roho

Rohō Yukio (born March 9, 1980 as Soslan Feliksovich Boradzov, Russian: Сослан Феликсович Борадзов, in Vladikavkaz, Republic of North Ossetia–Alania in the Russian Federation) is a former sumo wrestler. The highest rank he achieved was komusubi. His younger brother is also a former sumo wrestler, under the name of Hakurozan. In September 2008 both were banned from the sport for life after testing positive for cannabis.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Boniface Jacob: Roho ya Thadei Ole Mushi yaiandama CCM

    Boniface jacob anasema: CCM wametoa salamu za rambirambi kwa Thadei Ole Mushi siku moja kabla kifo chake. Kwamba Thadei Ole Mushi kafariki tarehe 04 February 2024 lakini CCM salamu za rambirambi zinaonekana kutolewa tarehe 03 February 2024. Muda huu kila jambo linapaswa kutiliwa mashaka, Je ni...
  2. GoldDhahabu

    Wakoloni walioitawala Tanganyika walikuwa na "roho" nzuri kuwazidi watawala wa sasa wa Tanganyika?

    Iliichukua TANU chini ya miaka kumi kupata uhuru wa Tanganyika, lakini sasa ni zaidi ya miaka hamsini Tanganyika inapambana kutoka katika shimo lililowekwa na watawala weusi bila mafanikio. Ingawa Muungano huu bandia uliopo kati ya Tanganyika na Zanzibar unawanufaisha sana Wazanzibar, lakini...
  3. Mr mutuu

    Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

    Hizi shule(mzumbe,pugu,kisimiri,ilboru,kibaha and the likes) japokua siku izi nyingi zimepoteza sifa zake aisee kama una moyo mwepesi usiende huko unaweza kupata depression au pressure ukashindwa kusoma Miaka Hio mwisho wa miaka ya 2000 niliripoti Moja ya shule tajwa hapo combination ya pcm...
  4. Nelson Jacob Kagame

    Hatuwezi kuwachukia wayahudi kwa wivu wa kijinga na husda na roho mbaya

    Wanatushawishi mara oooh wayahudi hawawapendi wakrsto wachukieni. Ukiuliza tuwachukie kwa lipi utasikia allah kasema*sasa wakrsto na allah wapi na wapi" Mara oooh walimuua issa mwarabu wa kwenye hadith za qur'an wachukieni. Sasa wakrsto na issa mwarabu wapi na wapi? Sisi hatumtambui issa...
  5. BARD AI

    Mtwara: Mganga Mfawidhi asimamishwa kazi kwa kuwaambia Wagonjwa yeye ana Roho Mbaya kuliko wanavyofikiri

    https://www.instagram.com/reel/C1rIUPsi23K/?igsh=ZWI2YzEzYmMxYg%3D%3D Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Abeid Abeid Kafunda, amemsimamisha kazi Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Mkwajuni Isabella Renatus kutokana na madai ya kutokuwa na kauli nzuri kwa Wagonjwa huku akijisifu kuwa ana...
  6. Kijana LOGICS

    Tujifunze kuongea mazuri ya Watu tuache unafiki, chuki na roho mbaya

    Nimeona post za member mmoja akisakama ma binti wa kijita waziwazi kwa kujiamini kabisa anawaambia vijana usioe mjita tena anakazia kama yéyé na dada zake ni wema sana. Wewe kama unamchukia MTU/jamii ya watu fulani wachukie tu wewe inatosha kwanini utugawie chuki zako tuwachukie watu bila...
  7. Kingsharon92

    Kuna wenye nyumba wana roho mbaya usiombe

    Natumaini wote mu bukheri wa afya vijana kwa wazee wenzangu Naja tena na ushuda wa niliyoyapitia kwenye upangaji Mwaka 1984 mitaa ya uhuru mwanza nikapata nyumba ya kupanga kwa mzee x na mkewe. Nami nikiwa na mama watoto classmate wangu na watoto wetu wawili nikiwa nafanya kazi ma mzee mmoja...
  8. Sol de Mayo

    Naposema Waarabu wana roho nzuri, wana imani, namaanisha kweli!

    Naposema Waarabu wana roho nzuri, wana imani, namaanisha kweli! Mara nyingi huwa nasema hakuna jamii hapa duniani watu wake wakarimu, wana imani na roho nzuri kama waarabu, namaanisha kweli. Wengi wao wamejaaliwa haswaa Hizi clip zimetrend mitandao mingi, kwa wale wabaguzi, wenye chuki dhidi...
  9. sky soldier

    Baada ya muda mrefu nimepata mtandao mzuri wa kunishauri muvi/series kulingana na vionjo vyangu, Ni zaidi ya kuchuja Genre, napata kitu roho inapenda.

