Binadamu ni
i. Roho
iii. Nafsi
iii. Mwili
Katika nafsi ndani yake hukaa Akili(mind)
Nafsi imepewa uhuru wa kuchagua kutii amri ya mwili au amri ya Roho.
Mungu alimuumba mwanadamu aishi kwa kufata Roho (Kuishi kiroho)
Ukiishi kimwili unakua unakosea.
Mwili wako una macho mawali.
Roho yako...