ruzuku ya mbolea

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mbepo yamba

    Serikali inapojizolea sifa kwa giza, Ruzuku mbolea ya tumbaku

    Wanajamvi Kuna jambo lisilofaa kuhusu ruzuku ya mbolea za tumbaku kwa msimu ulioisha. Serikali kupitia tangazo la TFRA la tarehe 29/12/2023 ilitoa mwongozo wa bei kwa mbolea za msimu huu kuwa ni chini ya 80,500 kwa mfuko. Wakulima wa tumbaku hata hivyo wakakatwa dola 63 kwa mfuko bei...
  2. S

    Bashe amwandikia barua CAG kusema uongo mfumo wa ruzuku ya mbolea

    Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ameliambia Bunge kuwa amemuandikia barua Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG kuwa ripoti yake kuhusu mfumo wa mbolea ya ruzuku kuwa seva iko kwa vendor aliyetengeneza mfumo wa TEHAMA ni uongo. Pia soma Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta...
Back
Top Bottom