robert

The name Robert is an ancient Germanic given name, from Proto-Germanic *Hrōþi- "fame" and *berhta- "bright" (Hrōþiberhtaz). Compare Old Dutch Robrecht and Old High German Hrodebert (a compound of Hruod (Old Norse: Hróðr) "fame, glory, honour, praise, renown" and berht "bright, light, shining"). It is the second most frequently used given name of ancient Germanic origin. It is also in use as a surname. Another commonly used form of the name is Rupert.
After becoming widely used in Continental Europe it entered England in its Old French form Robert, where an Old English cognate form (Hrēodbēorht, Hrodberht, Hrēodbēorð, Hrœdbœrð, Hrœdberð, Hrōðberχtŕ) had existed before the Norman Conquest. The feminine version is Roberta. The Italian, Portuguese, and Spanish form is Roberto.
Robert is also a common name in many Germanic languages, including English, German, Dutch, Norwegian, Swedish, Scots, Danish, and Icelandic. It can be used as a French, Polish, Irish, Finnish, Romanian, and Estonian name as well.

View More On Wikipedia.org
  1. Jidu La Mabambasi

    RC mstaafu, Engineer Robert Gabriel kujiita Local Fundi ni fedheha kwa fani ya uhandisi

    Engineer Ribert Gabriel kwa sababuzisijojulikata, amejiita Local Fundi. Huyo amajiita LOCAL FUNDI katika MRADI wa Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Geita Eng. Robert Gabriel ambaye amewahi kuwa MKUU wa MIKOA ya GEITA, MWANZA na MARA ktk kipindi cha Awamu ya Tano chini ya...
  2. Ritz

    Robert Card, askari wa akiba US kaua watu 22 lakini haitwi Gaidi

    Wanaukumbi. Takriban watu 22 wameuawa kwa kupigwa risasi huko Lewiston, Maine na watu 50-60 kujeruhiwa katika maeneo mawili tofauti: uchochoro wa mpira wa miguu na baa. Robert Card, askari wa akiba mwenye umri wa miaka 40 na mwalimu wa silaha kutoka Bowdoin, ametajwa na polisi kama 'mtu wa...
  3. peno hasegawa

    Chacha Maboto, Mbunge wa Bunda (CCM): Lugha ya kwenye Mkataba wa DP World sikuielewa, mnisamehe

    Haya sasa. Mwisho wa siku mkataba utabakia kuwa wa Samia tu. ==== Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini Mhe. Robert Chacha Maboto, amesema hakuuelewa Mkataba wa PD WORLD alipokuwa bungeni.
  4. Loran

    Historia ya shaaban Robert

    Shaaban Robert Alizawa (1 Januari 1909 - 22 Juni 1962) alikuwa mshairi na mwandishi wa riwaya. Mchango wake katika lugha ya Kiswahili ni mkubwa kwani kazi zake zinaheshimika katika fasihi ya Kiswahili na pia zinatumika shuleni. Misha yake Shaaban Robert alizaliwa tarehe 1 Januari 1909 katika...
  5. eze malongo

    Naomba kumfahamu vizuri Shaaban Robert

    Ndugu zangu hivi history ya mwandishi nguli hapa Tanzania Shaaban Robert imehifadhiwa wapi? Nimesikia alifanya makubwa sana katika sekta ya Lugha lakini watu hawamuenzi ipasavyo, tasnia ya lugha hamzungumzii kwa lolote licha ya vitabu vyake kufanya vizuri A level secondary lakini ni kama...
  6. Sky Eclat

    Robert De Niro amepata mtoto wake wa saba akiwa na umri wa miaka 79

    Robert De Niro ni mwenye asili ya Italia ingawa alizaliwa katika kitongoji cha Manhattan, New York City. alizalwa mwaka 1943. Kwa sasa anafanya shughuli zake uigizaji Hollywood nchini Marekani. Moja ya sinema alizocheza na kuapata umaarufu mkubwa inaitwa Casino iliyotoka mwaka 1995.
  7. Lycaon pictus

    Utubora mkulima by Shaaban Robert

    KUACHA KAZI Baada ya kutoka Burma, siku moja, Utubora alisimama katika ofisi mbele ya tajiri wake kumwambia kuwa alitaka kuacha kazi. Kazi yake ilikuwa ukarani katika ofisi kubwa ya biashara ya karafuu. Mshahara wa Utubora ulikuwa simulizi karibu katika Unguja nzima; ilisemwa pia kuwa uliwatia...
  8. D

    Je, unakubali ndoa au unakataa?

    Wakubwa shikamoni kuna debate inaendelea hapa jamii Forums baina ya team mbili 1) KATAA NDOA 2)KUBALI NDOA Kwa upande kataa ndoa muwakilishi ROBERT HERIEL aliandika uzi huu "Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi" Kwa upande wa kubali ndoa ni MSHANA JR Kaandika uzi huu "Malezi...
  9. BARD AI

    Chris Brown amuomba msamaha Mshindi wa Tuzo ya GRAMMY, kutokana na post yake iliyohoji "Robert Glasper ni nani"?

