Sabaya kupelekwa mahakamani ni jambo moja, na kitachojiri mahakamani, ni jambo lingine na ambalo ndio la msingi zaidi. Hivyo, tujipe muda badala ya kufurahia kuwa haki imetendeka.
Kumbukeni: Zimwi likujualo, halikuli likakwisha.
Mwisho, tujiulize Sabaya aliyatenda haya bila kuwa na baraka za...