    Nimezunguka sana jamiiforums, reddit, yts, n.k. katika kusaka muvi kali za kucheku lakini nikaja gundua watu tumetofautiana vionjo, ushauri wa muviz upo juu juu haujaingia kwa ndani kugusa vionjo vya ndani zaidi, matokeo yake unaweza shauriwa cheki muvi flani lakini unaishia kupoteza data na...
  10. Macbook pro

    Najishangaa kwanini ninakuwa na hii roho ya huruma kiasi hiki. Najiona mjinga asee

    Habari za kwenu ndugu zangu! Niende kwenye mada moja kwa moja. Siku za hivi karibuni nimenunua kausafiri ambako kananisaidia kwenye stunting zangu za hapa na pale hapa mjini. Lakini nimenunua huu usafiri baada ya kununua nimekuwa nikipata udhoefu tofauti tofauti ikiwemo kumwazimisha mtu ambapo...
  11. Liverpool VPN

    Kuna Video vixen ni watamu balaa, wananiumiza roho mwenzenu

    INTRODUCTION Hamjambo bandugu... Leo nimejiuliza "Nikishapata sanaa hela NINI KINAFATA?" Nikajijibu "Ni stareheeee" Sasa nikiwaza, hivi Hawa Video Vixen watoto warembo wanapatikana wapi? BODY: Ngoja twende mdogomdgo MTANIELEWA TUU... Mi bwana pamoja ya kwamba sitaki kuoa ila hawa watoto...
  12. M

    Ngenga makazini haziwezi kuisha. Binadamu wana roho mbaya kuliko wanyama

    We piga kazi nenda zako home. Kula zako Kangala changanya na Ambiace. Lala fofofo Asubuhi piga kimoja cha burudani, oga nenda kapige kazi.
  13. 2 of Amerikaz most wanted

    Kila kitu kina roho na kina uungu ndani yake

    Huko nyuma nilishaelezea nadharia kuhusu Mungu kwamba Neno hilo ni kiiwakilishi cha NGUVU KUU iliyopo kila mahali (Omnipresent) kwa wakati mmoja (Omnipotent) na ya kwamba kila kinachoonekana na kisichoonekana vyote vimebeba NGUVU KUU kwa levels tofauti tofauti. NGUVU KUU (THE SUPER CONSCIOUS...
  14. R

    Je, wajua nini hutokea katika Ulimwengu wa Roho wawili wanapoungana katika NDOA Takatifu?

    Salaam / Shalom!! INTRODUCTON. (Mwanzo 2:18,21-24) na (Mathayo 19:3-9). NDOA ni muunganiko wa KIMWILI kati ya mume mmoja na mke mmoja KIMWILI na kiroho. Asili ya NDOA ni Mbinguni, NDOA ni usafi, NDOA ni utakatifu. Kila mtu aliyezaliwa Huwa anae mtu mmoja ambaye Huwa ndiye ubavu wake. Na hao...
  15. sky soldier

    Kucheza na kunywa ni ruksa, kinachoangaliwa ni roho sio mavazi, kwanini kusiwe na disko maalum za wakristo?

    Wala sikejeli maana kunywa ni ruksa, kucheza ni ruksa na mavazi yoyote waweza vaa maana kinachoangaliwa ni roho. Nashangaa hii fursa bado haijachangamkiwa, kuna shida ipi kuanzisha night club za makanisa ikiwa kucheza ni ruksa, kunywa ni ruksa na kinachoangaliwa ni roho sio mavazi? Ndani ya...
  16. Pang Fung Mi

    Je, roho ya kisasi na kutosamehe chanzo chake nini na tiba yake ni ipi?

    Katika maisha ya kiroho tuna Imani zetu, na pia katika uumbaji kila binadamu ana mwili, nafsi na roho vyote vina upekee katika mmoja mmoja. Kadri maisha yanavyosonga ndivyo na mazuri yenye furaha na mabaya yenye makwazo pia yanaongezeka au kuzaliwa mapya au kufanyika kwa namna mbalimbali...
  17. B

    Uwe ba roho mbaya kiasi gani, utaondoka tu duniani

    Ujumbe wa leo
  18. R

    Kwa namna Madeleka anavyomtukana Dr. Makakala mitandaoni, itoshe kusema Makakala ana roho ya uvumilivu. Uongozi ni Busara na hekima, hongera mama

    Mfumo wetu wa nchi kiongozi ni mfalme na yeyote atakayenyanyua mdomo atachukuliwa hatua. Mfumo wa majeshi ndiyo mbaya kabisa kwa sababu wanaamini kwamba wapo juu ya kila jambo. Dr. Makakala ni kiongozi wa taasisi ya usalama nchini anayepitia magumu kutoka kwa wale wanaotamani aondolewe kwenye...
  19. E

    Kwanini manesi wana roho mbaya?

    Kwanini manesi wakike hasa wa Dar es Salaam hasa wanaohusika na wazazi wana roho mbaya sana. Manesi kwani ninyi hamjui kwamba Kuna ambao hawana uwezo wa kuwahonga pesa. Kwani ni kosa kuzaa? Wewe nesi hapo Muhimbili mama mtu mzima mwenye curl kit jiheshimu.
  20. Wimbo

    Sina roho mbaya ila huu si wakati muafaka wa pensheni za Wenza wa Marais

    Sote tunajua nchi inamadeni mengi, miradi mingi tunayojipamba nayo kwamba tumetekeleza ni madeni ya kuja kulipa baadae na kiasi kidogo cha misaada, mikopo bado inatukimbiza kwa mbali dhidi ya mapato. Hivi ni wakati muafaka kweli wabunge kujadili sheria ya pensheni ya wenza wa Marais na mawaziri...
Back
Top Bottom