Wanajamvi
Kuna jambo lisilofaa kuhusu ruzuku ya mbolea za tumbaku kwa msimu ulioisha.
Serikali kupitia tangazo la TFRA la tarehe 29/12/2023 ilitoa mwongozo wa bei kwa mbolea za msimu huu kuwa ni chini ya 80,500 kwa mfuko.
Wakulima wa tumbaku hata hivyo wakakatwa dola 63 kwa mfuko bei...
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ameliambia Bunge kuwa amemuandikia barua Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG kuwa ripoti yake kuhusu mfumo wa mbolea ya ruzuku kuwa seva iko kwa vendor aliyetengeneza mfumo wa TEHAMA ni uongo.
Pia soma Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.