Jameni ukizingatia gharama ya S-300 halafu zinapigwa kizembe hivi, hivi vita vimemuanika Mrusi vibaya sana, ameonekana udhaifu wake na kubakia na manyuklia tu.
https://www.newsweek.com/ukraine-destroys-russian-battery-s-300-air-defense-systems-military-1727462
The Ukrainian military released a...