Sijaona robot ambaye yuko emotional kama yule wa Airtel.
Nazani mama mpaka Leo anajua yule jamaa ni Robot. Kwa maana ile siku alimsifia kweli kweli , bila ya kujua ni mtu
Na bado sijajua elimu ya Waziri Mawasiliano na Habari ( Nape ) , coz inaonekana na yeye hajui kinacho endelea
Kwema Wakuu!
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Hakika ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni.
Baada ya tangazo LA ajabu la kubuniwa Kwa ma-Robot ya kike yenye mvuto WA kimapenzi, kumbe MKE wangu nayo aliyaona hayo madude.
Kwanza aliyasifia Sana ingawaje ni kiwivuwivu Mimi nikibaki kwenye msimamo...
Hata wakiuza milioni 20 nitauza mbaka boksa ninunue nikafunge nae ndoa
Maana sio kwa hekaheka za mademu wa udongo thanks elon musk Mungu akuweke
Haina kisonono wala kaswende no kugongwewa, style zote unakula + romantic sound yani full kupizzz ubongo
No stress nipo tayari kuandamana serikali...
According to report Elon Musk and his company are on the final stages of making a Robot Wife. The supply of Robot Wives is expected to roll out in September 2023. They will reach Africa by November 2023.
Robot Wife will use batteries that last in accordance with menstrual circle. Batteries will...
Wandugu mambo yanaenda kasi sana.
Kuna huyu mdudu mpya kwenye mtandao anaitwa ChatGPT. hii ni AI ambayo ipo mbioni kufuta kazi nyingi sana za waandishi habari.
Hapa ni machache tu ambayo nilikuwa naongea nayo.
Hata hivyo ilinipa moyo baada ya kuona huzuni yangu
Asanteni kwa kushiriki
Koh koh koh, yooooo jeshiiiiiiii , views for everibadeee
Cha ajabu jamaa hajali kabisa na anajiona tembo, kapost kwenye page yake kujipongeza huku akila mafegi kho!! Kho!! Kho!!
Views milioni 1.3 hizo ndani ya sekunde 30😳😳 ..... Koh koh koh, Konde gang mziki umewashinda kihivyo mpaka mnunue...
Wakuu habari, nataka kujua kama kuna mtaalamu wa kunifundisha namna ya kutengeneza forex robot (automated trading system) hata kwa malipo
Ni programu ambayo inasaidia ku trade automatically, ukishaitengeneza na kuweke vigezo vyako vya ku trade, unaijaribisha kwenye demo account ikileta faida...
Mtandao wa YouTube wenye makao makuu yake Marekani. Umefuta baadhi ya viewers kwenye wimbo wa ATTITUDE wa msanii Harmonize aliyo mshirikisha Msanii wa Zamani H. Baba pamoja na msanii wa Lumba kutoka nchini Congo Awilo Longomba.
Utaratibu wa kufuta Viewers hua upo katika mtandao wa YouTube...
A brothel has opened in Japan and is set to introduce male sex dolls following a surge in men wanting threesomes.
It follows previous openings at spots including Russia, Spain, and Italy.
It offers a three hour session for £250 and a one hour session for £90.
Punters can chose what the...
Wakuu uvumbuzi mkubwa kwenye teknolojia umeanza kuleta shida.
Robot wa kwanza duniani kupewa uraia wa nchi, bidada Sophia raia wa Saudia amesema na yeye anataka kuwa na familia yake, kuwa na ajira na marafiki kama binadamu wengine halisi.
Yale waliyo opgopa Elon Musk, Stephen Hawkings na wenzao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.