    Chris Brown amemuomba msamaha Robert Glasper baada ya kumkashifu kufuatia kushindwa kwake katika uwaniaji wa Tuzo ya Grammy. Mwimbaji huyo wa "Under the Influence" ameweka picha Instagram ikiwa ujumbe wa moja kwa moja aliotuma kwa Glasper ambapo akimpongeza mwanamuziki huyo kwa kushinda Albamu...
  10. K

    Kwako rafiki Ndugu Robert Heriel

    Katika makala yako kuhusu Mayahudi kumkataa Yesu, moja ya sababu umesema ni kwa sababu Yesu huyu tumjuae sisi hakuzaliwa kutoka kwa ukoo wa Daud kama ilivotabiriwa bali alizaliwa kutokana na Roho Mtakatifu litu ambacho hakikutabiriwa hivyo. Sasa swali langu ni kwamba, katika akili ya kawaida...
  11. wilcoxon

    Treni ya kisasa ya Dkt. Mwakyembe na Dkt. Robert Shumake kwa mkoa wa Dar es Salaam iliishia wapi?

    Ni zaidi ya miaka nane sasa imepita toka Dr. Mwakyembe autangazie umma juu ya mradi wa treni ya kisasa kwa mkoa wa Dar es Salaam lakini mpaka leo hakuna taarifa yoyote kuhusu huu mradi ulifikia wapi. Pia Mwakyembe alisisitiza kuwa huyu baba alikuwa tayari kuleta hizo treni hata kesho yake tu.
  12. Mr Pixel3a

    Siri ipi iliyojificha kati ya 'Space and Time' kwa kutumia 'Relativity Theory' ya Albert Einstein?

    Mtaalamu Albert Einstein kaacha maswali mengi kuliko majibu kupitia Three dimension (3D) theory, Einstein anasema kwamba kitu chochote kinachokwenda katika mwendo kasi kitaloss gravitation na kucover large space at short time. Na Ndipo hapa suala la space and time linaleta sintofahamu. Ukitumia...
  13. Etugrul Bey

    Sijajutia kuonana na Robert Kiyosaki

    Kuna watu ukikutana nao katika Maisha Yako hakika unapata madini ya kutosha Katu hujutii Muda ulio upoteza kukaa nao kwani unapata mengi ya kujifunza. Na ndivyo ilivyotokea kwangu,huyu bwana ni motivational speaker na mwandishi WA vitabu mbali mbali katika Kada ya biashara na maendeleo binafsi...
  14. K

    Liberata Mulamula ni Robert Ouko mwingine?

    Liberata Mulamula inaelekea alikuwa anapata sifa sana kwa viongozi wa nje na kuna washauri hawajapendezwa na hili. Hii imesababisha washauri kuanza kuongelea mipaka na mambo mengine. Ushauri Rais usiweke uwoga sana kwa wasaidizi wako hata kama wamekuzidi kielimu au kupendwa. Usiogope wasaidizi...
  15. MIXOLOGIST

    Hatimaye Shaban Robert mwandishi nguli aeinziwa Kenya na mawakili wa Dr. Ruto

    Wasalam wana JF Je ni kweli Raila anaifanya Kenya kuwa nchi ya Kusadikika? Si maneno yangu bali ya mawakili wa Ruto kama video inavyojieleza
  16. JanguKamaJangu

    Hatimaye Barcelona yakubaliwa kumsajili Robert Lewandowski

    Klabu ya Barcelona hatimaye imekubaliwa dili la kumsajili mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski kwa ada ya Pauni Milioni 42.5. Kilichobaki ni kukamilisha mchakato wa usajili, akitarajiwa kusafiri leo Julai 16, 2022 kutoka Ujerumani kuelekea Hispania baada ya makubaliano ya klabu...
  17. Robert Heriel Mtibeli

    Wajua nini kilichomfanya Harmonize kujiita "Robert"?

    JE WAJUA SABABU YA HARMONIZE KUJIITA "ROBERT"? Anaandika, Robert Heriel. Kwanza nimpongeze Msanii Harmonize Kwa kujifaraguza kubadilisha jina Kwa sababu ya Mapenzi aliyonayo Kwa Kajala, na kujiita "Robert" jina ambalo linamaana kubwa Sana hasa Kwa upande wa mtu anayetaka kuwa mkubwa...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    Morogoro ni Mkoa mzuri namba Moja wa kuishi Tanzania

    Kwema Wakuu! Licha ya Tanzania kuwa na mikoa mingi lakini Mkoa wa Morogoro ndio mkoa namba moja kwa uzuri kwa kuishi. Nitaeleza sababu kama ifuatavyo; 1. Tabia ya nchi na Hali ya Hewa Mkoa wa Morogoro tabia yake ya nchi na hali ya hewa ni nzuri. Hakuna joto sana wala hakuna baridi sana. Jua...
  19. JanguKamaJangu

    Waziri wa Ulinzi Dkt. Stergomena amtembelea Jenerali mstaafu Robert Mboma

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Lawrence Tax amemtembelea Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali (Mstaafu) Robert Philemon Mboma nyumbani kwake Mbezi Beach Jijini Dar es Salaam kwa lengo la kumjulia hali. Waziri Stergomena amemtembelea Jenerali Mboma akiwa ni mwendelezo...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    Ujasusi Macho Manne

    UJASUSI MACHO MANNE! Anaandika, Robert Heriel. Nilianza kuvutiwa na Ujasusi nikiwa Kidato cha pili huko Makanya, Kwa mara ya Kwanza Neno Ujasusi nililipata miaka hiyo nikisoma Biblia, kisa cha Kwanza cha Ujasusi kilichowazi nilikipata kwenye Kisa cha Yusufu alivyowaambia Ndugu zake wamekuja...
Back
Top Bottom