rufiji

The Rufiji are an ethnic and linguistic group based in the central coast of Tanzania, near the Rufiji River. In 1987 the Rufiji population was estimated to number 200,000 [1].

View More On Wikipedia.org
  1. Infinity Solutions

    INAUZWA Jipatie samaki wabichi aina ya kumba/sato/tilapia/perege kutoka rufiji - tsh 10,000/- kwa kilo

    Habari za Leo wanafamilia? Tunauza Samaki wabichi aina ya Kumba/Sato/Tilapia kutoka Rufiji kwa bei Tsh 10,000/ kwa kilo. Samaki hawa ni wakubwa wa size ya juu na kati ambapo uzito wao huwa gram 200 - 400 kwa samaki mmoja. Tunapokea oda za watu wa majumbani na wa biashara. Tunapatikana Mnazi...
  2. Red Giant

    Mto Rufiji na mto Ruvuma upi ni mkubwa?

    Habari wakuu. Hapa nazungumzia ukubwa kwa kiasi cha maji yanayotiririka. Hadi sasa nilikuwa naamini Rufiji ndiyo mkubwa, sasa nimekutana na takwimu zikisema mtiririko wa mto Rufiji ni kama wastani wa mita za ujazo 413 kwa sekunde. Wakati Ruvuma ni 475. Sina imani sana na data hizi, kwa...
  3. M

    New Government Jobs At Rufiji District Council – Watendaji Wa Vijiji

    Job Opportunities At Rufiji District Council District Council of Rufiji has announced new job opportunities to fill village executive positions. For more information get attached PDF file below TANGAZO ZA NAFASI ZA KAZI RUFIJI DC 12-07-2021
  4. Nigrastratatract nerve

    Marais Wastaafu, Mawaziri Wakuu wastaafu watembelea Bwawa la Nyerere la mto Rufiji

    Kwa kutambua umuhimu wa mradi wa kufua umeme wa Mto rufiji Marais wastaafu na mawaziri wakuu wastaafu wametembelea bwawa la kuzalisha umeme la NYERERE Hii ni hatua kubwa za kuenzi legacy ya JPM Ndio maana tunasema JPM rest in power === Viongozi wakuu wastaafu Rais Ali Hassan Mwinyi na Jakaya...
  5. Jamii Opportunities

    Blue Action Fund (BAF) Project Lead for Rufiji – Mafia – Kilwa (RUMAKI) Seascape Area

    Blue Action Fund (BAF) Project Lead for Rufiji – Mafia – Kilwa (RUMAKI) Seascape Area WWF is seeking to hire a BAF Project Lead for WWF Tanzania to provide coastal and marine conservation knowledge and skills with ability for ecological monitoring and data analysis, preparation of scientific...
  6. Buzi Nene

    TANESCO: Rufiji shida ni nini umeme unakatika kila saa?

    Habari, Kumekuwa na tatizo la kukatika katika kwa huduma ya umeme katika Wilaya ya Rufiji hasa Makao makuu ya Wilaya hiyo maarufu kama Utete. Hili kwakweli limekuwa tatizo la kudumu kwa maana haipiti siku bila umeme kukatika,mfano umeme walikata usiku mzima wa kuamkia jana wakarudisha asubuhi...
  7. S

    Serikali hii ya Magufuli itakuwa na ubavu wa kugomea masharti magumu ya Wachina ilhali wanataka kukamilisha miradi hii ndani ya miaka mitano?

    Binafsi naona Serikali hii mpaka sasa imeshajiweka katika mazingira magumu yatayopelekea kukubali mashariti magumu kutoka kwa mtu yoyote (wakiwemo wachina) anaetaka kuwekaza fedha zake katika kukamilisha miradi mikubwa ya awamu ya tano kama ule wa Bwawa la Umeme wa mto Rufiji na ule wa ujenzi wa...
  8. B

    'Timu ya Taifa' ya Wahandisi katika mradi wa Umeme Rufiji

    Mhandisi Robert Kabudi mwenye miaka 20 ya kusimamia miradi mikubwa ya ujenzi nje ya Tanzania pamoja na wahandisi wengine mahiri wazalendo wapo ktk mradi wa ujenzi wa Bwawa la Umeme la Rufiji linatotegemewa kuzalisha 2115 MW wa umeme Tanzania. Mhandisi Robert anaitaja timu hiyo ya watu 21...
  9. mkiluvya

    Waziri Mkuu afurahishwa maendeleo ya ujenzi wa mradi wa umeme mto Rufiji

    WAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA UMEME MTO RUFIJI: Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kuwa kazi ya Ujenzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) wa megawatts 2115 inayofanyika katika eneo la Bonde la Mto Rufiji ni kazi ya uhakika na...
  10. MsemajiUkweli

    Bwawa la Stiegler's Gorge kuanza kujengwa na kampuni ya Misri

    Kampuni ya nchini Misri inayomilikiwa na serikali, Arab Contractors imeshinda tenda ya kubuni/kusanifu na kujenga bwawa la Stiegler's Gorge katika maporomoko ya mto Rufiji. Baada ya Kampuni hiyo kushinda tenda, Rais wa Misri, Abdel-Fattah al-Sisi amempigia simu Rais Magufuli na kutoa shukrani...
Back
Top Bottom