rombo

Eva Elin Rombo, née Karlsson (born 29 January 1976), is a Swedish operatic soprano. In November 2013 she was named Hovsångerska.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    DOKEZO Mabasi ya Rombo - Dar yanaanza safari usiku wa manane. Kuna madhara yanaweza kutokea!

    Ratiba ya mabasi hayo yanaanza kutoka Rombo saa 9 usiku na basi la mwisho saa 11 alfajiri. Jambo hili licha ya kuleta usumbufu kwa abiria lakini pia linahatarisha usalama wa abiria kutokana na mazingira ya eneo husika. Maeneo mengi ya Rombo yametawaliwa na uoto uliofungamana (miti, vichaka na...
  2. Utaratibu wa Mahari, mwanamke wa Kichaga Rombo

    Habari zenu wakuu, naomba kuuliza kwa ambao mmeoa Uchagani na wanawake Mlioolewa kina baba na kina mama mliopo humu. Nina mwanamke niliekuwa nae katika mahusiano ni Mchaga wa Rombo, nahitaji kwenda kutoa mahari. Taratbu zinatofautiana naomba kwa waliowahi au kujua taratbu za Uchagani kwa Wa...
  3. Rombo wanaume walalamika madume ya nyani kushika shika wake zao

    Wanaume wilaya ya Rombo walalamika madume ya nyani kushika shika wake zao bila ridhaa yao. Wakuu sikilizeni wenyewe. ===== Wanaume wanaoishi pembezoni mwa Mto Mlembea, Wilaya ya Rombo, Mkoani Kilimanjaro wamelalamika wake zao kuvamiwa na nyani wa kiume na wakati mwingine kuhatarisha usalama...
  4. Kilimanjaro: Mwalimu ampiga Mwanafunzi hadi kifo

    Huko Kilimanjaro Mwalimu amempiga mwanafunzi wa darasa la kwanza mwenye umri wa miaka saba mpaka kifo kwa kosa la kupiga kelele darasan 🥲 Kwenye picha huyo ni Mama yake Mzazi wa huyo mwanafunzi ameeleza kwamba Mwalimu Alimpiga sana mwanafunzi huyo mpaka alijikojolea baada ya hali kuwa mbaya ya...
  5. B

    Kilimanjaro: Mtoto adaiwa kumuua mama kisa Sh5,000 ya Vicoba

    Rombo. Kijana wa miaka 15 (jina linahifadhiwa), mkazi wa Kijiji cha Ngareni, Kata ya Ngoyoni, wilayani hapa, anashikiliwa na Jeshi la Polisi akidaiwa kumuua mama yake mdogo, Taudensia Massawe (62) kwa kumpasua kichwa akitumia jiwe wakati akikata majani ya ng'ombe. Tukio hilo linadaiwa kutokea...
  6. Idara ya afya Wilaya ya Rombo imegeuka Kikosi kazi cha kumwaga Chanjo za UVIKO-19, kupika majina ya watu kuwa wamechanja

    This is Tanzania. Yaliyoendelea, yanayoendelea yanasikitisha. Umeona takwimu za chanjo ya UVIKO-19 kuwa 86% ya Watanzania Wamechanja 😅 Kwa sample ndogo ya Halmashauri ya Wilaya ya Rombo kazi iliyokuwa inafanyika inasikitisha. Vials za chanjo za UVIKO-19 zimemwagwa sana kwa kushirikiana na...
  7. Watoto watatu wateketea kwa moto Rombo

    Watoto watatu wa familia moja katika kijiji cha Lessoroma wilayani Rombo Mkoa wa Kilimanjaro wameteketea kwa moto baada ya nyumba yao wanakolala kushika moto. Akizungumzia tukio hilo leo Januari 21, Mtendaji wa kijiji hicho, Emma Mosha amesema tukio hilo limetokea usiku wa saa mbili Januari 20...
  8. Rombo: Ashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa Kushirikiana na Mpenzi wake Kumuua Mama yake

    Wapenzi wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro kwa tuhuma za kumuua bibi kizee wa miaka 100 kwa kumpiga na kitu kizito kichwani wakati wakigombea ardhi. Bibi huyo, Felister Silayo, mkazi wa Kijiji cha Kirongo juu, Kata ya Kirongo Samanga, Wilaya ya Rombo alifikwa na umauti...
  9. Dkt. Mpango azindua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Rombo

    Alisema miaka ya nyuma baadhi ya maeneo nchini yalikuwa na 'mchwa' katika miradi ya umma, lakini serikali imejizatiti kudhibiti matukio hayo. Dk. Mpango alisema hayo jana wakati akiweka jiwe la msingi la Hospitali ya Wilaya ya Rombo na kuagiza ianze kazi Oktoba mosi, mwaka huu. "Ninaamini dawa...
  10. Mwenyekiti wa Chama cha Walimu Tanzania wilaya ya Rombo auawa kikatili

