runinga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Analogia Malenga

    Kituo cha runinga chafungiwa kwa kuonesha vibonzo vya ngono Kenya

    Mamlaka ya Mawasiliano nchini Kenya imeifungua kwa muda wa wiki nne runinga ya Mt. Kenya TV kwa kukikuka sheria na kanuni za maadili. Mamlaka hiyo imeitoza runinga hiyo faini ya Dola 5,000 za Marekani kwa kupeperusha kipindi cha vibonzo kilichokuwa na maudhui yasiyo na staha. Mkurugenzi Mkuu wa...
  2. Cannabis

    Kenya: Mbunge wa azindua runinga iliyotundikwa ukutani

    Kesses Member of Parliament in Uasin Gishu county, Swarup Mishra, nicknamed Arap Chelule, has sparked mixed reactions online after launching a television set in a rib cutting ceremony. The event was conducted at Cheplaskei peace centre in his constituency under the full glare of cameras...
  3. VUTA-NKUVUTE

    Uchaguzi 2020 Ukweli wenye ukali: Dkt. Magufuli lazima abadilike, runinga ya Watanzania aitazame na kuizingatia

    Iwe ameshinda au ameshindwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM Dkt. John P. Magufuli lazima abadilike. Lazima awe mpya. Hawezi tena na kamwe kubaki alivyo. Anapaswa kujirudi; kujitathmini; kujiangalia na kuwaangalia watanzania wake na kujiuliza bila kujiliza...
  4. F

    Ushauri: Vituo vyote vya Redio na Runinga viwe na vipindi maalum vya jinsi ya kujifukiza

    Habari Wana wa JF. Kutokana na ushauri mujarabu wa Rais Magufuli ambao pia umepokelewa kwa shangwe hata na wataalamu wa Afya, nashauri vituo vya Redio na Television vianzishe vipindi maalumu vikituelekeza jinsi ya kujifukiza dhidi ya Covid 19. Hatua hii ni muhimu sana katika kipinndi hiki cha...
  5. D

    Biashara ya Kuonesha Mpira wa Miguu (Kibanda-umiza): Fahamu Kiasi cha Mtaji, Vifaa na Mbinu za Uendeshaji

    Wanandugu, naombeni msaada tafadhali. Mimi ni kijana mwenzenu nimebahatika kuchanga pesa zangu na nimefanikiwa kupata milioni moja na nusu; nataka kufungua biashara ya kuonesha mpira kwa jijini Dar (hasa mpira wa Ligi Kuu ya Uingereza). Je, vipi ni biashara nzuri kufanya au niachane nayo...
Back
Top Bottom