Saïdia (Arabic: السعيدية, romanized: Al-sa'idiyya; Berber languages: ⴰⵊⵔⵓⴷ, Ajrud), known as the "Blue Pearl", is a beach town in northeastern Morocco near Berkane. It is located in the province Berkane, near the Mediterranean Sea and at the Moroccan-Algerian border. Its 14 km (9 mile) coastline is one of the longest beaches of Morocco and is characterized by its golden sand and Mediterranean climate, making it a popular international tourist destination. It hosts numerous resorts and attractions, including private beach resorts, shopping malls, golf courses, and other sports centers.
Saïdia's marina covers an area of 290,000 square meters (70 acres), with 740 berths and modern marina facilities. Tourists are attracted by its traditional folk music festival every August. It is surrounded by a natural bird preserve of marsh and woodland called Moulouya National Parc. Access to the main beach is through a eucalyptus forest.
Pole na majukumu
Hongera kwa kuitwa kwenye kikosi kazi cha katiba na maridhiano.
Bahati nzuri wewe ni mtoto wa mkulima na unatambua katiba iliyopo inatesa na kufukarisha wakulima Kila siku kwa kuwalinda wabadhirifu na wapigaji wa pembejeo za wakulima!
Tutetee sisi wajukuu zako wakulima wenzio...
Moja ya changamoto inayowasumbua wakulima wadogo, kati na wakubwa ni upatikanaji wa mbolea bora. Lakini bado hata zile zinazotumika kwa wingi ni zile ambazo mazao yanayopatikana kutokana nazo hayana ubora kimataifa.
Ipo haja ya kuanza kuzalisha mbolea bora za asili kutokana na mimea + wanyama...
Tunakubaliana kuwa watu weng baada ya corona wamejua thaman ya kula kwa afya ikiambatana na kula zaid vyakula vya asili vyenye virutubisho muhim na kwa wingi.
Sasa mimi nina ndoto ya kufunga mkusanyiko wa mboga za majan na mitishamba -dawa, kwa kuzicompress zikawa katika mfumo sausage kubwa...
Kuungua kwa soko la Mitumba Karume limefanya nifikirie mambo mengi mpaka jibu sina, kumbuka huyu bwana alipokuwa Mbeya mwendo wa kuwaka moto masoko, ilikuwa shida sasa naona imehamia DSM. Sasa huyu mkuu ana mkosi au kuna namna?
Pia soma: Soko la Kariakoo lateketea kwa moto
Habari za wakati huu wapendwa wa JamiiForums. Bila shaka mko vizuri. Ambao mko Wadhaifu Mungu awape heri.
Iko hivi, Napenda kuzungumzia kuhusu Uonevu (Bullying)
Uonevu ni hali ya kufanya kitu fulani kwa mwingine kama vile kumdhalilisha, kumpiga au kumdhuru kwa namna yoyote ile hata bila sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.