mafuta uliokuwa ukiwakera watu. Anakumbukwa sana kwa kauli yake maarufu isemayo: "Innovation doesn’t happen in laboratories; it’s discovered in the field." Na hii ndiyo hadithi yake. Mwaka...
  7. Fahamu Mambo 10 kuhusu Jenerali Robert Mboma, CDF pekee kutokea Kamandi ya Anga

    Leo nimeona niwaletee machache kuhusu Jenerali Robert Mboma, aliyepata kuwa Mkuu wa Majeshi wa Tanzania miaka ya nyuma huku akiwa na rekodi mbalimbali. Twende kazi… 1. Jenerali Robert Mboma alijiunga na Jeshi la Wananchi na kulitumikia katika nafasi mbalimbali mpaka pale alipostafu mwaka 2001...
  8. L

    Robert Heriel anafanana mno na Michael Scofield

    Hiki ndicho kipande chako baada ya kurekebisha alama za uandishi: Kwa muda sasa, najaribu kumchunguza kijana huyu anaye fahamika kama Robert Herieli almaarufu Mtibeli. Kupitia maneno yake na tabia zake humu mtandaoni (sijajua offline), anafanana wazi kabisa na Michael Scofield. Kwa nini...
  9. Rais, mchukue Robert Heriel wa JamiiForums awe mwandishi wako wa hotuba 2025

    Rais, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pole na Kazi nzito ya kuliongoza Taifa letu pendwa hili la Tanzania. Mambo ni mengi sana ya kuendelea kusemezana na wewe kupitia jukwaa letu pendwa la Jamiiforums, muda ni kidogo sana kama kawaida yangu ya kuendelea kutoa ushauri...
  10. B

    Robert Amsterdam | Live Coverage with Political Advocacy and International Lawyer

    Robert Amsterdam | Live Coverage with Political Advocacy and International Lawyer https://m.youtube.com/watch?v=FI2RG25sVzk Patrick Nhigula host of America Swahili News in depth conversation with his guest Robert Amsterdam who is an Advocacy and International Lawyer @ 29 September 2024...
  11. Robert Amsterdam afikiria kupeleka madai Jumuiya ya Madola ya kutaka Tanzania ifutwe wanachama kutokana na kunyamazia vitendo vya utekaji na mauaji .

    Mwanasheria wa kimataifa Robert Amsterdam apanga kufikisha madai kwenye Jumuiya ya Madola ya kuitaka jumuiya hiyo kuifuta uanachama Tanzania kutokana na mambo yanoendelea nchini hususan watu kutekwa, kuteswa na kuuliwa huku serikali inoongozwa na CCM ikikaa kimya bila kuchukua hatua yoyote...
  12. Watanzania jifunzeni kuumiza akili katika kuandaa maudhui, kuna mtu anachukua nyuzi za Robert Heriel Mtibeli na kujifanya zake bila credit

    Ukitaka kuwa Content creator umiza akili au ukiwa mzee wa kukopi jifunze kutoa Credit . Robert Heriel Mtibeli anatafutwa Sana so wewe unajivisha uhusika wake na kujifanya ndo yeye unakuwa unamkosesha maokoto. The guy is good content creator good advisor , people builder and psychologist so he...
  13. G

    Trump anazidi kuchanja mbuga, Mgombea maarufu wa kujitegemea Robert F Kennedy Jr amuunga mkono

    Mgombea wa kujitegemea katika uchaguzi wa urais Marekani Robert F Kennedy Jr ameungana na mgombea wa chama cha Republican, Donald Trump, jukwaani katika mkutano wa kampeni huko Arizona baada ya kujiondoa kwenye kinyang’anyiro hicho na kumuunga mkono rais huyo wa zamani wa Marekani. Kennedy ni...
  14. Endelea zako tu Kupumzika kwa Amani Hayati Robert Mugabe hukuwa na Baya na hapa Umenena kwa uhakika na usahihi wote

    Ask your girlfriend to visit you, she will say 'she doesn't have money for transport' but if someone tells her that you are with another girl at the hotel. She can even hire a private jet to follow you. Chanzo: Robert Mugabe Hilarious Quotes Sasa kama Mkongwe kabisa Hayati Robert kamaliza...
  15. Nawakubali sana hawa members wa jf, Mzee wa kupambania, Natafuta ajira, Extrovert, Equation x, mzabzab, DeepPond, Robert mtibeli, Analyse na Umughaka

    Shout out to you brothers, wengine kati yenu mna vipaji vya kuelezea story k.v Eric shigongo, wengine mnatoa post zenye falsafa iliyo timamu, wengine kati yenu huwa nikisomaga comments au post zenu mara nyingi huwaga nacheka kabla ya kujibu, wengine majina yenu ya humu yanachekesha, mara...
  16. M

    Slovakian prime minister Robert Fico shot and rushed to hospital after ‘attempted assassination

    Slovakia’s prime minister Robert Fico has been injured in a shooting and rushed to hospital. The incident took place in the town of Handlova, some 150 kilometres northeast of the capital Bratislava, after a government meeting. TA3, a Slovakian TV station, has reported that the 59-year-old...
  17. Serikali iunde Tume huru ya kuchunguza kifo cha Bw. Robert Mushi maarufu kama Babu G

    Kuna mahali nimepita, mazungumzo niliyo yakuta yakiongelewa kuhusu Bw. Robert Mushi maarufu kama Babu G, ninashauri iundwe tume huru kuchunguza kifo chake. Katika tume hiyo,polisi isihusishwe Wala wasishiriki. Pili kijana huyo asizikwe hadi uchunguzi utakapo malizika.
  18. Robert Heriel na Donatila hawa members mnaonaje wakawa couple bora?

    Salaamu wana MMU... Binafsi napendekeza hawa members wawe couples kwa mwaka 2024 kama walivo wale wengine (siwataji mnawajua)......hii ni kutokana na uandishi na style yao ya uandishi.. Usisahau kutaja members unaona bado wana matching kuwa pamoja kutokana na miandiko yao kulandana ideas na...
  19. M

    America is in serious trouble': Robert Kiyosaki warns the US is broke, bankrupt, says that printing money to solve problem won't work

    'America is in serious trouble': Robert Kiyosaki warns the US is broke, bankrupt, and our dollar is 'trash' — says that printing money to solve problems can't go on much longer. Is he right? aol.comDec 6, 2023 1:00 PM 'America is in serious trouble': Robert Kiyosaki warns the US is broke...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…