robot

  1. Internet-Money

    Yule Robot wa Airtel ana aibu sana

    Sijaona robot ambaye yuko emotional kama yule wa Airtel. Nazani mama mpaka Leo anajua yule jamaa ni Robot. Kwa maana ile siku alimsifia kweli kweli , bila ya kujua ni mtu Na bado sijajua elimu ya Waziri Mawasiliano na Habari ( Nape ) , coz inaonekana na yeye hajui kinacho endelea
  2. Robert Heriel Mtibeli

    MKE wangu ameridhia kununua Robot wa kike ili awe MKE Mwenza, nimkubalie au nikatae?

    Kwema Wakuu! Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Hakika ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni. Baada ya tangazo LA ajabu la kubuniwa Kwa ma-Robot ya kike yenye mvuto WA kimapenzi, kumbe MKE wangu nayo aliyaona hayo madude. Kwanza aliyasifia Sana ingawaje ni kiwivuwivu Mimi nikibaki kwenye msimamo...
  3. Binadamu Mtakatifu

    Ambao tunasubiri Robot za elon musk Tuoe Tujuane

    Hata wakiuza milioni 20 nitauza mbaka boksa ninunue nikafunge nae ndoa Maana sio kwa hekaheka za mademu wa udongo thanks elon musk Mungu akuweke Haina kisonono wala kaswende no kugongwewa, style zote unakula + romantic sound yani full kupizzz ubongo No stress nipo tayari kuandamana serikali...
  4. 2 of Amerikaz most wanted

    Elon Musk: My wife is a Robot

    According to report Elon Musk and his company are on the final stages of making a Robot Wife. The supply of Robot Wives is expected to roll out in September 2023. They will reach Africa by November 2023. Robot Wife will use batteries that last in accordance with menstrual circle. Batteries will...
  5. bahati93

    Nimeongea na robot juu ya Tanzania haya ndio majibu yake

    Wandugu mambo yanaenda kasi sana. Kuna huyu mdudu mpya kwenye mtandao anaitwa ChatGPT. hii ni AI ambayo ipo mbioni kufuta kazi nyingi sana za waandishi habari. Hapa ni machache tu ambayo nilikuwa naongea nayo. Hata hivyo ilinipa moyo baada ya kuona huzuni yangu Asanteni kwa kushiriki
  6. sky soldier

    Konde Gang: Sahau views laki 3 za Ibra ndani ya dakika 1, Harmonize kafikisha views Milioni 1.3 ndani ya sekunde 30

    Koh koh koh, yooooo jeshiiiiiiii , views for everibadeee Cha ajabu jamaa hajali kabisa na anajiona tembo, kapost kwenye page yake kujipongeza huku akila mafegi kho!! Kho!! Kho!! Views milioni 1.3 hizo ndani ya sekunde 30😳😳 ..... Koh koh koh, Konde gang mziki umewashinda kihivyo mpaka mnunue...
  7. J

    Natafuta mtaalam wa kuunda Forex robot anafundisha hata kwa malipo?

    Wakuu habari, nataka kujua kama kuna mtaalamu wa kunifundisha namna ya kutengeneza forex robot (automated trading system) hata kwa malipo Ni programu ambayo inasaidia ku trade automatically, ukishaitengeneza na kuweke vigezo vyako vya ku trade, unaijaribisha kwenye demo account ikileta faida...
  8. Scars

    VIDEO: Kutana na Ameca the humannoid Robot mwenye utashi, asiye amini Mungu

  9. Kasomi

    YouTube Yafuta viewers kwenye wimbo wa Harmonize

    Mtandao wa YouTube wenye makao makuu yake Marekani. Umefuta baadhi ya viewers kwenye wimbo wa ATTITUDE wa msanii Harmonize aliyo mshirikisha Msanii wa Zamani H. Baba pamoja na msanii wa Lumba kutoka nchini Congo Awilo Longomba. Utaratibu wa kufuta Viewers hua upo katika mtandao wa YouTube...
  10. J

    Sex robot brothel opens in Japan amid surge of men wanting bisexual threesomes

    A brothel has opened in Japan and is set to introduce male sex dolls following a surge in men wanting threesomes. It follows previous openings at spots including Russia, Spain, and Italy. It offers a three hour session for £250 and a one hour session for £90. Punters can chose what the...
  11. YEHODAYA

    Robot lapewa Uraia na Serikali ya Saudi Arabia

    Wakati watu huhangaika kupata Uraia Serikali ya Saudi Arabia imelipa Uraia li Robot linalojulikana kama Sofia. Hilo hapo
  12. Titicomb

    Madai: Robot Sophia anataka awe na familia yake na ajira kama binadamu

    Wakuu uvumbuzi mkubwa kwenye teknolojia umeanza kuleta shida. Robot wa kwanza duniani kupewa uraia wa nchi, bidada Sophia raia wa Saudia amesema na yeye anataka kuwa na familia yake, kuwa na ajira na marafiki kama binadamu wengine halisi. Yale waliyo opgopa Elon Musk, Stephen Hawkings na wenzao...
Back
Top Bottom