    Inasikitisha sana mauaji kama haya kufanyika kwa mwalimu anayefundisha taifa la kesho. --- Picha: Mwalimu Turo Hiza enzi za uhai wake Mwenyekiti wa Chama cha Walimu (CWT) Wilaya ya Rombo na Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Boma iliyopo Tarafa ya Mkuu Wilayani humo, Turo Hiza amekutwa ameuawa...
  11. Mexico yatajwa nchi hatari zaidi kwa waandishi wa habari 2022

    Shirika la kutetea haki za wanahabari, Reporters without borders limesema Mexico imekuwa nchi hatari zaidi kwa wanahabari wa nje ya maeneo ya vita kwa mwaka 2022 - Luis Enrique Ramirez Ramos amekuwa mwandishi wa habari wa tisa kuuawa nchini Mexico mwaka 2022 katika mwaka ambao umeonekana kuwa...
  12. Rombo: Kuyumba kiuchumi na kushindwa kulea familia vyasababisha Wanaume kupigwa na Wake zao

    Kuyumba kiuchumi na kushindwa kuwajibika katika malezi ya familia kwa baadhi ya wanaume, kumetajwa kuwa moja ya sababu za kunyanyaswa na kufanyiwa vitendo vya kikatili na wake zao. Hayo yalibainishwa jana na ofisa Mtendaji wa Kata ya Kingachi, Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Issa Maringo...
  13. Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

    NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA: 1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali." 2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketezwa Shambani kwangu." 3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu." 4. "Dada aliyetoa taarifa za...
  14. Rombo: Amuua mkewe na kisha kujinyonga

    Mwenyekiti wa kitongoji cha Urua chini, kijiji cha Mfuruashe wilayani Rombo, Agustine Moshi(35) amemuua mkewe, Anastasia Agustine (31) kwa kumkata kata na kitu chenye ncha kali na kisha mwenyewe kujiua kwa kujinyonga kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi. Mwenyekiti huyo ambaye pia ni...
  15. P

    Je, moto wa ajabu ardhini rombo ni dalili za kulipuka volcano iliyolala ya mlima Kilimanjaro?

    Kwa wakaazi wa Wilaya ya Rombo na maeneo mengine yote kuuzunguka mlima Kilimanjaro chochote kinachotokea kuhusiana na Mlima huu ni lazima kiwaguse moja kwa moja kutokana na maisha yao kutegemea miteremko yake kwa maelefu ya miaka iliyopita. Ingawa uwezekano wa Volcano ya mlima huu kulipuka...
  16. Hii hapa Tafsiri ya "Manka" kichagga na tabia zao

    Leo tujionee hili jina maarufu sana kwa watoto wa kike wa kichaga. Manka ni jina la asili la kichaga analomiliki mtoto wa pili wa kike kuzaliwa. Hata kama hatolitumia lakini huwa linajulikana tu baada ya kuzaliwa wa pili kwa watoto wa kike. Jina Manka uchagani(kote kwanzia Rombo hadi...
  17. Rombo, Kilimanjaro: Watoto wawili wa familia moja wafariki katika ajali ya moto

    Rombo. Watoto wawili wa familia moja wakazi wa Tarakea wilayani Rombo wamefariki baada ya nyumba yao waliyokuwa wakiishi kuungua kwa moto. Akitoa taarifa hiyo leo Ijumaa Agosti 20, 2021 Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Hamis Maiga amesema, tukio hilo limetokea jana usiku uliosababishwa na mshumaa...
  18. Anayedaiwa kumuua mkewe kwa kunyimwa unyumba, akamatwa

    WEDNESDAY AUGUST 18 2021 Moshi. Jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia Kennedy Malekea (21), mkazi wa kijiji cha Msinga wilayani Rombo kwatuhuma za kumuua mkewe Fausta Silayo (22) kwa kumchoma visu vya tumboni na mgongoni kwa madai ya kunyimwa unyumba. Marehemu Fausta alikuwa na...
  19. Adaiwa kuua mke baada ya kunyimwa unyumba

    Fausta Silayo (22), Mkazi wa Kijiji cha Samanga wilayani Rombo ameuawa kwa kuchomwa kisu na mume wake kwa madai ya kumnyima unyumba. Mwanamke huyo ambaye bado alikuwa uzazi wa mwezi mmoja alichomwa kisu Julai 23 na kupelekea kifo chake Julai 24 wakati alipokuwa amewahishwa Hospitali ya Huruma...
  20. Rombo: Aweso amsimamsha kazi meneja RUWASA

    Waziri wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso amemsimamisha kazi Meneja wa Wakala wa Usambazaji wa Maji vijijini (Ruwasa), Mhandisi Nevard Kihaka kwa kumdanganya na kumpa taarifa za uongo juu ya upatikanaji wa maji katika vizimba 14 Kati ya 16 jambo ambalo sio kweli. Aweso amemsimamisha kazi jana...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…